π€£π€£π€£Tuandaeni usiku wa vyombo jamani
Tuandaeni usiku wa vyombo jamani tumuageπ€£
Mpaka atutumie picha ya shemelaTuandaeni usiku wa vyombo jamani tumuageπ€£
Mpost shemeji basi da mauKaribuni ila hakuna viti
Nimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa.
Na kama hamtaniona hapa JF nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema.
N:B Maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na JF ataona wivu. ππ
Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower
Tatizo bi dada Ana maroroso kama yote...tunakuwa hatujamaliza kusoma hili lishakuja jingine πMaana mwezi wa pili kipindi Cha valentine alisema ameolewa na amebadili jina anaitwa Mwantumu Khalid Juma Kileo au nadanganya ndugu yangu Lamomy ?πππ
Anatupiga na vyuma vizitoo,Tena chakavuTatizo bi dada Ana maroroso kama yote...tunakuwa hatujamaliza kusoma hili lishakuja jingine π
No Hapana Unique Flower sio Lamomy Kwa bahati nzuri nawajua Hawa wote
Sasa hivi kalala itakuwa. Akirudi hewani, zote zinarudi πAnaachaje I'd ya kibabe namna hiyo?I'd mashuhuri?