Rasmi: Kisinda ruksa kuichezea Yanga

Rasmi: Kisinda ruksa kuichezea Yanga

Kwani wakati kisinda anasajiliwa ilikua nje ya mda.? CAF sio kwamba hawana akili kama wewe wanajua kwamba kunawezekana mchezaji hakaumia hivyo kwenye taratibu kuna exception kama walizo tumia Yanga cha msingi mchezaji asajiliwe kwa wakati....lakini sio kwa sababu ulizosema hapo man
sikiliza wewe, kuwa na wachezaji 40 caf sawa ila kwa tanzania tff wameweka kanuni ni wachezaji 12 tu. kwahiyo hata ukiwa na 60 jua caf watacheza hao hao 12 tu. kucheza caf lazima uwe na leseni ya ndani (ya tff) sasa wewe sajili 60 uone tff watatoa leseni kwa wachezaji wangapi[emoji23][emoji23]
 
Kuna umuhimu vyuo vyetu vifundishe Contract Laws kila kozi, jambo dogo kama hili mnabishana mpaka mishipa ya shingo! Kosa lipo kwa TFF kusababisha public panic bila sababu za msingi, wasipo jitathmini wanaweza sababisha matayizo siku moja.
 
Acha uju
sikiliza wewe, kuwa na wachezaji 40 caf sawa ila kwa tanzania tff wameweka kanuni ni wachezaji 12 tu. kwahiyo hata ukiwa na 60 jua caf watacheza hao hao 12 tu. kucheza caf lazima uwe na leseni ya ndani (ya tff) sasa wewe sajili 60 uone tff watatoa leseni kwa wachezaji wangapi
emoji23.png
emoji23.png
sikiliza wewe, kuwa na wachezaji 40 caf sawa ila kwa tanzania tff wameweka kanuni ni wachezaji 12 tu. kwahiyo hata ukiwa na 60 jua caf watacheza hao hao 12 tu. kucheza caf lazima uwe na leseni ya ndani (ya tff) sasa wewe sajili 60 uone tff watatoa leseni kwa wachezaji wangapi[emoji23][emoji23]
unajifanya unajua kumbe akili zako kama za karia na katibu wake...angezuia kisinda hasicheze afu ndo mngejua kati yenu na wananchi nani mwanaume...
 
sikiliza wewe, kuwa na wachezaji 40 caf sawa ila kwa tanzania tff wameweka kanuni ni wachezaji 12 tu. kwahiyo hata ukiwa na 60 jua caf watacheza hao hao 12 tu. kucheza caf lazima uwe na leseni ya ndani (ya tff) sasa wewe sajili 60 uone tff watatoa leseni kwa wachezaji wangapi[emoji23][emoji23]
Unaongea vitu haujui CAF inataka wachezaji 40 pasipo kujali wanatoka nchi gani hao 12 ni sheria ya TFF
 
Unaongea vitu haujui CAF inataka wachezaji 40 pasipo kujali wanatoka nchi gani hao 12 ni sheria ya TFF
ukiongelea wewe unayejua basi inatosha haya kasajili 40 halafu akose leseni uone akacheze na mkweo au shemeji yako.
mchezaji acheze caf lazima awe na leseni ya ndani. kama hujui kanuni uliza
 
wadau tueleweshane nimeona video hapa kuwa kisinda ameruhusiwa tena kuna maneno magumu kocha nabi ametamka hapa ukisikiliza kwa makini, sasa, kama alizuiliwa kutokana na sheria hizo sheria zimeenda wapi au kama ni vinginevyo kwa nini walimzuia?

video ya kocha nabi akiongea
 
Rasmi klabu ya Yanga imemtambulisha Tuisila Kisinda kuwa mchezaji wao baada ya makubaliano ya pande zote mbili kwa kumuondoa Kambole.
 
Rasmi klabu ya Yanga imemtambulisha Tuisila Kisinda kuwa mchezaji wao baada ya makubaliano ya pande zote mbili kwa kumuondoa Kambole.
Kwa hiyo na wewe Monica28 ni mwananchi, au umeleta tu taarifa! Maana ukiwa Mwananchi, basi mema yote ya nchi yanakuwa chini yako.
 
Kwenye hili TFF walipuyanga sana..
All in all Kisinda amepata fursa ya kucheza acha akiwashe ili hapo October tuone umri wa Onyango ni miaka 27 kama vyeti vyake vinavosema au ni miaka 45 tunayoijua sisi wakongwe wenzake..
Kijana unamkosea adabu Onyango sio?. Yule ni over 50,kocha na wachezaji wote wa Makolo wanatoa shkamoo kwa ku bend.
 
Back
Top Bottom