Rasmi hatimaye Yanga wafyata mkia, kwaheri Fiston Kalala Mayele Esazalibiere

Rasmi hatimaye Yanga wafyata mkia, kwaheri Fiston Kalala Mayele Esazalibiere

Kama Kaleta b4 msimu Jana kulikua na haki zote za kumbakisha. Yaani kwa gharama yoyote ile.
Naona njia ya ubingwa inazidi kuwanyookea makolo.
Inabidi uwe mjinga sana kuamini kwamba makolo watachukua ubingwa mwakani.
 
Na hii ndo business
Viongozi mmecheza kama Pele safi sana
Hela hiyo leta yule karamoko mbona mikia watajificha uvunguni
 
Anaweza toka Mayele na timu ikafanya vizuri. Ila kwenye kale kakikundi mtoe Chama uone wanavyotafutana. Wanashabikia zaidi Mayele kuondoka ni kale kakikundi kanachotafuta kufika kilele na hao ndio walioshabikia Feisal kuondoka na bado timu ikafanya vizuri. Hamshtuki mnaemuombea njaa ndio kwanza anazidi kuneemeka? [emoji1787][emoji1787]
Kaka hata kama ni ushabiki heshimu mpinzani hakuna simba bila yanga timu hizi zinatiana hamasa kujiletea mafanikio,n.b timu unayoiita kakikundi ni namba za saba kwenye rank za afrika !sio bahati mbaya.
 
Kaka hata kama ni ushabiki heshimu mpinzani hakuna simba bila yanga timu hizi zinatiana hamasa kujiletea mafanikio,n.b timu unayoiita kakikundi ni namba za saba kwenye rank za afrika !sio bahati mbaya.
Hawajielewi
 
Linganisha pia na yale magarasa yenu lukuki mliyositisha mikata yao kwa aibu.

Okrah, Okwah, Sawadogo, Ouwattara, Akpan, .........!! Malizia waliobakia. Maana idadi ni kubwa.
Sasa hapo unabisha nini?? Yess ss tumetoa wale waliokua hawana impact...
 
Linganisha pia na yale magarasa yenu lukuki mliyositisha mikata yao kwa aibu.

Okrah, Okwah, Sawadogo, Ouwattara, Akpan, .........!! Malizia waliobakia. Maana idadi ni kubwa.

Bahati Mbaya mtoto mdogo kama wewe unataka kushindana na Mtu MWENYE AKILI nyingi kama Mimi.

Ndani ya Miaka miwili yanga IMEKUWA na wachezaji WAFUATAO.

1. Erick johora.
2. Nkane.
3.David Brayson.
4.Mamadou Dombia.
5.Ninja.
6. Mauya
7. Ambundo.
8. krispin Ngushi
9. Eritiermakambo
10. Chiko ushindi WA kubanza.
11.Tuisila kisinda.

Chukua Hiyo.
Hii imeenda.
 
View attachment 2690010

Fiston Kalala Mayele.
Aondoka RASMI YANGA kuelekea pyramid FC.

KWAHERI Mayele Kila LAKHERI huko uendako.

MAMBO KUMI YA FISTON MAYELE.

1.Ulikuwa mshambuliaji Bora.
2. Ulikuwa mchezaji unayejituma mno.
3. Ulikuwa mchezaji unaejitoa sana.

4.Ulikuwa mchezaji MWENYE Nidhamu mno.
5. Ulikuwa mchezaji PENDWA sana.
6. Ulikuwa Unazungumza kiswahili kuliko mchezaji yoyote yule kutoka DRC.

7. STAYLE yako (ya Kongo)Ya ushambuliaji ilikuwa na msisimko WA Hali ya juu.

8. Ulishiriki vizuri Ibada za KANISA lako ST Peter.

9. Ulikuwa na Familia Bora sana

10. Hakika Mwamba Ulitetema.

HATA MASHABIKI WA SIMBA TUKIWA NYUMBANI TULIKUWA TUNAJARIBU KUTETEMA.
Natabiri kwamba Fiston kalala mayele atasugua benchi pyramid na ndani ya mwaka mmoja ataomba avunjiwe mkataba ili arudi jangwani fc
 
Duuuh ameondoka na tung'ombe twake
Hata mimi najiuliza ngombe wake nadhani watakuwa weshazaliana kidogo, sijui atapanda nao ndege kuwapeleka misri?

Hata hivyo tumwacheni aondoke akajitafutie maisha; tena ameondoka kwa kufuata utaratibu na kwa ustaarabu sana akikidhi makubaliano ya pande zote siyo kama mzenji wetu aliyeondoka kwa fujo na matusi mengi huku akiishia Azam tu. Nilipenda sana nidhamu ya Mayele na jinsi alivyokuwa anajituma uwanjani, na uongeazji wake mzuri wa kiswahili; ni mtu humble sana. Sasa Yanga iwe makini sana kwenye mkataba wa kumuuza.
 
Jose Mourinho anasema Usajili Bora kabisa ni kuwabakisha wachezaji wako Bora.

JE MSIMU mpya WA Yanga utakuwaje.

1. FEISAL Out.
2. MAYELE Out
3. JUMA Shaban out.
4. Bangala Out.
5. NABI.
6.kaze.
7. Efue.

Simba BINGWA 2023-24.
Nimelia saaana baada ya kusoma post yako hii
 
Hata mimi najiuliza ngombe wake nadhani watakuwa weshazaliana kidogo, sijui atapanda nao ndege kuwapeleka misri?

Hata hivyo tumwacheni aondoke akajitafutie maisha; tena ameondoka kwa kufuata utaratibu na kwa ustaarabu sana akikidhi makubaliano ya pande zote siyo kama mzenji wetu aliyeondoka kwa fujo na matusi mengi huku akiishia Azam tu. Nilipenda sana nidhamu ya Mayele na jinsi alivyokuwa anajituma uwanjani, na uongeazji wake mzuri wa kiswahili; ni mtu humble sana. Sasa Yanga iwe makini sana kwenye mkataba wa kumuuza.
Feisal ndo kasababisha Mayele akimbie maana alikuwa anamtumia screenshot ya mshahara wake pale Azam kila siku
 
Bahati Mbaya mtoto mdogo kama wewe unataka kushindana na Mtu MWENYE AKILI nyingi kama Mimi.

Ndani ya Miaka miwili yanga IMEKUWA na wachezaji WAFUATAO.

1. Erick johora.
2. Nkane.
3.David Brayson.
4.Mamadou Dombia.
5.Ninja.
6. Mauya
7. Ambundo.
8. krispin Ngushi
9. Eritiermakambo
10. Chiko ushindi WA kubanza.
11.Tuisila kisinda.

Chukua Hiyo.
Hii imeenda.
Madogo wa jamii forums wengi wenu hamna adabu. Eti mtoto mdogo! Ni juzi tu hapa ulitoka kujisifia hata miaka 30 hujafika!! Sasa kwa huo umri wako wa 20's, mimi si kama baba yako tu.
 
Hata mimi najiuliza ngombe wake nadhani watakuwa weshazaliana kidogo, sijui atapanda nao ndege kuwapeleka misri?

Hata hivyo tumwacheni aondoke akajitafutie maisha; tena ameondoka kwa kufuata utaratibu na kwa ustaarabu sana akikidhi makubaliano ya pande zote siyo kama mzenji wetu aliyeondoka kwa fujo na matusi mengi huku akiishia Azam tu. Nilipenda sana nidhamu ya Mayele na jinsi alivyokuwa anajituma uwanjani, na uongeazji wake mzuri wa kiswahili; ni mtu humble sana. Sasa Yanga iwe makini sana kwenye mkataba wa kumuuza.
Yah hakua na baya na mtu wala timu pinzani..he was a fair player..
 
Feisal ndo kasababisha Mayele akimbie maana alikuwa anamtumia screenshot ya mshahara wake pale Azam kila siku
Siyo kweli. Ameondoka kwa ofa kubwa ya Waarabu. feisal hajawa mc hezaji wa kulipwa Milioni 50 labda tu kwa vile Bakhresa ni mzenji mwenzie awe anamlipa kutokana na utajiri wake lakini siyo kwa sababu ya uchezaji.

Hata hivyo, Feisal angeondoka kama mwenzake alivyofanya; yaani kwa makubaliano ya pande zote mbili kiasi kuwa timu inayoimtaka ikaleta dau baada ya msimu; siyo kwa mbwemwe na matusi tena katikati ya msimu.

Ooh !! eti analishwa Ugali na sukari!
 
Back
Top Bottom