RASMI - Kenya ita Copy Katiba Ya Tanzania kwa Mfumo wa serikali

Kwanini waitaje hata kama ni Mara moja?, kwanini wasitaje hizo nchi za wazungu japo hiyo Mara moja?, ni nchi gani kati ya hizo za wazungu ambazo PM anateuliwa na rais?.

The fact that you have mentioned Tanzania even once in a very important document like this, signifies the importance of Tanzania to Kenya.

Hata kama Tanzania isingetanywa, lakini kitendo cha kufanya kama tunavyofanya Tanzania, ni dalili fika kwamba mnatuiga, kwasababu matamshi Mengi ya wanasiasa mbalimbali na wananchi wa Kenya wamekuwa wakiitaka serikali na viongozi wa Kenya kuiga mfano wa Tanzania
 
Hvyo vitu vyote vilikuwepo...confused danzagiza[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kikwete ndiye aliyekuja kuanzisha mfumo wa PM wakati mlipopigana mwaka 2008, kwa ujinga wenu na kutokua na akili mkauacha, sasa mnarudi tena baada ya kugundua kwamba bila mawazo ya watanzania hamuwezi kusonga mbele
 
Tanzania nayo ina katiba[emoji1787][emoji1787]
Ndio sababu hatuna Ukabila wala rushwa, hakuna mtu aliyetwaa ardhi ya mtu, hatuna pengo kubwa kati ya masikini na tajiri, hizo zote ni kwasababu tuna Katiba nzuri inayowajali raia wake, sio inayojali matajiri na wanasiasa.
 
the documents is now officially out, can you show us, by highlighting, where Tanzania has been mentioned in that report
 
Ndio sababu hatuna Ukabila wala rushwa, hakuna mtu aliyetwaa ardhi ya mtu, hatuna pengo kubwa kati ya masikini na tajiri, hizo zote ni kwasababu tuna Katiba nzuri inayowajali raia wake, sio inayojali matajiri na wanasiasa.
Rudia tena[emoji1787][emoji1787]
 
Ulikutana na Raila Na Uhuru wapi wakakuambia haya yote?
 
Kikwete ndiye aliyekuja kuanzisha mfumo wa PM wakati mlipopigana mwaka 2008, kwa ujinga wenu na kutokua na akili mkauacha, sasa mnarudi tena baada ya kugundua kwamba bila mawazo ya watanzania hamuwezi kusonga mbele
Unajua pm wa kwanza kenya alikua nani!!
Punguza hasira please
 

You should learn to answer questions directed to you.
Mkikuyu akili chafu was referring to the original MOU between Kibaki and Raila.

Raila alitaka PM powerful.
 

Tanzania haijatajwa hata mara moja. Enda usome ripoti, kama utaelewa kingereza.

Nimepitia official document yote, 156 pages, hakuna hata jina Tanzania. 😂 😂 😂
 
Tanzania haijatajwa hata mara moja. Enda usome ripoti, kama utaelewa kingereza.

Nimepitia official document yote, 156 pages, hakuna hata jina Tanzania. 😂 😂 😂
How do you expect a danganyikan to comprehend a document written in English?
 
Tanzania haijatajwa hata mara moja. Enda usome ripoti, kama utaelewa kingereza.Nimepitia official document yote, 156 pages, hakuna hata jina Tanzania.
[emoji23][emoji23][emoji23] Wameingia mafichoni. Wabongo bana, huu mchezo wa porojo na propaganda wanaupenda sana.
 
Nangoja kuona mleta mada akituonesha ni wapi haswa walipotaja Tz kwenye hiyo ripoti ya BBI.
Mm nipiwaambia wakenya wasubili mwakani sasa haya mambo ya BBI yanakuja Kwa sababu wakikuyu wameanza kutambua mzimu wa tz unaweza kuwa kweli mambo yakawa si mambo mwakani na 2022 hivyo wanaanza kujipanga mapema
 
Mm nipiwaambia wakenya wasubili mwakani sasa haya mambo ya BBI yanakuja Kwa sababu wakikuyu wameanza kutambua mzimu wa tz unaweza kuwa kweli mambo yakawa si mambo mwakani na 2022 hivyo wanaanza kujipanga mapema
.... tutasubiLi mwakani Mkuu. Umesema 2022?
 
Ipi ile ya warioba au hii ya 77 au ya Zanziabr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…