Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 14,624
- 20,666
UpdateFungua m15 chart | CADJPY, CADCHF |
CADCHF inaikaribia TP
Nilitoa hii signal kwenye channel yangu.
Napia nilipost hapa | Only Live Trades
=
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UpdateFungua m15 chart | CADJPY, CADCHF |
Hhhhha hii Huwa nahisi ni kweliItoshe kusema forex n kama kubet tu tena kubet kunaweza kiwa rahis kuliko folexi
Kwahiyo what's your advice to the newbies, if they want to learn FOREX ?. Should them not concentrate to much on studying books and watching YouTube videos or what?.Nini maana ya Price Action? | Tuanzie hapo, maana Youtube na pdf zimetuharibu vibaya sana.
Huu mtazamo, Umetoa picha kamili wa.........Itoshe kusema forex n kama kubet tu tena kubet kunaweza kiwa rahis kuliko folexi
Mentor kaja kusaka vichwa kwenye huu uzi waambieni vijana ukwel fx sio mgod wa pesa kama ambavyo wengi hudham ebu tutafute kaz za kueleweka fx sio unyamaHuu mtazamo, Umetoa picha kamili wa.........
Na hii ndio comment yangu ya mwisho kwenye hii thread. Na ignore kabisa thread husika.
Mkuu kama wewe imekuchomoa, unataka mfundisha nini newbie ? Au wewe hupendi pesa na utajiri 😅😅😅Baada ya muda mrefu wa kukomaa na candlestick na video za YouTube rasmi nimejitoa kwenye biashara hii ya forex.
Lengo la uzi huu ni kuwakaribisha newbie kwenye hii biashara ya forex inayosadikika kuwa na utajiri mkubwa sana. Kama yupo yoyote ambae angependa kuanza biashara hii anichek niweze kushare nae important pdfs kuhusu forex na useful YouTube channels zenye material ya forex.
Mwisho kabisa nipende kuwatia moyo wote ambao n ndoto yenu kuprint pesa nyingi kupitia biashara hii kwamba forex is real na sio scam kama inavyosemekana uko mitaani.
Nawasalisha
Wako katika ujenzi wa taifa
Labia majora
Itakuwa anatoa sana boko 😅😅
miaka sita hukuelewa kitu tu mkuu ? Pole.. acha wibishi tuendelee kumpasua brokerForex haitak uwe na pesa za kubangaiza .kwa mtazamo wangu mimi kutokana na experience yangu katika soko kwa zaid ya miaka 6 nimegundua ni ngumu forex kukuendeshea maisha kwa asilimia 100 kwaiyo kwa sasa nimekaa pemben nitafute ajira yenye constant flow of salary
Ushawai Fanya forex?Forex NI GAMBLING NI UTAPELI
I've asked him several questions but he did not answer any of them. He is a goof.Mentor kaja kusaka vichwa kwenye huu uzi waambieni vijana ukwel fx sio mgod wa pesa kama ambavyo wengi hudham ebu tutafute kaz za kueleweka fx sio unyama
kuna mshkaji anaitwa giants logical trading,Msumba fx,ama pips storm ushawahi kucheki elimu zaoBaada ya muda mrefu wa kukomaa na candlestick na video za YouTube rasmi nimejitoa kwenye biashara hii ya forex.
Lengo la uzi huu ni kuwakaribisha newbie kwenye hii biashara ya forex inayosadikika kuwa na utajiri mkubwa sana. Kama yupo yoyote ambae angependa kuanza biashara hii anichek niweze kushare nae important pdfs kuhusu forex na useful YouTube channels zenye material ya forex.
Mwisho kabisa nipende kuwatia moyo wote ambao n ndoto yenu kuprint pesa nyingi kupitia biashara hii kwamba forex is real na sio scam kama inavyosemekana uko mitaani.
Nawasalisha
Wako katika ujenzi wa taifa
Labia majora
Siwezi kufanya coz cjui ata Maana ya commerceUshawai Fanya forex?
SahihiOGOPA MATAPELI NYUMBA HII HAIUZWI
Nawajua ila niamini mm tredaz wengi wa bongo sio profitable ndo maana saiv kila mtu ni mentakuna mshkaji anaitwa giants logical trading,Msumba fx,ama pips storm ushawahi kucheki elimu zao
Mwalimu alitaka kula vichwa...ghafla hali ikabadilika ikabidi asepe😅Mentor kaja kusaka vichwa kwenye huu uzi waambieni vijana ukwel fx sio mgod wa pesa kama ambavyo wengi hudham ebu tutafute kaz za kueleweka fx sio unyama
fuata knowledge sio pesaNawajua ila niamini mm tredaz wengi wa bongo sio profitable ndo maana saiv kila mtu ni menta
angalia wanavyo execute trades zao hata kama ni fake au la then practiseNawajua ila niamini mm tredaz wengi wa bongo sio profitable ndo maana saiv kila mtu ni menta