Rasmi nawaondoa simba kwenye mbio za ubingwa 2021-2022

Rasmi nawaondoa simba kwenye mbio za ubingwa 2021-2022

Kwa soka lipi ulilowahi kucheza au ukocha uliowahi kuufanya!? 😳😳😳

wakuu salaam,

Chama na Miqueson walichangia magoli 40+ ambayo ni zaidi ya nusu ya magoal yote tulopata msimu uliopita, leo hawapo na sajili tulizofanya hazioneshi dalili ya kutengeneza walau nusu ya magoal hayo.

kinachonisikitisha ni kuona vile Chama aliondoka kizembe ajili ya upumbavu wa Mo, wanasimba tujiandae kisaikolojia kupitia wakati mgumu maana furaha tuloizoea mo kaiharibu kwa ujeuri wa pesa.

Mpaka hapa msimu huu nawaona yanga na azamu wakichuana vikali kulitwaa taji la ligi huku sisi tukianza kujenga upya team.
 
Mtoa mada subiri ligi ianze acha kutoa hitimisho bado mapema mno.
 
Cheka hawa Makolo wanalialia wasenge ninyi,, kwa chama ni mamaenu ako akiwapak@ta..?
Hamna timu nyie
 
wakuu salaam,

Chama na Miqueson walichangia magoli 40+ ambayo ni zaidi ya nusu ya magoal yote tulopata msimu uliopita, leo hawapo na sajili tulizofanya hazioneshi dalili ya kutengeneza walau nusu ya magoal hayo.

kinachonisikitisha ni kuona vile Chama aliondoka kizembe ajili ya upumbavu wa Mo, wanasimba tujiandae kisaikolojia kupitia wakati mgumu maana furaha tuloizoea mo kaiharibu kwa ujeuri wa pesa.

Mpaka hapa msimu huu nawaona yanga na azamu wakichuana vikali kulitwaa taji la ligi huku sisi tukianza kujenga upya team.
Usioneshe ujinga wako hadharani kama huwezi kuuficha.
Mpira wa simba bado ni mzuri makosa madogo yanarekebishika simba ina striker wengi kama boko ajibu mgalu kagere wote wana uwezo na wanabadilika.

Miki na chama tushaanza kuwasahau kwani hakunq mchezaji wa kudumu simba hata awe mzuri vipi ataondoka kwa kuuzwa ama atakufa na yote ni ya kawaida.

Unanunua ili uuze ni biashara na hata ulaya klabu kubwa huuza na kununua imagine baca wamemuuza Messi roho ya timu Ronaldo Madrid wameuza na pesa wanayo leo miki na chama kuuzwa iwe tabu.
Subiri uone timu itafika wapi kwa msimu huu uje kulaumu baada ya msimu kuisha.
 
Kila mtu eti amekua mchambuzi wa soka.
Msimu uliokwisha kwenye mapinduzi cup Zanzibar Yanga walibeba ubingwa Chama na Merquison wakiwemo.

Kwenye mechi ya ligi pia msimu uliokwisha Yanga mbovu kuliko zote walipata goli dakika za mwanzo kama mechi ya jana kika ng'ang'ania mpaka mwisho,Chama na Merquisone wakiwemo.

Mechi za Darby sio mechi za kawaida bali ni vita vikuu vya soka.
Acha uongo basi mkuu
 
Watu Wana hasira kwelikweli,kipi Cha ajabu Simba kufungwa na Yanga? Mbona hata kipindi wapi chama na miq tulikuwa tunafungwa tu
Ukweli mchungu yanga wamesajili watu wa kazi kwelikweli
 
Usioneshe ujinga wako hadharani kama huwezi kuuficha.
Mpira wa simba bado ni mzuri makosa madogo yanarekebishika simba ina striker wengi kama boko ajibu mgalu kagere wote wana uwezo na wanabadilika.

Miki na chama tushaanza kuwasahau kwani hakunq mchezaji wa kudumu simba hata awe mzuri vipi ataondoka kwa kuuzwa ama atakufa na yote ni ya kawaida.

Unanunua ili uuze ni biashara na hata ulaya klabu kubwa huuza na kununua imagine baca wamemuuza Messi roho ya timu Ronaldo Madrid wameuza na pesa wanayo leo miki na chama kuuzwa iwe tabu.
Subiri uone timu itafika wapi kwa msimu huu uje kulaumu baada ya msimu kuisha.
Simba dirisha dogo wasajlli streka wa maana na kiungo mpishi wa magoli,
Akina Banda,sakho,kanoute wanatakiwa kuingia kwenye timu taratibu sio kuwapa presha mapema hii
 
Wazee wa ndumba mnahangaika. Sisi ndumba tushaacha tunacheza kiprofeshenali nyie si ndo mmeweka rekodi ya kufunga bao dkk hyo hyo kwa mechi zote mbili na timu ileile? Tulieni jiandaeni kisaikolojia.
 
Ubovu wa simba hautegemei na jinsi yanga anavyoifunga simba.

Huyo chama na miqusone hawakuwepo mwaka jana yanga walivyotufunga goli moja?

Baadaye ikawaje, kombe lilienda jangwani?

Ukisema simba haichukui ubingwa tafsiri yake ni kwamba hakuna kombe msimu huu linalowekwa, sio simba hachukui kisa kuna timu nyingine yenye uwezo kuizidi simba itachukua.

Kama kombe limewekwa ili lishindaniwe basi mshindi ni simba hao wengine ni washindani tu.
 
Tatizo la yanga la kutokupata magoli limehamia Simba rasmi
Jeuri ya moo kumuondoa Chama itawatokea puani Wana msimbazi msimu huu
Hivi ulitaka kumuona chama akiendelea kua simba kwa muda wa miaka mingapi?

Wachezaji wakionesha viwango vizuri wanagombewa na timu kubwa tena kwa offer nzuri na mshahara mnono.

Kuna watu humu walikua wanalalamika kua mo hataki kuuza wachezaji anawafanyia fitna kwa kuwabania rizki wasiende timu kubwa. Leo kauza wachezaji bado mapaka shume yana koroma tu

Lipuli imeuza wachezaji wangapi muhimu? Kwa hiyo kama hawajauza tutegemee wawe mabingwa? Sheeenzi
 
Kila mtu eti amekua mchambuzi wa soka.
Msimu uliokwisha kwenye mapinduzi cup Zanzibar Yanga walibeba ubingwa Chama na Merquison wakiwemo.

Kwenye mechi ya ligi pia msimu uliokwisha Yanga mbovu kuliko zote walipata goli dakika za mwanzo kama mechi ya jana kika ng'ang'ania mpaka mwisho,Chama na Merquisone wakiwemo.

Mechi za Darby sio mechi za kawaida bali ni vita vikuu vya soka.
Hawa mambwinga wengi wamukua driven by emotions, mpira umekosa adabu kila mtu ambaye kaangalia mpira wa jana kajikuta kafikia vigezo vya kumkosoa Mo.

Kuna wale mapimbi ambao wameenda mbali kabisa wameanza kumkosoa hadi kocha

Huyo miquson mechi nyingi tena za ndani hapa zilikua zinamkataa kama ilivyokua kwa bocco hapo juzi. Lakini hayo yote yamesahaulika kirahisi kwasababu ya kufungwa na yanga
 
Usioneshe ujinga wako hadharani kama huwezi kuuficha.
Mpira wa simba bado ni mzuri makosa madogo yanarekebishika simba ina striker wengi kama boko ajibu mgalu kagere wote wana uwezo na wanabadilika.

Miki na chama tushaanza kuwasahau kwani hakunq mchezaji wa kudumu simba hata awe mzuri vipi ataondoka kwa kuuzwa ama atakufa na yote ni ya kawaida.

Unanunua ili uuze ni biashara na hata ulaya klabu kubwa huuza na kununua imagine baca wamemuuza Messi roho ya timu Ronaldo Madrid wameuza na pesa wanayo leo miki na chama kuuzwa iwe tabu.
Subiri uone timu itafika wapi kwa msimu huu uje kulaumu baada ya msimu kuisha.
Ww unaamin mugalu na boko watabadilika ,ni ngum iyo kwa sababu wale sio kwamba hawafungi au hawachezi vzur ila kiasili sio wafungaji wazur asa asa ktk mechi kubwa ukifuatilia mechi nyng za simba mugalu au boko kuna mechi wanakosa magol zaid ya matano tena nafas za waz alaf wanafunga magol mawil au moja zikija mechi kubwa upat nafas zaid ya tano ili ufunge utapata tatu au 2 usipotumia ndio umetoka simba kwa sasa wanaweza kusema bado wachezaji hawajajuana ila sio boko kagere au mugulu wale vzur mmoja angempsha mwingne ambae ni top score kiasili
 
Uzuri wa yanga mnakuaga na mbio za sakafuni. Sahiz ligi haijaanza mdomo mwingi subiri ligi ianze malalamiko yenu yataanza kama kawa.
Na kwa taarifa yenu mechi yenu na kagera hamtoboi.
Just mark my words.
 
Hata kama wangebaki na timu ingepoteza bado maneno kwa wapiga domo yasingekosekana.

Nyie ndo hadi timu ishinde muanze kutamba kuwa mnakikosi bora.

Hivi unakumbuka yanga walikuwa wanasema nini wiki 2 nyuma?

Waulize leo wanavyoiona timu yao,kama vile ndo imeshaweka rekodi ya ubingwa.

Tuupe muda muda huku tukiona nini timu inafanya.
Unatumiaga bia gani mkuu?
 
Kwa Aucho tulizidiwa dau na Yanga.
Haya ni matokeo ya kumpa timu tajiri uchwara!
Shida ya simba sio chama wala luis ata kama watakosa ubingwa wale wachezaji waliosajili simba mfano sacko na yule kanoute ukiwaangalia ni wachezaji wazur ila tatzo la simba walifanya zalau na mazoea lazma mwaka huu wajute asa ktk mechi kubwa ,timu ikikaa miaka minne adi mitano pamoja ikafanya vzur si rahisa sana kuendelea kufanya vzur usipoziba matatzo ata kipind chama na luis wapo bado simba walikua na matatzo kama unafuatilia mechi za simba zile ngum kuna mechi wanapoteza morali inatokea mara nying kwa sababu ya kuchoka pia na kujiamin sana simba mwaka uliopta matatzo yao yalikua karbu kila idara nyuma wana matatzo yao bek za pemben zimechoka sana wamecheza sana mwaka huu sikutegemea kama wataendelea kufanya vzur zaid ktk eneo la kiungo mkabaji ule ukabaj wa lwanga kwa timu za kawaida sana ila timu inayokua na viungo wazur lwanga sio mzur kwa kukaba maana umbo lake umr wake unamfanya asiwe na kasi ya kusoma atar mara nyng anacheza faulo akikutana na viungo shap nilijiulza sana simba wanajiamin nn kutosajili mchezaj aina ya aucho ikiwa wana tatzo eneo ilo ,eneo la umaliziaji nalo ndio usiseme unaweza kumlaum mugalu anakosa magol ila shida ata hao wengine ndio wale wale hakukua na sababu ya kuendelea na mugalu na kagere msimu mmoja wapo angempisha mtu mwngine mzur zaid ambae nafas tatu moja ataitumia ,mwaka huu simba wamesajili wachezaji lkn hawakuangalia kuziba matatzo ya mwanzo kwanza wamesajil tu wachezaj kwa kusema uyu mzur anafaa ,ukija kuongeza na mapengo ya chama na luis ndio balaa zaid mwaka huu liwe funzo tukubal mechi kubwa nying tutaumia
 
yaani mtu atakiwe na Al ahly we umzuie asiende hio akili gani ukizingatia dau pia ni zuri? na mtakoma hamtotufunga kamwe tukipaki basi letu maana mtu wa kuforce kufungua hayupo tena
 
Hawa mambwinga wengi wamukua driven by emotions, mpira umekosa adabu kila mtu ambaye kaangalia mpira wa jana kajikuta kafikia vigezo vya kumkosoa Mo.

Kuna wale mapimbi ambao wameenda mbali kabisa wameanza kumkosoa hadi kocha

Huyo miquson mechi nyingi tena za ndani hapa zilikua zinamkataa kama ilivyokua kwa bocco hapo juzi. Lakini hayo yote yamesahaulika kirahisi kwasababu ya kufungwa na yanga
ikiwa watu wanamkosoa muumba ye mo ni nani hata asikosolewe? kukosoa ukikutizama -vely lazima uwe na mtizamo kama wako bt ukiutizama +vely lazima kuna kitu utagain.
 
Shida ya simba sio chama wala luis ata kama watakosa ubingwa wale wachezaji waliosajili simba mfano sacko na yule kanoute ukiwaangalia ni wachezaji wazur ila tatzo la simba walifanya zalau na mazoea lazma mwaka huu wajute asa ktk mechi kubwa ,timu ikikaa miaka minne adi mitano pamoja ikafanya vzur si rahisa sana kuendelea kufanya vzur usipoziba matatzo ata kipind chama na luis wapo bado simba walikua na matatzo kama unafuatilia mechi za simba zile ngum kuna mechi wanapoteza morali inatokea mara nying kwa sababu ya kuchoka pia na kujiamin sana simba mwaka uliopta matatzo yao yalikua karbu kila idara nyuma wana matatzo yao bek za pemben zimechoka sana wamecheza sana mwaka huu sikutegemea kama wataendelea kufanya vzur zaid ktk eneo la kiungo mkabaji ule ukabaj wa lwanga kwa timu za kawaida sana ila timu inayokua na viungo wazur lwanga sio mzur kwa kukaba maana umbo lake umr wake unamfanya asiwe na kasi ya kusoma atar mara nyng anacheza faulo akikutana na viungo shap nilijiulza sana simba wanajiamin nn kutosajili mchezaj aina ya aucho ikiwa wana tatzo eneo ilo ,eneo la umaliziaji nalo ndio usiseme unaweza kumlaum mugalu anakosa magol ila shida ata hao wengine ndio wale wale hakukua na sababu ya kuendelea na mugalu na kagere msimu mmoja wapo angempisha mtu mwngine mzur zaid ambae nafas tatu moja ataitumia ,mwaka huu simba wamesajili wachezaji lkn hawakuangalia kuziba matatzo ya mwanzo kwanza wamesajil tu wachezaj kwa kusema uyu mzur anafaa ,ukija kuongeza na mapengo ya chama na luis ndio balaa zaid mwaka huu liwe funzo tukubal mechi kubwa nying tutaumia
Huo mpira ulikojifunzia kwa kweli hapana...
 
Back
Top Bottom