Mlimani health center
JF-Expert Member
- Nov 25, 2021
- 595
- 1,490
- Thread starter
- #61
Unatrade?angalia wanavyo execute trades zao hata kama ni fake au la then practise
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatrade?angalia wanavyo execute trades zao hata kama ni fake au la then practise
yapUnatrade?
Mpaka sasa umetengeneza dola ngap toka uanze profit yaan
nilianza mwaka jana mwezi wa kumi nilianza kutrade na usd 6 sasa nipo na usd300 ukijumlisha na ambazo nimetoa kama usd 100 hiviMpaka sasa umetengeneza dola ngap toka uanze profit yaan
Tuma trading history yako walau ya hii wiki tuone infact exness anatumaga kwenye email kabisa.....kindly sharenilianza mwaka jana mwezi wa kumi nilianza kutrade na usd 6 sasa nipo na usd300
moja
poaTuma trading history yako walau ya hii wiki tuone infact exness anatumaga kwenye email kabisa.....kindly share
mimi natumiaga just forex nimeshindwa kuiextract ila hii hapa graph yao wameandika detailed satementTuma trading history yako walau ya hii wiki tuone infact exness anatumaga kwenye email kabisa.....kindly share
hii kitu ni ngumu sana nashangaa wanaosema ni rahisimimi natumiaga just forex nimeshindwa kuiextract ila hii hapa graph yao wameandika detailed satement
Mkuu tupe reasons kwanini umeamua kuacha? Itakuwa funzo piaBaada ya muda mrefu wa kukomaa na candlestick na video za YouTube rasmi nimejitoa kwenye biashara hii ya forex.
Lengo la uzi huu ni kuwakaribisha newbie kwenye hii biashara ya forex inayosadikika kuwa na utajiri mkubwa sana. Kama yupo yoyote ambae angependa kuanza biashara hii anichek niweze kushare nae important pdfs kuhusu forex na useful YouTube channels zenye material ya forex.
Mwisho kabisa nipende kuwatia moyo wote ambao n ndoto yenu kuprint pesa nyingi kupitia biashara hii kwamba forex is real na sio scam kama inavyosemekana uko mitaani.
Nawasalisha
Wako katika ujenzi wa taifa
Labia majora
Hahaaaa....! mi niliamini wewe pia ni katika ma nguli wa forex, kitambo nimekuwa nikikuona ukiielezea vizuri sana!Huu mtazamo, Umetoa picha kamili wa.........
Na hii ndio comment yangu ya mwisho kwenye hii thread. Na ignore kabisa thread husika.
sio rahisi hata kidogohii kitu ni ngumu sana nashangaa wanaosema ni rahisi
sio lazima iwe hivyo pia kwa mtizamo wangu. unajua kila mtu ana uwezo wake aliojaaliwa na mungu. ww umeweza betting its good lakni mimi nimeiweza nas na gold. thats fine too, tupambane tu mana nia ni kufanikiwa tu basiHahaaaa....! mi niliamini wewe pia ni katika ma nguli wa forex, kitambo nimekuwa nikikuona ukiielezea vizuri sana!
Kuna pale juu ulisema kwamba ulitoa signal na sasa imekaribia"! Vp zimeumana!?
Kuna mshkaji wangu wa r.chuga yeye ni mtu wa maforex humuambii kitu. Mimi ni gambler ndo game sio shida.
Tukakubaliana kila jioni tukikutana kwenye mambo pia tuoneshane ni kiasi gani mtu kaingiza au kaliwa.
Mwenyewe alikuja kuyakubali ma odds!
Bora kujifunza odds za betting na option zake kuliko forex!
Ni asilimia ngapi ya matajiri Tanzania ukilinganisha na masikini...?! Vip ni asilimia ngapi ya matajiri duniani ukilinganisha na masikini...Hongera boss ila note kwamba 99% of tredaz are loosers