Bro, kesho tunatoa training free of charge.
Baada ya hapo tutatoa mapendekezo rasmi ili washushe kiwango cha kudopist, very soon hilo linarekebishwa.
Mbali na kiwango cha kudeposit...Tickmill hana mshindani kwa ubora na low spread.
Unafungua trade unaanza na bluu
Yeye broker anaruhusu kuanzia kiasi gani...?
Hilo tu?Hahaha haya sisemi neno,
Ila huwezi nifundisha kama huna materials things na withdraw history sawa[emoji851][emoji851][emoji851] na hili nawatahadhirisha wote ,hakikisha anayekufundisha anajiweza.
[emoji123][emoji123]
halafu ukute ni ile labia majora yenye kufanana na bull dogPole na hongera kwa kuacha
Ila ndio ujiite labia majora mkuu?[emoji38]
Bro ,I learned news ...... Tabia zake,reactions na aina ,Unajuaje news zitakupeleka uelekeo wa kuuza au kununua...???
Siyo Tickmill tu ni broker wengi tu ikifika usiku running cost inaongezeka kutokana na volume ya traders kupunguza ,so kuongeza spread ilu ku overcome running cost,halafu hilo swali lipo nje ya uwezo wake. Kumbuka ma broker nawenyewe wana access chat kwenye market pool ,na wanalipia siyo bure.....so siyo wao tu .Hata Mimi ndo nawaza hivyohivyo labda ni kipaji maalum...😂
Turudi kwako mkuu nakumbuka nilishawahi kukuuliza maswali na hukuyajibu! Umejileta mwenyewe..
Kwanini tickmill ikifika mid night spread inaongezeka...?? Jibu hili swali ndugu...
Pili niambie kuhusu welcome account ya tickmill je faida unatoa mpk shingapi...??Siyo
Mtu siriaz na trading hawezi furahia dwposit ya 10$
Ninaanza na hii jioni niulize mrejesho, tena anqgaliabtarehe na saaHahaha haya sisemi neno,
Ila huwezi nifundisha kama huna materials things na withdraw history sawa🤓🤓🤓 na hili nawatahadhirisha wote ,hakikisha anayekufundisha anajiweza.
💪💪
Mtu siriaz na trading hawezi furahia dwposit ya 10$
Ili ufanikiwe na uwe na matokeo bora katika forex lazima uwe na:
Elimu
Elimu
Elimu
Elimu sahihi ndipo
Mtaji.
10$ 98% ni zawadi kwa broker .
Wenye uwezo wa kuikuza 10$ to 1000 tupo wachache mnoo
Hivi ndo inavyo takiwa balance na lot, hapa inaitaji mtu skilled siyo mbabaishajiNinaanza na hii jioni niulize mrejesho, tena anqgaliabtarehe na saaView attachment 2735470
Brother niko kwenye game since 2016, na nimesomea nina vyeti nje ya nchi.Hivi ndo inavyo takiwa balance na lot, hapa inaitaji mtu skilled siyo mbabaishaji
🤓🤓Bro ,hongera sana,Brother niko kwenye game since 2016, na nimesomea nina vyeti nje ya nchi.
Nina history.
Hadi broker aniamini na kunipa kazi ya kufundisha tena ananilipa hili sio jambo dogo.
Ndio maan ninafundisha bure kabisa
Hii 30$ nategemea hadi Ijumaa ijayo iwe 700$Hivi ndo inavyo takiwa balance na lot, hapa inaitaji mtu skilled siyo mbabaishaji
Good ,Hii 30$ nategemea hadi Ijumaa ijayo iwe 700$
Kuna nyingine nilianza jana jioni ikiwa na 20$ sasa inasoma 83$View attachment 2735541
Good ,
And normal ,mm huwa ni kichaa wa lot .....ndoto yangu ni kufika dollar million 1.nitafika inshallah hafu ndo nitaachana na kazi nyingine z
Ikiwa unataka kufikia lengo, fungua akaunt kadhaa.Good ,
And normal ,mm huwa ni kichaa wa lot .....ndoto yangu ni kufika dollar million 1.nitafika inshallah hafu ndo nitaachana na kazi nyingine zote .
Hicho ndo nilichowahi kukishindwa ,nimeanguka mara nyingi ila kusimama ni dk🤓🤓.Ikiwa unataka kufikia lengo, fungua akaunt kadhaa.
Kati ya hizo 2 ziwe za lot size kubwa yaani ku risk.
Zingingine zingatia RM.
Mimi nina akaunti kubwa 2 kati ya hizo moja sifuati Risk management, hiyo nikiirusha unaweza kufikiri ni demo[emoji28]
Nyingine kubwa nafuata RM 100%
Hii naitumia kufundishia wanafunzi kuzingatia RM.
Nina akaunti ndogo ndogo 4 hizi
1. Moja ya kuninunulia diesel mjini
Zingine za matumizi ya hapa na pale.
Katika forex malengo muhimu
Gold ni chakula sana.Kuna watu wanaogopa gold hata kama wawe na dollar Mia mtaji🤣🤣😅