Moshi25
JF-Expert Member
- May 6, 2022
- 2,555
- 4,118
Onyango alimshika miguu TK Master akamuomba msamaha na "kumuamkua" jamaa , shikamoo TK Master!Onyango Tabu Ipo Pale Pale [emoji28][emoji28]
Sipati picha itakuwaje TK Master, Aziz Ki, Feisal na Mayele hiyo kombination hata waje Real Madrid au Brazil wanakufa tu!
Asikwambie mtu hii Yanga tamu sana maana sasa tumesha jimilikisha makombe yote ya Bara, Africa na Dunia! lete mjinga yoyote tunampasua tu!