Tatizo wanaishi na wananchi wao kibabe sana.. hata iran yenyewe haikuwa nchi ya misimamo mikali kabla ya kina ayatolla kuingia.. unakuta wananchi hawapendi serikali/utawala.. kwanini wasinunulike hapo?Duh!
Watu wa Allah wananunulika, hatari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo wanaishi na wananchi wao kibabe sana.. hata iran yenyewe haikuwa nchi ya misimamo mikali kabla ya kina ayatolla kuingia.. unakuta wananchi hawapendi serikali/utawala.. kwanini wasinunulike hapo?Duh!
Watu wa Allah wananunulika, hatari.
Aisee, kweli.Tatizo wanaishi na wananchi wao kibabe sana.. hata iran yenyewe haikuwa nchi ya misimamo mikali kabla ya kina ayatolla kuingia.. unakuta wananchi hawapendi serikali/utawala.. kwanini wasinunulike hapo?
Acha akavhomwe sasaNi rasmi ameuawa jana kwenye Makao makuu ya Hezbollah -Beirut kwa mashambulizi ya ndege za F35 ambapo eneo alilokuwemo lilipigwa na bomu la bunker lenye pound tani 2000.
Hassan Nasrallah ameongoza Hezbollah kwa miaka 32,kutoka mpiganaji wa mtaani mpaka kiongozi Mkuu.
View attachment 3109404View attachment 3109405
Israel ni nooumaa na nuusu
Nimecheka sana heti hawataki shobowaarabu walishajaribu na walikung'utwa kipigo cha mbwa mwizi na ndo maana Misri na Jordan zina mkataba wa amani na Israel na kamwe hawataki shobo na Israel
Too late, urais akija kushinda Trump ndo kabisa hakutakua na afadhaliAllah amlete aliye bora zaidi ya yeye.
Alikuwepo kiongozi kabla yake akauawa na akaja yeye.Too late
Israel anamaliza mambo fasta hadi waje kujipanga sio leo ....666 hio ukila na kipofu usimshike mkonoAlikuwepo kiongozi kabla yake akauawa na akaja yeye.
Hivyo atakuja mwingine zaidi yake.
Sio rahisi kama unavyodhani.Israel anamaliza mambo fasta hadi waje kujipanga sio leo ....666 hio ukila na kipofu usimshike mkono
Muda si mrefu Hezbollah itafutwa kwenye ardhi ya Lebanon.Hii issue ya Lebabon Hezibollah wamejitakia , kwani hezibolah ndo wapigane na Israel na siyo Serikali ya Lebanon hapo jamaa ametaka kufurahisha Iran lakini imegharimu maisha yake.
Hao ni wapalestina waliovamia nchi ya watu na kuanza kuleta majanga huko Lebanon,,,,watafumuliwa kama wenzao wa Gaza walivyofumuliwaSio rahisi kama unavyodhani.
Hao hizbollah nao ni binadamu wana akili na mipango vile vile.
Huijui Hizbollah kaisome vizuri.Hao ni wapalestina waliovamia nchi ya watu na kuanza kuleta majanga huko Lebanon,,,,watafumuliwa kama wenzao wa Gaza walivyofumuliwa
Yeye unawasema HezbollahHuijui Hizbollah kaisome vizuri.
Hamna jipya hapo we ,,,,waarabu na madevu yao wanapelekeshwa mbio na ka nchi kadogo tu,,,,,,huu mtanange tokea uaze Netanyahu bado yupo palepale Israel bado haijabadili kiongozi ila huku wanabadilika tu,,,,,,,walianza na yule wa Iran wakapita naeHuijui Hizbollah kaisome vizuri.
Yeyote atakayekuja atauwawa na wayahudi so mwisho wa siku Iran anabaki kuwa looser tu kamwe hatofanikiwa lengo lake la kishetani la kuifuta Israel kwenye uso wa dunia. Umekuwa ukiisifia sana Hezbollah kuwa ina la maana ubishi wako leo umefika mwisho ukishuhudia kwa macho yako. Najua bado utaendelea kuamini mnayoaminishana na wana wengine wa Ibilisi ila uzuri ni kuwa muda unavyoenda kile mnahoamini mnaona kwa macho kuwa ni kinyume chake.Alikuwepo kiongozi kabla yake akauawa na akaja yeye.
Hivyo atakuja mwingine zaidi yake.
Hahahaha nawapendaga tu kwenye kujitoa ufahamu. Haya na ile mito ya pombe usisahauHakuna sehemu kwenye Quran kumetaja Bikra 72. Kama unaushahid lete