Rasmi Hezbollah yathibitisha kuuawa kwa kiongozi wao Hassan Nasrallah

Rasmi Hezbollah yathibitisha kuuawa kwa kiongozi wao Hassan Nasrallah

Allah Yarhamo Muislam kufa lazima awake akilini ni second, huyo ni Mwanaume tatizo la Israel anadhani kila akiuwa kiongozi wa Hezbullah ndio kashinda asubiri ambaye atakuja ni koboko kuliko Nasurlah.

Israel na US wana watu wao wameisha wanunua ndio wanawapa infomation.

Any way Nasurlah alikuwa hata kuwauwa civilian wa Israel huyu anaye kuja atakuwa kama Yeye.

Seif Din ni kiboka lakini wengine wanasema na yeye alikuwepo kwenye huo mkutano.
Wewe siulisema hajafu mpaka ukatukana tu, sasa unalia nini?
 
Ulisema hajafa 😂😂
Sababu Hezbullah alikuwa hajatangaza kama kafa. Israel sio kila anacho sema ni sawa, kwanza walisema wamemuwa jana, afu na wao wakasita hapo ndio ujuwe Israel mnamkuza tu hana lolote mpaa apewe infomation na wanafiki kule Lebanon. sababu wale wanafiki walikuwa hawajamuona Nasurlah 💯 kama kafa
 
Hakuna msaada Iran amewahi kutoa kwa magaidi wake... Haniya kafa na Nashrallah kafa na hakuna kilichofanyika, Israel Iko Gaza na Hezbollah waliobaki walisema Su, anaingia Lebanon na hakuna kitu Iran atafanya
Irani mweupe tu muda mchache uliopita kajaribu kupeleka kindege chake hapo Beirut, Lebanon wakakizuia wakamwambia Iran usituongezee misiba hapa kwa madhaliliko makubwa kindege kikageuza kurudi tehran maana kingelipuliwa na myahudi instant
 
Allah Yarhamo Muislam kufa lazima awake akilini ni second, huyo ni Mwanaume tatizo la Israel anadhani kila akiuwa kiongozi wa Hezbullah ndio kashinda asubiri ambaye atakuja ni koboko kuliko Nasurlah.

Israel na US wana watu wao wameisha wanunua ndio wanawapa infomation.

Any way Nasurlah alikuwa hataki kuwauwa civilian wa Israel huyu anaye kuja je atakuwa kama Yeye.

Seif Din ni kiboka lakini wengine wanasema na yeye alikuwepo kwenye huo mkutano.

Ila Nasrallah angetulia yasingemkuta.
 
Hakuna sehemu kwenye Quran kumetaja Bikra 72. Kama unaushahid lete
Sio mabikra tu Hadi mito ya pombe sisi waislamu swafi tumeahidiwa,peponi ni full ngono tu!!😂😂😂

“There is no one whom Allah will admit to Paradise but Allah will marry him to seventy-two wives, two from houris and seventy from his inheritance from the people of Hell, all of whom will have desirable front passages and he will have a male member that never becomes flaccid (i.e., soft and limp).’”
حَدَّثَنَا هِشَامُ بْنُ خَالِدٍ الأَزْرَقُ أَبُو مَرْوَانَ الدِّمَشْقِيُّ، حَدَّثَنَا خَالِدُ بْنُ يَزِيدَ بْنِ أَبِي مَالِكٍ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ خَالِدِ بْنِ مَعْدَانَ، عَنْ أَبِي أُمَامَةَ، قَالَ قَالَ رَسُولُ اللَّهِ ـ صلى الله عليه وسلم ـ ‏ "‏ مَا مِنْ أَحَدٍ يُدْخِلُهُ اللَّهُ الْجَنَّةَ إِلاَّ زَوَّجَهُ اللَّهُ عَزَّ وَجَلَّ ثِنْتَيْنِ وَسَبْعِينَ زَوْجَةً ثِنْتَيْنِ مِنَ الْحُورِ الْعِينِ وَسَبْعِينَ مِنْ مِيرَاثِهِ مِنْ أَهْلِ النَّارِ مَا مِنْهُنَّ وَاحِدَةٌ إِلاَّ وَلَهَا قُبُلٌ شَهِيٌّ وَلَهُ ذَكَرٌ لاَ يَنْثَنِي ‏"‏ ‏.‏ قَالَ هِشَامُ بْنُ خَالِدٍ مِنْ مِيرَاثِهِ مِنْ أَهْلِ النَّارِ يَعْنِي رِجَالاً دَخَلُوا النَّارَ فَوَرِثَ أَهْلُ الْجَنَّةِ نِسَاءَهُمْ كَمَا "وُرِثَتِ امْرَأَةُ فِرْعَوْنَ ‏.‏
English reference : Vol. 5, Book 37, Hadith 4337
Arabic reference : Book 37, Hadith 44
 
Kumbe allah ndio analeta magaidi?!
Shika adabu zako wewe Allah akita kuiteketeza hio Israel ni second tu. Usidhani kila Firauni anateketezwa na Mungu pale pale. Anamuwacha note mapembe weee afu anamzimisha kama vile Firauni na wenzake walio jifanya ni miung Kama anavyo jifanya Israil na yeye taifa la miungu wenu 1=3 time yake haipo mbali yeye na huyo anaye jita super power US.
 
K
Asingeingilia ugomvi yasin

Jaribu usome historiabyake. Ameabza kuongoza Hezbollah mwaka 1992, amewahi kutangazwa kuuawa na serikali ya Israel mara 7 katika miaka tofauti tofauti mpaka hapo Jana wamefanikiwa ikiwa ni mara ya 8. Amewahi kuongoza vita vingi sana baina ya Israel na Hezbollah ikiwemo vita vya ukombozi na mfanikio makubwa 2000 na vita pia vya 2006 ambapo Israel ilikaribia kuiteka Beirut.

Ni mtu ambae Israel na Marekani wamemuwinda kwa miaka 30.

Ni mtu pekee ambae wazi wazi na kwa vitendo alitangaza kua daima atawaunga mkono Palestine na kwa mwaka mzima tangu September 7 vita vianze baina ya HAMAS na Israel amekua akiendesha mashambulizi ya vituo vya kijeshi na miundo mbinu ya jeshi.

Israel ilikua imejiandaa kuingia vitani na Hezbollah na tayari moakani imeandaa vikosi vya kutosha vya vifaru kwa ajili ya kuanza mashambulizi ya ardhini baada ya kufanya mashambulizi ya ndege zaidi ya 2000 kwa muda wa wiki moja.

Alikua akifahamu ipo siku atakuawa kwani hata yeye alichukua uongozi kutoka kwa mtu ambae aliuawa na Israel.

Swali kuu- Hezbollah itakufa nguvu?!! Israel ameshinda rasmi vita dhidi ya Hezbollah na HAMAS?!!

Tusubirie ndani ya wiki 2.
 
Back
Top Bottom