wakuu salaam,
Chama na Miqueson walichangia magoli 40+ ambayo ni zaidi ya nusu ya magoal yote tulopata msimu uliopita, leo hawapo na sajili tulizofanya hazioneshi dalili ya kutengeneza walau nusu ya magoal hayo.
kinachonisikitisha ni kuona vile Chama aliondoka kizembe ajili ya upumbavu wa Mo, wanasimba tujiandae kisaikolojia kupitia wakati mgumu maana furaha tuloizoea mo kaiharibu kwa ujeuri wa pesa.
Mpaka hapa msimu huu nawaona yanga na azamu wakichuana vikali kulitwaa taji la ligi huku sisi tukianza kujenga upya team.
Usioneshe ujinga wako hadharani kama huwezi kuuficha.wakuu salaam,
Chama na Miqueson walichangia magoli 40+ ambayo ni zaidi ya nusu ya magoal yote tulopata msimu uliopita, leo hawapo na sajili tulizofanya hazioneshi dalili ya kutengeneza walau nusu ya magoal hayo.
kinachonisikitisha ni kuona vile Chama aliondoka kizembe ajili ya upumbavu wa Mo, wanasimba tujiandae kisaikolojia kupitia wakati mgumu maana furaha tuloizoea mo kaiharibu kwa ujeuri wa pesa.
Mpaka hapa msimu huu nawaona yanga na azamu wakichuana vikali kulitwaa taji la ligi huku sisi tukianza kujenga upya team.
Acha uongo basi mkuuKila mtu eti amekua mchambuzi wa soka.
Msimu uliokwisha kwenye mapinduzi cup Zanzibar Yanga walibeba ubingwa Chama na Merquison wakiwemo.
Kwenye mechi ya ligi pia msimu uliokwisha Yanga mbovu kuliko zote walipata goli dakika za mwanzo kama mechi ya jana kika ng'ang'ania mpaka mwisho,Chama na Merquisone wakiwemo.
Mechi za Darby sio mechi za kawaida bali ni vita vikuu vya soka.
Simba dirisha dogo wasajlli streka wa maana na kiungo mpishi wa magoli,Usioneshe ujinga wako hadharani kama huwezi kuuficha.
Mpira wa simba bado ni mzuri makosa madogo yanarekebishika simba ina striker wengi kama boko ajibu mgalu kagere wote wana uwezo na wanabadilika.
Miki na chama tushaanza kuwasahau kwani hakunq mchezaji wa kudumu simba hata awe mzuri vipi ataondoka kwa kuuzwa ama atakufa na yote ni ya kawaida.
Unanunua ili uuze ni biashara na hata ulaya klabu kubwa huuza na kununua imagine baca wamemuuza Messi roho ya timu Ronaldo Madrid wameuza na pesa wanayo leo miki na chama kuuzwa iwe tabu.
Subiri uone timu itafika wapi kwa msimu huu uje kulaumu baada ya msimu kuisha.
Hivi ulitaka kumuona chama akiendelea kua simba kwa muda wa miaka mingapi?Tatizo la yanga la kutokupata magoli limehamia Simba rasmi
Jeuri ya moo kumuondoa Chama itawatokea puani Wana msimbazi msimu huu
Hawa mambwinga wengi wamukua driven by emotions, mpira umekosa adabu kila mtu ambaye kaangalia mpira wa jana kajikuta kafikia vigezo vya kumkosoa Mo.Kila mtu eti amekua mchambuzi wa soka.
Msimu uliokwisha kwenye mapinduzi cup Zanzibar Yanga walibeba ubingwa Chama na Merquison wakiwemo.
Kwenye mechi ya ligi pia msimu uliokwisha Yanga mbovu kuliko zote walipata goli dakika za mwanzo kama mechi ya jana kika ng'ang'ania mpaka mwisho,Chama na Merquisone wakiwemo.
Mechi za Darby sio mechi za kawaida bali ni vita vikuu vya soka.
Ww unaamin mugalu na boko watabadilika ,ni ngum iyo kwa sababu wale sio kwamba hawafungi au hawachezi vzur ila kiasili sio wafungaji wazur asa asa ktk mechi kubwa ukifuatilia mechi nyng za simba mugalu au boko kuna mechi wanakosa magol zaid ya matano tena nafas za waz alaf wanafunga magol mawil au moja zikija mechi kubwa upat nafas zaid ya tano ili ufunge utapata tatu au 2 usipotumia ndio umetoka simba kwa sasa wanaweza kusema bado wachezaji hawajajuana ila sio boko kagere au mugulu wale vzur mmoja angempsha mwingne ambae ni top score kiasiliUsioneshe ujinga wako hadharani kama huwezi kuuficha.
Mpira wa simba bado ni mzuri makosa madogo yanarekebishika simba ina striker wengi kama boko ajibu mgalu kagere wote wana uwezo na wanabadilika.
Miki na chama tushaanza kuwasahau kwani hakunq mchezaji wa kudumu simba hata awe mzuri vipi ataondoka kwa kuuzwa ama atakufa na yote ni ya kawaida.
Unanunua ili uuze ni biashara na hata ulaya klabu kubwa huuza na kununua imagine baca wamemuuza Messi roho ya timu Ronaldo Madrid wameuza na pesa wanayo leo miki na chama kuuzwa iwe tabu.
Subiri uone timu itafika wapi kwa msimu huu uje kulaumu baada ya msimu kuisha.
Unatumiaga bia gani mkuu?Hata kama wangebaki na timu ingepoteza bado maneno kwa wapiga domo yasingekosekana.
Nyie ndo hadi timu ishinde muanze kutamba kuwa mnakikosi bora.
Hivi unakumbuka yanga walikuwa wanasema nini wiki 2 nyuma?
Waulize leo wanavyoiona timu yao,kama vile ndo imeshaweka rekodi ya ubingwa.
Tuupe muda muda huku tukiona nini timu inafanya.
Shida ya simba sio chama wala luis ata kama watakosa ubingwa wale wachezaji waliosajili simba mfano sacko na yule kanoute ukiwaangalia ni wachezaji wazur ila tatzo la simba walifanya zalau na mazoea lazma mwaka huu wajute asa ktk mechi kubwa ,timu ikikaa miaka minne adi mitano pamoja ikafanya vzur si rahisa sana kuendelea kufanya vzur usipoziba matatzo ata kipind chama na luis wapo bado simba walikua na matatzo kama unafuatilia mechi za simba zile ngum kuna mechi wanapoteza morali inatokea mara nying kwa sababu ya kuchoka pia na kujiamin sana simba mwaka uliopta matatzo yao yalikua karbu kila idara nyuma wana matatzo yao bek za pemben zimechoka sana wamecheza sana mwaka huu sikutegemea kama wataendelea kufanya vzur zaid ktk eneo la kiungo mkabaji ule ukabaj wa lwanga kwa timu za kawaida sana ila timu inayokua na viungo wazur lwanga sio mzur kwa kukaba maana umbo lake umr wake unamfanya asiwe na kasi ya kusoma atar mara nyng anacheza faulo akikutana na viungo shap nilijiulza sana simba wanajiamin nn kutosajili mchezaj aina ya aucho ikiwa wana tatzo eneo ilo ,eneo la umaliziaji nalo ndio usiseme unaweza kumlaum mugalu anakosa magol ila shida ata hao wengine ndio wale wale hakukua na sababu ya kuendelea na mugalu na kagere msimu mmoja wapo angempisha mtu mwngine mzur zaid ambae nafas tatu moja ataitumia ,mwaka huu simba wamesajili wachezaji lkn hawakuangalia kuziba matatzo ya mwanzo kwanza wamesajil tu wachezaj kwa kusema uyu mzur anafaa ,ukija kuongeza na mapengo ya chama na luis ndio balaa zaid mwaka huu liwe funzo tukubal mechi kubwa nying tutaumia
ikiwa watu wanamkosoa muumba ye mo ni nani hata asikosolewe? kukosoa ukikutizama -vely lazima uwe na mtizamo kama wako bt ukiutizama +vely lazima kuna kitu utagain.Hawa mambwinga wengi wamukua driven by emotions, mpira umekosa adabu kila mtu ambaye kaangalia mpira wa jana kajikuta kafikia vigezo vya kumkosoa Mo.
Kuna wale mapimbi ambao wameenda mbali kabisa wameanza kumkosoa hadi kocha
Huyo miquson mechi nyingi tena za ndani hapa zilikua zinamkataa kama ilivyokua kwa bocco hapo juzi. Lakini hayo yote yamesahaulika kirahisi kwasababu ya kufungwa na yanga
Huo mpira ulikojifunzia kwa kweli hapana...Shida ya simba sio chama wala luis ata kama watakosa ubingwa wale wachezaji waliosajili simba mfano sacko na yule kanoute ukiwaangalia ni wachezaji wazur ila tatzo la simba walifanya zalau na mazoea lazma mwaka huu wajute asa ktk mechi kubwa ,timu ikikaa miaka minne adi mitano pamoja ikafanya vzur si rahisa sana kuendelea kufanya vzur usipoziba matatzo ata kipind chama na luis wapo bado simba walikua na matatzo kama unafuatilia mechi za simba zile ngum kuna mechi wanapoteza morali inatokea mara nying kwa sababu ya kuchoka pia na kujiamin sana simba mwaka uliopta matatzo yao yalikua karbu kila idara nyuma wana matatzo yao bek za pemben zimechoka sana wamecheza sana mwaka huu sikutegemea kama wataendelea kufanya vzur zaid ktk eneo la kiungo mkabaji ule ukabaj wa lwanga kwa timu za kawaida sana ila timu inayokua na viungo wazur lwanga sio mzur kwa kukaba maana umbo lake umr wake unamfanya asiwe na kasi ya kusoma atar mara nyng anacheza faulo akikutana na viungo shap nilijiulza sana simba wanajiamin nn kutosajili mchezaj aina ya aucho ikiwa wana tatzo eneo ilo ,eneo la umaliziaji nalo ndio usiseme unaweza kumlaum mugalu anakosa magol ila shida ata hao wengine ndio wale wale hakukua na sababu ya kuendelea na mugalu na kagere msimu mmoja wapo angempisha mtu mwngine mzur zaid ambae nafas tatu moja ataitumia ,mwaka huu simba wamesajili wachezaji lkn hawakuangalia kuziba matatzo ya mwanzo kwanza wamesajil tu wachezaj kwa kusema uyu mzur anafaa ,ukija kuongeza na mapengo ya chama na luis ndio balaa zaid mwaka huu liwe funzo tukubal mechi kubwa nying tutaumia