Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Damn,.Apumzike kwa amani Mwamba.
Yeye ndo kageuzwa bikira maana Ibilisi anampididy tu huko sa hizi na atapididiwa mileleAkawahi sasa bikira 72 na mito ya pombe kwa allah.
Wewe siulisema hajafu mpaka ukatukana tu, sasa unalia nini?Allah Yarhamo Muislam kufa lazima awake akilini ni second, huyo ni Mwanaume tatizo la Israel anadhani kila akiuwa kiongozi wa Hezbullah ndio kashinda asubiri ambaye atakuja ni koboko kuliko Nasurlah.
Israel na US wana watu wao wameisha wanunua ndio wanawapa infomation.
Any way Nasurlah alikuwa hata kuwauwa civilian wa Israel huyu anaye kuja atakuwa kama Yeye.
Seif Din ni kiboka lakini wengine wanasema na yeye alikuwepo kwenye huo mkutano.
Wauaji wanauanaNi rasmi ameuawa jana kwenye Makao makuu ya Hezbollah -Beirut kwa mashambulizi ya ndege za F35 ambapo eneo alilokuwemo lilipigwa na bomu la bunker lenye pound 2000.
Hassan Nasrallah ameongoza Hezbollah kwa miaka 32,kutoka mpiganaji wa mtaani mpaka kiongozi Mkuu.
View attachment 3109404View attachment 3109405
waarabu walishajaribu na walikung'utwa kipigo cha mbwa mwizi na ndo maana Misri na Jordan zina mkataba wa amani na Israel na kamwe hawataki shobo na IsraelHuyu shetani Israel anaendeleza ushetani wake na umoja wa mataifa uko kimya.waarabu wachukue hatua wachangie kumpiga huyu facist
Sababu Hezbullah alikuwa hajatangaza kama kafa. Israel sio kila anacho sema ni sawa, kwanza walisema wamemuwa jana, afu na wao wakasita hapo ndio ujuwe Israel mnamkuza tu hana lolote mpaa apewe infomation na wanafiki kule Lebanon. sababu wale wanafiki walikuwa hawajamuona Nasurlah 💯 kama kafaUlisema hajafa 😂😂
Irani mweupe tu muda mchache uliopita kajaribu kupeleka kindege chake hapo Beirut, Lebanon wakakizuia wakamwambia Iran usituongezee misiba hapa kwa madhaliliko makubwa kindege kikageuza kurudi tehran maana kingelipuliwa na myahudi instantHakuna msaada Iran amewahi kutoa kwa magaidi wake... Haniya kafa na Nashrallah kafa na hakuna kilichofanyika, Israel Iko Gaza na Hezbollah waliobaki walisema Su, anaingia Lebanon na hakuna kitu Iran atafanya
Allah Yarhamo Muislam kufa lazima awake akilini ni second, huyo ni Mwanaume tatizo la Israel anadhani kila akiuwa kiongozi wa Hezbullah ndio kashinda asubiri ambaye atakuja ni koboko kuliko Nasurlah.
Israel na US wana watu wao wameisha wanunua ndio wanawapa infomation.
Any way Nasurlah alikuwa hataki kuwauwa civilian wa Israel huyu anaye kuja je atakuwa kama Yeye.
Seif Din ni kiboka lakini wengine wanasema na yeye alikuwepo kwenye huo mkutano.
Duh!Israel na US wana watu wao wameisha wanunua ndio wanawapa infomation.
Huyu shetani Israel anaendeleza ushetani wake na umoja wa mataifa uko kimya.waarabu wachukue hatua wachangie kumpiga huyu facist
Hao ukiwapa tende tu unajipigiaDuh!
Watu wa Allah wananunulika, hatari.
nimechekaKumbe allah ndio analeta magaidi?!
Huyu apewe bikira 216 na bahari ya pombeAkawahi sasa bikira 72 na mito ya pombe kwa allah.
Naye jamaa wakiumua wanamwondoa tu. Umesikia Hayatollah amefichwa? Jamaa wakikaa wakaamua unaondoka tu. Wanakuwahisha.Allah amlete aliye bora zaidi ya yeye.
Sio mabikra tu Hadi mito ya pombe sisi waislamu swafi tumeahidiwa,peponi ni full ngono tu!!😂😂😂Hakuna sehemu kwenye Quran kumetaja Bikra 72. Kama unaushahid lete
Shika adabu zako wewe Allah akita kuiteketeza hio Israel ni second tu. Usidhani kila Firauni anateketezwa na Mungu pale pale. Anamuwacha note mapembe weee afu anamzimisha kama vile Firauni na wenzake walio jifanya ni miung Kama anavyo jifanya Israil na yeye taifa la miungu wenu 1=3 time yake haipo mbali yeye na huyo anaye jita super power US.Kumbe allah ndio analeta magaidi?!
Asingeingilia ugomvi yasin
Hawa vifaranga 1=3 haziwatoshi wananikimbusha Firauni alivyo jidai yeye ni mungu mkubwa 😄Allah amlete aliye bora zaidi ya yeye.