Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatumia broker yupiNilishawahi fika dollar 40,000( million kama 90) nikapoteza zote nikarud dollar 10, imagine .....afu uniambie fx ni rahisi .na ni mwaka huu huu miezi 2 iliyopita .
Fx inaitaji ukitoa waweza kuwa tajiri overnight na unaweza kuwa maskini huna hata mia overnight ,ni game gumu la kibabe sana
Unajuaje news zitakupeleka uelekeo wa kuuza au kununua...???View attachment 2735244unapokuwa mda mrefu kwenye soko unakuwa minded traped ,mm natrade us session na trade news tu, na na weka order on 2 min before news natoka soon after reaction 15-2 hours na maintain my mind and all psychological traps
Kutrade news ni kubet zaidiUnajuaje news zitakupeleka uelekeo wa kuuza au kununua...???
Hata Mimi ndo nawaza hivyohivyo labda ni kipaji maalum...😂Kutrade news ni kubet zaidi
Just forex, mkuu nampenda huyu broker kwa mambo mawili, easy to deposit and withdraw.Unatumia broker yupi
Naona tickmill kanikimbia...🤣Just forex, mkuu nampenda huyu broker kwa mambo mawili, easy to deposit and withdraw.
Pili naweza weka order even ten second before news ( hana ujinga wa kuongea spread) one to 2 min before news
Kutrade news ni kubet zaidi
Try Tickmill pia hutojutaJust forex, mkuu nampenda huyu broker kwa mambo mawili, easy to deposit and withdraw.
Pili naweza weka order even ten second before news ( hana ujinga wa kuongea spread) one to 2 min before news
Ambayo naweza kupoteza, na usiyo nipa mawazoNaona tickmill kanikimbia...🤣
Deposit ananzia shingapi
Yeye broker anaruhusu kuanzia kiasi gani...?Ambayo naweza kupoteza, na usiyo nipa mawazo
🥳🥳🥳🥳,Nilishawahi kumjaribu tatizo lenu mnaanzia dollar 100,Try Tickmill pia hutojuta
Bro, kesho tunatoa training free of charge.[emoji3060][emoji3060][emoji3060][emoji3060],Nilishawahi kumjaribu tatizo lenu mnaanzia dollar 100,
Punguzeni deposit money and tumieni both option mobile and bank.
Ila Tickmill ndo broker wangu wa kwanza,[emoji123][emoji123]
He is good but not for bigginer
Yeye broker anaruhusu kuanzia kiasi gani...