Upuuzi,yoyote aliye fundishwa na mm aseme hapa hadharani,
Mimi simfundishi mtu, na sijawahi changia uzi wowote wa forex,nimewatia moyo vijana it's something.
Ingawa si ya wapuuzi kama wewe,kuliko nipoteze muda kumfundisha mtu ,
Si no nikomae na chat without stress et,
Huo Mda sina na watu wamekuja inbox wengi nimekataa .
Ila nilitaka niache kukujibu ila nipo kukuziba mdomo ukinikela nikifika miatano naikuza mara kumi zaidi😛😛
Ukinikela tena nataka nikutumie faida kwa silimia kumi😛😛🤓🤓
Ila unihaidi utaacha uchawa utaanza kufanya kazi,ni dhambi kwa Mungu mwanaume kuwa chawa wa Ccm