Rasmi sasa nimejiondoa katika biashara ya foreign exchange (forex)

Rasmi sasa nimejiondoa katika biashara ya foreign exchange (forex)

Hahahaha am fundamental trader by the way,nipo kwa ajiri ya kukufumba mdomo,afu naweza kukugaika ka laki mwisho wa wiki uache uchawa
paid slave, kwan jana ilikuaje mbna ghafla hatuoni ile position
 
paid slave, kwan jana ilikuaje mbna ghafla hatuoni ile position
Utaijumlishia na ile mwisho wa week halfu utaona balance sh ngapi sawa.
Am winning side😛😛😛
Si unakumbuka balance,sasa ok nimesharudisha hasara mara mbili,afu ile position na buy tena muda si mrefu subiri
 
Utaijumlishia na ile mwisho wa week halfu utaona balance sh ngapi sawa.
Am winning side😛😛😛
Si unakumbuka balance,sasa ok nimesharudisha hasara mara mbili,afu ile position na buy tena muda si mrefu subiri

😂 😂 kwahio paid slave jana ulijinyamazisha mdomo mwenyewe ndo unataka kusema 😂
 
Utaijumlishia na ile mwisho wa week halfu utaona balance sh ngapi sawa.
Am winning side😛😛😛
Si unakumbuka balance,sasa ok nimesharudisha hasara mara mbili,afu ile position na buy tena muda si mrefu subiri
sasa ikawaje ukaificha haraka haraka ama hali ilikua mbaya sana paid slave 😂😂, kwahio jana ilikukana yenyewe ama 😂
 
Utaijumlishia na ile mwisho wa week halfu utaona balance sh ngapi sawa.
Am winning side😛😛😛
Si unakumbuka balance,sasa ok nimesharudisha hasara mara mbili,afu ile position na buy tena muda si mrefu subiri

nmeamka nashangaa mbna tena pair ama jana nliona vibaya 😂
 
Utaijumlishia na ile mwisho wa week halfu utaona balance sh ngapi sawa.
Am winning side😛😛😛
Si unakumbuka balance,sasa ok nimesharudisha hasara mara mbili,afu ile position na buy tena muda si mrefu subiri

😂 😂 : sawa lakini kwann position ya jana hutaki kutupa mrejesho
 
Utaijumlishia na ile mwisho wa week halfu utaona balance sh ngapi sawa.
Am winning side😛😛😛
Si unakumbuka balance,sasa ok nimesharudisha hasara mara mbili,afu ile position na buy tena muda si mrefu subiri

mm kinachonichekesha sio hata wewe kuloose ni ukute una wanafunzi wanakutake serious 😂
 
mm kinachonichekesha sio hata wewe kuloose ni ukute una wanafunzi wanakutake serious 😂
Upuuzi,yoyote aliye fundishwa na mm aseme hapa hadharani,
Mimi simfundishi mtu, na sijawahi changia uzi wowote wa forex,nimewatia moyo vijana it's something.
Ingawa si ya wapuuzi kama wewe,kuliko nipoteze muda kumfundisha mtu ,
Si no nikomae na chat without stress et,
Huo Mda sina na watu wamekuja inbox wengi nimekataa .
Ila nilitaka niache kukujibu ila nipo kukuziba mdomo ukinikela nikifika miatano naikuza mara kumi zaidi😛😛

Ukinikela tena nataka nikutumie faida kwa silimia kumi😛😛🤓🤓
Ila unihaidi utaacha uchawa utaanza kufanya kazi,ni dhambi kwa Mungu mwanaume kuwa chawa wa Ccm
 
Nina account ina balance ya mara mia mbili ya balance ya account ya jana jana kilichopotea
Ni 1/200😛😛😛
Ni micro sasa ,hata hakiniumi na hata hvyo mm sito technical mm ni fundamental


nmeamka nashangaa mbna tena pair ama jana nliona vibaya
 
Upuuzi,yoyote aliye fundishwa na mm aseme hapa hadharani,
Mimi simfundishi mtu, na sijawahi changia uzi wowote wa forex,nimewatia moyo vijana it's something.
Ingawa si ya wapuuzi kama wewe,kuliko nipoteze muda kumfundisha mtu ,
Si no nikomae na chat without stress et,
Huo Mda sina na watu wamekuja inbox wengi nimekataa .
Ila nilitaka niache kukujibu ila nipo kukuziba mdomo ukinikela nikifika miatano naikuza mara kumi zaidi😛😛

Ukinikela tena nataka nikutumie faida kwa silimia kumi😛😛🤓🤓
Ila unihaidi utaacha uchawa utaanza kufanya kazi,ni dhambi kwa Mungu mwanaume kuwa chawa wa Ccm
😂 😂 sawa position ya jana iko wap ama ndo market haikutaki
 
Nina account ina balance ya mara mia mbili ya balance ya account ya jana jana kilichopotea
Ni 1/200😛😛😛
Ni micro sasa ,hata hakiniumi na hata hvyo mm sito technical mm ni fundamental

kumbe jana ulichapwa sasa mbna hukutuonyesha ama unadhan hatujui kilichokukuta 😂😂, uwe unasema sasa sio unachapwa tunashindwa kukupa pole usije kukata moto
 
Upuuzi,yoyote aliye fundishwa na mm aseme hapa hadharani,
Mimi simfundishi mtu, na sijawahi changia uzi wowote wa forex,nimewatia moyo vijana it's something.
Ingawa si ya wapuuzi kama wewe,kuliko nipoteze muda kumfundisha mtu ,
Si no nikomae na chat without stress et,
Huo Mda sina na watu wamekuja inbox wengi nimekataa .
Ila nilitaka niache kukujibu ila nipo kukuziba mdomo ukinikela nikifika miatano naikuza mara kumi zaidi😛😛

Ukinikela tena nataka nikutumie faida kwa silimia kumi😛😛🤓🤓
Ila unihaidi utaacha uchawa utaanza kufanya kazi,ni dhambi kwa Mungu mwanaume kuwa chawa wa Ccm

yaani icho tu ndo kinanishangaza ukute kuna watu unawafundisha pia, 😂 😂 , pole lakini usiwe unakufa kimya kimya ukipata loses uwe unaziweka pia tuone
 
Nina account ina balance ya mara mia mbili ya balance ya account ya jana jana kilichopotea
Ni 1/200😛😛😛
Ni micro sasa ,hata hakiniumi na hata hvyo mm sito technical mm ni fundamental

wewe kua tekniko haituhusu, unaweka position alafu unakimbia mwenyewe shida ni nn unakimbia loses zako 😂
 
Nina account ina balance ya mara mia mbili ya balance ya account ya jana jana kilichopotea
Ni 1/200😛😛😛
Ni micro sasa ,hata hakiniumi na hata hvyo mm sito technical mm ni fundamental

na hio trade mpya uendelee kutupa updates 😂
 
Upuuzi,yoyote aliye fundishwa na mm aseme hapa hadharani,
Mimi simfundishi mtu, na sijawahi changia uzi wowote wa forex,nimewatia moyo vijana it's something.
Ingawa si ya wapuuzi kama wewe,kuliko nipoteze muda kumfundisha mtu ,
Si no nikomae na chat without stress et,
Huo Mda sina na watu wamekuja inbox wengi nimekataa .
Ila nilitaka niache kukujibu ila nipo kukuziba mdomo ukinikela nikifika miatano naikuza mara kumi zaidi😛😛

Ukinikela tena nataka nikutumie faida kwa silimia kumi😛😛🤓🤓
Ila unihaidi utaacha uchawa utaanza kufanya kazi,ni dhambi kwa Mungu mwanaume kuwa chawa wa Ccm

ni dhambi na aibu mwanaume kua mwongo mwongo na kuficha ficha mambo! ulianza kwa kutuonyesha uendelee ivo ivo mambo yameharibika ushabadilisha gia hewan! tabia za kike
 
Nina account ina balance ya mara mia mbili ya balance ya account ya jana jana kilichopotea
Ni 1/200😛😛😛
Ni micro sasa ,hata hakiniumi na hata hvyo mm sito technical mm ni fundamental

aya sawa tupe mrejesho bas wa trade ya mwisho uliofanya ama umechagua pair ingine
 
Back
Top Bottom