4by94
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 9,214
- 8,306
FUATILIA , angalia hata alipokuwa anajiuzulu huyi Liz aliongea kwa heshima dhidi ya Ufalme waoPrime minister ndio cheo kikubwa cha kiserikali Kwa UK, ana power kubwa sana,,
Mfalme yupo kuzuga tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FUATILIA , angalia hata alipokuwa anajiuzulu huyi Liz aliongea kwa heshima dhidi ya Ufalme waoPrime minister ndio cheo kikubwa cha kiserikali Kwa UK, ana power kubwa sana,,
Mfalme yupo kuzuga tu
UK sio BONGO , huyu SIJENGI BANDARI , yule BANDARI NI MCHONGO JENGENI WANA , ulaya nchi zao zinaendeshwa kwa mifumo usipofiti unajitoa mwenyew , Ukute huyo ni picha tu ili mfalme atawale vzr nchiTokea yule kijana wa Princess Diana aoe mswahili wa huko Marekani, hawako salama, uingereza imeshavurugwa.
hahahaaaaa vyeo vya bongo ni vya mchongoNimegundua ni rahisi kuwa Waziri Mkuu Uingereza kuliko kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi
Hakuna Mhindi hapa ni ngozi tu lakini ndani huyu ni mtoto wa malkia kwa maslahi ya umalkia na mfalme wao.Duniani hakuna kinachoshindikana kukiwa na nia..
Leo hii wazungu waingereza waliowatawala wahindi Meza imeponduka wao ndio wanatawaliwa ni mhindi ,😁😁
View attachment 2396767
Unasema Nini? Mfalme yupo kufanya Nini?Prime minister ndio cheo kikubwa cha kiserikali Kwa UK, ana power kubwa sana,,
Mfalme yupo kuzuga tu
Yeye ni raba stamp tu.Prime minister ndio cheo kikubwa cha kiserikali Kwa UK, ana power kubwa sana,,
Mfalme yupo kuzuga tu
Bado mfalme ana nguvu sana kuliko PM.Yeye ni raba stamp tu.
Huko kwa wenzetu mifumo ndio inaongoza mkuu
Ataongoza na sio kutawala,Duniani hakuna kinachoshindikana kukiwa na nia..
Leo hii wazungu waingereza waliowatawala wahindi Meza imeponduka wao ndio wanatawaliwa ni mhindi ,😁😁
View attachment 2396767
Ngoja kwanza tuone msimamo kwa wanayofanyiwa na USNaye hatadumu muda mrefu, atajiuzulu karibuni.
Hapa wanabishania origin ya mtu badala ya uwezo wake kwenye leadership.Ukiacha ushabiki na ubishani..... kwenye nyuzi kama hizi ndio unagundua tupo nyuma sana kwenye masuala na siasa za ulimwengu.........hata ukicheki michango ya hapa utagundua Hilo.......
Ukienda kwenye forums nyingine utakuta wanalichambua kwenye nyanja mbali mbali kama vile kiuchumi, kisiasa, na kideplomasia lakini hapa no ushabiki kama wa Simba na Yanga.......hapa ndipo wanapotuacha mbali wa Kenya.....
Ndivyo unavojua........eti mfalme Hana maajabu......SASA ngoja nikwambie kitu huyo akitoka bungeni lazima akajitambulishe kwenye Ile koo maaana wale ndio wenye uingereza Yao..........sema nini mwamba katisha kutoka kuabudu ng'ombe mpaka kuisimamia tawala kubwa duniani kama Ile............Mambo yamepiga gia ya reverse, mhindi kakamata usukani kwenye nchi ya waingereza
Kiuhalisia Waziri mkuu ndie mwenye cheo kizito kuzidi hata mfalme / malkia wa uingerza. Waziri mkuu ndie kiongozi mkuu wa shughuli za kiserikali, Malkia / Mfalme yupo symbolic zaidi lakini real power ipo kwa waziri mkuu.
waliowahi kuwa mawaziri wakuu wapo kina Borris Johnson, Theresa May, David Cameron, Tony Blair, n.k
hiki cheo kwa sasa kipo mikononi mwa Rishi Sunak mwenye asili na dini ya kihindi,
View attachment 2396784
Ndivyo unavojua........eti mfalme Hana maajabu......SASA ngoja nikwambie kitu huyo akitoka bungeni lazima akajitambulishe kwenye Ile koo maaana wale ndio wenye uingereza Yao..........sema nini mwamba katisha kutoka kuabudu ng'ombe mpaka kuisimamia tawala kubwa duniani kama Ile............
Ataongoza na sio kutawala,