Rasmi sasa nimejiondoa katika biashara ya foreign exchange (forex)

Rasmi sasa nimejiondoa katika biashara ya foreign exchange (forex)

Hahaha haya sisemi neno,
Ila huwezi nifundisha kama huna materials things na withdraw history sawa🤓🤓🤓 na hili nawatahadhirisha wote ,hakikisha anayekufundisha anajiweza.
💪💪
Bro, kesho tunatoa training free of charge.
Baada ya hapo tutatoa mapendekezo rasmi ili washushe kiwango cha kudopist, very soon hilo linarekebishwa.

Mbali na kiwango cha kudeposit...Tickmill hana mshindani kwa ubora na low spread.

Unafungua trade unaanza na bluu
 
Hahaha haya sisemi neno,
Ila huwezi nifundisha kama huna materials things na withdraw history sawa[emoji851][emoji851][emoji851] na hili nawatahadhirisha wote ,hakikisha anayekufundisha anajiweza.
[emoji123][emoji123]
Hilo tu?
 
Pole na hongera kwa kuacha
Ila ndio ujiite labia majora mkuu?[emoji38]
halafu ukute ni ile labia majora yenye kufanana na bull dog

Screenshot_20230901_110204_Google.jpg
 
Unajuaje news zitakupeleka uelekeo wa kuuza au kununua...???
Bro ,I learned news ...... Tabia zake,reactions na aina ,
Kuna aina nyingi za nyuzi siyo zote ni beneficial,
Nyingi ni za kuziacha zipite kuliko za kuact mfano ,yesterday there was news ...hii ilikuwa ya kuiacha ipite.....
Ni elimu pia, ila kaa chini jifunze,
Tafuta news za nyuma ,tumia trading views ,jifunze tabia zake ,
Chora chora kama mjinga chora,
Tafuta daftari chora.
Anza ku react kila nyuzi isikupite , react as much yaweza chukua hata mwaka but believe me utakuja hapahapa kusema.
News ni rahisi kuliko technical I have my own technical analysis I create my own but mm cpend kitu kimoja kupotezewa mda,bora ni feli nijue nimechoma kuliko kuwa traped siku nzima ,siku mbili no thank you.
Ila ukijua siri ya kwny nyuzi🤓🤓.
Sifundishi mtu ninachokipata kinanitosha usiangaike kunifata.
Go to the field and learn
 
Hata Mimi ndo nawaza hivyohivyo labda ni kipaji maalum...😂

Turudi kwako mkuu nakumbuka nilishawahi kukuuliza maswali na hukuyajibu! Umejileta mwenyewe..

Kwanini tickmill ikifika mid night spread inaongezeka...?? Jibu hili swali ndugu...
Pili niambie kuhusu welcome account ya tickmill je faida unatoa mpk shingapi...??Siyo
Siyo Tickmill tu ni broker wengi tu ikifika usiku running cost inaongezeka kutokana na volume ya traders kupunguza ,so kuongeza spread ilu ku overcome running cost,halafu hilo swali lipo nje ya uwezo wake. Kumbuka ma broker nawenyewe wana access chat kwenye market pool ,na wanalipia siyo bure.....so siyo wao tu .
Achana na hizo blabla za welcome ndo u bigginer unaanzia hapo ,!
Hilo tu linaonesha wewe ni bigger ,nenda kajifunze forex siyo mtaji ,haina ufungamano kabisa mm dollar 5 naitrade gold vzr tu hata 3 dollar.
So ukiona mtu anakwambia lazima uwe na mtaji mkubwa shituka.
Kingine believe my words Tanzania successful trader 100 hawajafiak na hata 50 hawajifa. Na siyo wale wanaojitangaza wengi hawajitangazi ni kimya kimya.
Kama unabisha riganisha traders wa tz na south,
Anzia kwenye materials things kwanzia nyumba gari etc.na wa mbele .
Withdraw history na utayari wa ku act na kuamini mawazo yake
 
Mtu siriaz na trading hawezi furahia dwposit ya 10$
Ili ufanikiwe na uwe na matokeo bora katika forex lazima uwe na:
Elimu
Elimu
Elimu
Elimu sahihi ndipo
Mtaji.

10$ 98% ni zawadi kwa broker .
Wenye uwezo wa kuikuza 10$ to 1000 tupo wachache mnoo
 
Hahaha haya sisemi neno,
Ila huwezi nifundisha kama huna materials things na withdraw history sawa🤓🤓🤓 na hili nawatahadhirisha wote ,hakikisha anayekufundisha anajiweza.
💪💪
Ninaanza na hii jioni niulize mrejesho, tena anqgaliabtarehe na saa
IMG-20230901-WA0008.jpg
 
Mtu siriaz na trading hawezi furahia dwposit ya 10$
Ili ufanikiwe na uwe na matokeo bora katika forex lazima uwe na:
Elimu
Elimu
Elimu
Elimu sahihi ndipo
Mtaji.

10$ 98% ni zawadi kwa broker .
Wenye uwezo wa kuikuza 10$ to 1000 tupo wachache mnoo

Screenshot_20230712-153249.pngScreenshot_20230629-153234.png nitakuwa mtu wa mwisho kuamini fx ni mtaji,
Ingawa was hivi nipo na hawa jamaa my fx fund.
Ila forex siyo mtaji,
Na hawa wanaosema forex mtaji ndo wale wanaoingia na dollar buku akirudi mara 3,atakwambia forex ni utapeli.
Nimetoa mfano wa mitaji midogo ,
Mm ninachoitaji ni leverage ,habari za mitaji wanajua ma bigginer.
Na ukiwa na hiyo mentality lazima uchukiee soko
 
Hivi ndo inavyo takiwa balance na lot, hapa inaitaji mtu skilled siyo mbabaishaji
Brother niko kwenye game since 2016, na nimesomea nina vyeti nje ya nchi.

Nina history.
Hadi broker aniamini na kunipa kazi ya kufundisha tena ananilipa hili sio jambo dogo.

Ndio maan ninafundisha bure kabisa
 
Brother niko kwenye game since 2016, na nimesomea nina vyeti nje ya nchi.

Nina history.
Hadi broker aniamini na kunipa kazi ya kufundisha tena ananilipa hili sio jambo dogo.

Ndio maan ninafundisha bure kabisa
🤓🤓Bro ,hongera sana,
Naamini tuna vingi vya kuelekezana.
Wafundishe watu somo la psychology kabla ya technical.....nahisi elimu yako itakuwa powa sana.
Ila utuoneshe materials things ,mm sivutiwi na words zozote zaidi ya withdraw history ,na materials things.

### Pia trader lazima wajue hakuna free money ,hela unaisotea kwa kivumbi na jasho la damu.
Hakuna kisichowezekana
 
Hivi ndo inavyo takiwa balance na lot, hapa inaitaji mtu skilled siyo mbabaishaji
Hii 30$ nategemea hadi Ijumaa ijayo iwe 700$
Kuna nyingine nilianza jana jioni ikiwa na 20$ sasa inasoma 83$
IMG-20230901-WA0010.jpg
 
Good ,
And normal ,mm huwa ni kichaa wa lot .....ndoto yangu ni kufika dollar million 1.nitafika inshallah hafu ndo nitaachana na kazi nyingine z

Screenshot_20230707-153036.pngtulitokahuku tukafika huku right now
Screenshot_20230526-154132.png

Karibu kwenye ulimwengu wa fundamental, hakuna kisichowezekana nikifikisha dollar 1 million, naacha kufanya kazi zote
 
Good ,
And normal ,mm huwa ni kichaa wa lot .....ndoto yangu ni kufika dollar million 1.nitafika inshallah hafu ndo nitaachana na kazi nyingine zote .
Ikiwa unataka kufikia lengo, fungua akaunt kadhaa.

Kati ya hizo 2 ziwe za lot size kubwa yaani ku risk.

Zingingine zingatia RM.
Mimi nina akaunti kubwa 2 kati ya hizo moja sifuati Risk management, hiyo nikiirusha unaweza kufikiri ni demo[emoji28]

Nyingine kubwa nafuata RM 100%

Hii naitumia kufundishia wanafunzi kuzingatia RM.
Nina akaunti ndogo ndogo 4 hizi
1. Moja ya kuninunulia diesel mjini
Zingine za matumizi ya hapa na pale.

Katika forex malengo muhimu
 
Ikiwa unataka kufikia lengo, fungua akaunt kadhaa.

Kati ya hizo 2 ziwe za lot size kubwa yaani ku risk.

Zingingine zingatia RM.
Mimi nina akaunti kubwa 2 kati ya hizo moja sifuati Risk management, hiyo nikiirusha unaweza kufikiri ni demo[emoji28]

Nyingine kubwa nafuata RM 100%

Hii naitumia kufundishia wanafunzi kuzingatia RM.
Nina akaunti ndogo ndogo 4 hizi
1. Moja ya kuninunulia diesel mjini
Zingine za matumizi ya hapa na pale.

Katika forex malengo muhimu
Hicho ndo nilichowahi kukishindwa ,nimeanguka mara nyingi ila kusimama ni dk🤓🤓.
Angalia hizo ni gold ujue kuna dollar kuni naweka 0.11 nyingine 0.07
Mm ishu ya risk management nilishawahi ishindwaga .
Ukitrade na mm utakimbia wakati naweka order lakini am so smart and carefully one day nitapost hapa 1 mll dollar.
Afu cna hakika kama kuna mtz alishawahi fika 1M. Dollar
Ndomana nasema Tz waliofanikiwa ni chini ya 50.
Wengine maneno mengi,vitendo zero
 
Kuna watu wanaogopa gold hata kama wawe na dollar Mia mtaji🤣🤣😅
 
Kuna watu wanaogopa gold hata kama wawe na dollar Mia mtaji🤣🤣😅
Gold ni chakula sana.

Ok ulitaka history yangu, sitaki mambo mengi naanza na history ya masaa mawili tangu nilipopost ile 30$ na 83$

Nimetoka sokoni na profit ya ngu ya 59$ hii ni pesa ya diesel na kula leo nakuwekea hapo.

Kabla sijakuwekea history ya wiki, na miezi.
 
Back
Top Bottom