Rasmi hatimaye Yanga wafyata mkia, kwaheri Fiston Kalala Mayele Esazalibiere

Rasmi hatimaye Yanga wafyata mkia, kwaheri Fiston Kalala Mayele Esazalibiere

Fiston Kalala Mayele.
Aondoka RASMI YANGA kuelekea pyramid FC.

KWAHERI Mayele Kila LAKHERI huko uendako.

MAMBO KUMI YA FISTON MAYELE.

1.Ulikuwa mshambuliaji Bora.
2. Ulikuwa mchezaji unayejituma mno.
3. Ulikuwa mchezaji unaejitoa sana.

4.Ulikuwa mchezaji MWENYE Nidhamu mno.
5. Ulikuwa mchezaji PENDWA sana.
6. Ulikuwa Unazungumza kiswahili kuliko mchezaji yoyote yule kutoka DRC.

7. STAYLE yako (ya Kongo)Ya ushambuliaji ilikuwa na msisimko WA Hali ya juu.

8. Ulishiriki vizuri Ibada za KANISA lako ST Peter.

9. Ulikuwa na Familia Bora sana

10. Hakika Mwamba Ulitetema.

HATA MASHABIKI WA SIMBA TUKIWA NYUMBANI TULIKUWA TUNAJARIBU KUTETEMA.


View attachment 2689966
It's all about business pande zote mbili zinafaidika na kuondoka kwake na siku zote biashara ya mpira ndo ilivyo.
All the best Mayele huku nyuma umeacha legacy ambayo haitasahaulika
 
Kwa maana mayele alikuwa anacheza peke yake uwanjani eti?

MAYELE amechangia Asilimia 80 ya MAGOLi ya yanga.

Amechangia ushindi kwa asilimia 60.

MAYELE NDIO ALIKUWA KILA KITU KWA YANGA

images (2).jpeg
 
Yanga wamefanya biashara nzuri
4b si haba kwa mkataba wa mwaka mmoja uliokuwa umebaki
Mayele alikuja kama free agent
Baada ya kuongeza mkataba akaanza kulipwa milion 18
Yanga tumempa platform akaonekana na sasa tumepiga pesa ndefu
Tumunoe msonda mwakani tumuuze 5b

Hongera young Africans
Timu ya wananchi
 
Nataka niongee suala moja kumhusu mayele.
YANGA tuko imara sana na tulishajiandaa tangu zamani kwamba mayele hatutakua nae msimu ujao.
Hizi habari za kumuongezea mkataba na kumboreshea maslahi zilikuwa ni janja janja tu ili tusitoke mchezoni ila ilikuwa ngumu kumbakisha mayele yanga kwa kiwango alichokionesha msimu ulioisha ligi kuu na kimataifa.
Hivyo basi mimi kama mshabiki muandamizi wa young africans sports club namtakia kheri tele na fanaka katika majukumu yake mapya kama walimwengu wasemavyo.


CC. NALIA NGWENA
 
Siwalisema haendi popote, tabu ipo pale pale. Uto wenye akili ni 2
 
Nataka niongee suala moja kumhusu mayele.
YANGA tuko imara sana na tulishajiandaa tangu zamani kwamba mayele hatutakua nae msimu ujao.
Hizi habari za kumuongezea mkataba na kumboreshea maslahi zilikuwa ni janja janja tu ili tusitoke mchezoni ila ilikuwa ngumu kumbakisha mayele yanga kwa kiwango alichokionesha msimu ulioisha ligi kuu na kimataifa.
Hivyo basi mimi kama mshabiki muandamizi wa young africans sports club namtakia kheri tele na fanaka katika majukumu yake mapya kama walimwengu wasemavyo.


CC. NALIA NGWENA
Mayele hatumdai chochote, all the best huko aendako. Yanga inapaswa kujaza vizuri pengo la Mayele, Bangala na Morrison. Huu msimu huenda ukawa mgumu kwetu.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Mayele hatumdai chochote, all the best huko aendako. Yanga inapaswa kujaza vizuri pengo la Mayele, Bangala na Morrison. Huu msimu huenda ukawa mgumu kwetu.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Kudos mwananchiiiiiii.
Hatupaswi kuwaonesha kwamba habari hizi zimetuvuruga balinipart ya maisha ya yanga maana walikuwepo wazuri zaidi yake wakaondoka na watakuja wazuri zaidi yake na wataondoka.
Kinachotakiwa tusiwe kama makolo kwamba mchezaji huko alipo ngangania kwenda akifeli basi dampo liwe sisi.
 
Sasa itakuwaje pale jangwan msimu ujao..
Tumejiandaa kutwaa klabu bingwa; yule alituchelewesha sana! Alisikika chapombe mmoja akifoka kwa hasira dalili ya sizitaki mbichi hizi.
 
Tumejiandaa kutwaa klabu bingwa; yule alituchelewesha sana! Alisikika chapombe mmoja akifoka kwa hasira dalili ya sizitaki mbichi hizi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji120]
 
View attachment 2690010

Fiston Kalala Mayele.
Aondoka RASMI YANGA kuelekea pyramid FC.

KWAHERI Mayele Kila LAKHERI huko uendako.

MAMBO KUMI YA FISTON MAYELE.

1.Ulikuwa mshambuliaji Bora.
2. Ulikuwa mchezaji unayejituma mno.
3. Ulikuwa mchezaji unaejitoa sana.

4.Ulikuwa mchezaji MWENYE Nidhamu mno.
5. Ulikuwa mchezaji PENDWA sana.
6. Ulikuwa Unazungumza kiswahili kuliko mchezaji yoyote yule kutoka DRC.

7. STAYLE yako (ya Kongo)Ya ushambuliaji ilikuwa na msisimko WA Hali ya juu.

8. Ulishiriki vizuri Ibada za KANISA lako ST Peter.

9. Ulikuwa na Familia Bora sana

10. Hakika Mwamba Ulitetema.

HATA MASHABIKI WA SIMBA TUKIWA NYUMBANI TULIKUWA TUNAJARIBU KUTETEMA.
Kama shabiki wa timu pinzani nafurahia kuondoka kwake maana sasa tutapumua.

Lakini kama shabiki wa soka na ligi yetu imepoteza mchezaji muhimu sana.

Kila la heri Mayele katika changamoto mpya huko uendako!!
 
Huu ndiyo usajiri bora kabisa msimu huu
 
Jose Mourinho anasema Usajili Bora kabisa ni kuwabakisha wachezaji wako Bora.

JE MSIMU mpya WA Yanga utakuwaje.

1. FEISAL Out.
2. MAYELE Out
3. JUMA Shaban out.
4. Bangala Out.
5. NABI.
6.kaze.
7. Efue.

Simba BINGWA 2023-24.
Linganisha pia na yale magarasa yenu lukuki mliyositisha mikata yao kwa aibu.

Okrah, Okwah, Sawadogo, Ouwattara, Akpan, .........!! Malizia waliobakia. Maana idadi ni kubwa.
 
Ww ume soma biashara gani? Gari lime rudisha mtaji na faida juu. Na huna uhakika nalo ufanisi wake mwakani. Why usi uze? Mpambe anauzwa, Cr7 ali uzwa, Halaand kauzwa.
Mpambe ndio nani mkuu?
 
Bigirimana, Doumbia umesahau kuwataja
Linganisha pia na yale magarasa yenu lukuki mliyositisha mikata yao kwa aibu.

Okrah, Okwah, Sawadogo, Ouwattara, Akpan, .........!! Malizia waliobakia. Maana idadi ni kubwa.
 
Back
Top Bottom