Rasmi: I want to Say Good bye to All JF people



Hapa utarudi, na karibu sana, umetukimbia maana unalinda ndoa, ndoa ikivurugika karibu tuendelee kutiana moyo wahanga wa ndoa.
 
Maana mwezi wa pili kipindi Cha valentine alisema ameolewa na amebadili jina anaitwa Mwantumu Khalid Juma Kileo au nadanganya ndugu yangu Lamomy ?😁😁😁
Tatizo bi dada Ana maroroso kama yote...tunakuwa hatujamaliza kusoma hili lishakuja jingine πŸ˜…
 
Sema JF inavituko sana. Yani Lamomy anatuaga kwa kutumia I'd yake nyingine, then anarudi kwenye Uzi huu huu na id zake zingine kujichatisha πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Anyways, Missy Gf na Joannah ndugu yenu leo anataka kuipiga chini I'd yake pendwa
 
Sema JF inavituko sana. Yani Lamomy anatuaga kwa kutumia I'd yake nyingine, then anarudi kwenye Uzi huu huu na id zake zingine kujichatisha πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Anyways, Missy Gf na Joannah ndugu yenu leo anataka kuipiga chini I'd yake pendwa
Usimsingizie huyo kwenye I'd ni wewe tunakujua 🀣
 
Sio uage huku alafu ubakie huku JF, ondoka kabisa, ndoa itunze, sio ushindwe kutoa shimo vizuri kwa huyo mumeo, akichepuka malizaneni huko huko..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…