othiambo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2014
- 1,995
- 2,795
Keko na chang'ombe yetuTATIZO UKABAJI[emoji16][emoji16][emoji16].
watoto wa mitaa ile hawafai hata kidogo.hapo wanachekelea tu wakabe simu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Keko na chang'ombe yetuTATIZO UKABAJI[emoji16][emoji16][emoji16].
watoto wa mitaa ile hawafai hata kidogo.hapo wanachekelea tu wakabe simu
Hahahaaa. Lol.Kuna utafiti naufanya hasa kwenye nyuzi ambazo Shadeeya anashiriki. Nadhani jumapili itakuwa ndio siku ya kupata jibu langu juu ya utafiti wangu.
EeeehSimba asiingie uwanjani na matokeo mfukoni, tutaumbuka, akapambane haswa hii mechi ni ngumu mno.
Sema tu sisi Simba ni watu wema, hatuna ubaya na mtu.We unataka niseme kitu mnitowe macho eee. 🤣🤣🤣
Nakushauri siku hiyo ulale tu ili kuepuka tatizo la kukosa usingizi, litakalo sababishwa na Mnyama mkali Simba atakapotinga robo fainali.Hahahaaa. Ntacheka sana hiyo siku.
Tusubiri tuone.
Hahahaaa. Kuna siku niliandika kitu kule uzi wa Yanga sijui yule jamaa alitokea wapi wacha anitowe nishai. 🤣Sema tu sisi Simba ni watu wema, hatuna ubaya na mtu.
Sikatai ila kazi munayo game saa nne. 😅Nakushauri siku hiyo ulale tu ili kuepuka tatizo la kukosa usingizi, litakalo sababishwa na Mnyama mkali Simba atakapotinga robo fainali.
SIMBA NGUVU MOJA
SIMBA BINGWA CAFCC 2021/2022
Angalia wasije wakakutoa rohoHahahaaa. Kuna siku niliandika kitu kule uzi wa Yanga sijui yule jamaa alitokea wapi wacha anitowe nishai. 🤣
Sina hamu Mtani. Siku ya game nitatiririka. 🤣🤣🤣
Hiyo mida ndiyo mizuri sasa.Sikatai ila kazi munayo game saa nne. 😅
Hahahaa!! Kwa kweeli.Angalia wasije wakakutoa roho
Okay! Utanitag basi. 😅Hiyo mida ndiyo mizuri sasa.
Sawa mimi yangu macho tu.Hahahaa!! Kwa kweeli.
Ila sio rahisi Mtani sababu huwa najua namna ya kuhandle hizo situations. 😅😅😅
Sawa usijali mtani, niombee tu niwe na bando.Okay! Utanitag basi. 😅
Bando hilo veeepe!!Sawa usijali mtani, niombee tu niwe na bando.
Keko na chang'ombe yetu
Uchache wa watazamajiKiaje Mtani?
Sa we inakuhusu nini Mtani. 🤣🤣Uchache wa watazamaji
🤣 Sawa mtaniSa we inakuhusu nini Mtani. 🤣🤣
Hao hao watakaojaaliwa wanatosha.