Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
- Thread starter
-
- #241
Huyu hawezi nimejitolea kuliwa vyemaNa da mau hachelewi kukiwasha akapewa talaka πππ
Nakutakia heri sana sana.Nimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa.
Na kama hamtaniona hapa JF nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema.
N:B Maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na JF ataona wivu. ππ
Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower
Sasa itakuwaje mbona na mimi nilikuwa namalizia kukujengea kakoteji Kigamboni! So soon hivyo.Nimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa.
Na kama hamtaniona hapa JF nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema.
N:B Maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na JF ataona wivu. ππ
Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower
Unatatizo la afya ya akili mume ajipangeNimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa .
Na kama hamtaniona hapa jf nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema .
N:B maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na jf ataona wivu. [emoji19][emoji19]
Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower
Labda wewe mwenzawako ajipangeUnatatizo la afya ya akili mume ajipange
Wacha mbona hujasemaSasa itakuwaje mbona na mimi nilikuwa namalizia kukujengea kakoteji Kigamboni! So soon hivyo.
Mambo bebi..πββοΈLabda wewe mwenzawako ajipange
Nimekupa πΉπ·yako...πAiseee
Hujaondoka tuAiseee
Naniniukibanwa utarudi tu
Hapana
Kesho kutwa naenda subiriniHujaondoka tu
Ondoka chap pengo lako lizibweKesho kutwa naenda subirini
Sijafa taratibuOndoka chap pengo lako lizibwe
Switch tu ID nyingine, mambo yasiwe mengi[emoji23]Nimepata mume na kwakweli kwa sababu nilikuwa humu kama mmoja wa wanajf napenda kutoa shukurani kwa wanajf wote, mie nimekuwa na familia ambayo inanitegemea kwa sasa.
Na kama hamtaniona hapa JF nikwamba mambo yamenizidi asanteni na kwaherini. Niwatakie wakati mwema.
N:B Maisha ya ndoa mtu hataki kuona upo busy na JF ataona wivu. [emoji19][emoji19]
Have a blessed time
Wenu ,
Unique Flower