Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Kaka una miliki gari? Umewahi endesha brand ngapi mpaka sasa? Hakuna gari duniani lisilo na changamoto. Ndio maana spear zipo, ndio maana yananunuliwa duniani koteBatter miezi 7 tu zinakufa afu nigharama kinoma,kwenyegesi bado tupo nyuma asasa vituo vyakujazia gasπΈπ,diesel, petrol,ndo suluhisho.
Gari la hybrid betri yake tu niliwahi sikia bei milioni 10. Hiyo ni betri tu.Shida siyo kununua shida mnavyo sema yatapunguza gharama,wakati tunajua miezi simingi yanakufa battery au unajua magari ya hybrid ndo yanaingia leo? Yalikuwapo toka awaliπ.
Ishu sio kulalamika. Ilitakiwa kuwekwa miundo mbinu stahiki iendane na huu uzinduzi.Jamani hii Ndiyo fursa changamoto ni sehemu ya mfanyabiashara ama mtumiaji kwani huwezi kununua betri ya ziada ama charger? Mnapendaz sana kulalamika? Wataalamu wa kulalamika kwenye hili siwaungi mkono
Huko yalikoanzia mbaona wanaanza kuyapiga na chini.Hayajaleta faida yoyote.Kutoka Dodoma Naibu Waziri Mkuu Dotto Biteko amezindua matumizi rasmi ya magari ya umeme Kwa Wananchi wanapotaka kuyatumia.
View: https://www.instagram.com/p/C7nwUkRtb0m/?igsh=MTltOXdyenk3cjZieA==Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amezindua magari yanayotumia mfumo wa umeme ikiwa ni jitihada za serikali za kuwezesha wananchi kutumia nishati safi nchini. Uzinduzi wa magari hayo umefanyika Alhamisi Mei 30, 2024 jijini Dodoma sanjari na uzinduzi wa Ofisi za Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) pamoja na kituo cha uzalishaji wa umeme wa jua.
"Niwapongeze wadau wetu kutoka Umoja wa Ulaya (EU) na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) kwa hatua hii, mtakumbuka kwamba serikali inaendelea kutafuta mbadala wa kuwawezesha wananchi hasa wale walio na uhitaji zaidi wa nishati safiβ Amesema Dkt. Biteko. Amesisitiza kuwa ni muhimu kwa wadau wanaoshirikiana na Serikali kutafuta uwezekano wa kuwa na nishati safi ya uhakika ili kufikia malengo ya asilimia 80 ya Watanzania kutumia nishati safi ifikapo 2034. Kwa upande wake mwakilishi wa UNDP, Weyinmi Omanuli ameipongeza serikali kwa hatua zinazoendelea kuelekea kuwawezesha wananchi wake katika nyanja mbalimbali kijamii na kiuchumi.
Amesema kuwa kampeni ya Nishati Safi ya kupikia imekuwa kielelezo thabiti cha serikali kuwajali wananchi wake hususani wale wa kipato cha chini. Naye mwakilishi wa Umoja wa Ulaya, Cedric Marel amesema umoja huo una imani kubwa na serikali kupitia Wizara ya Nishati kuendeleza jitihada za kuwakomboa wananchi kwa kuandaa mazingira wezeshi yanayolenga kuboresha maisha yao. Akitoa salamu za utangulizi Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule amesema hatua ya uzinduzi wa magari yanayotumia umeme ni mwendelezo wa mpango wa Taifa wa matumizi ya nishati safi ya kupikia. "Huu ni mwendelezo wa utekelezaji wa kampeni ya kitaifa chini ya Rais wetu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan inayolenga kuongeza matumizi ya nishati safi nchiniβ Amesema Senyamule.
My Take
Safi sana, ukilalamika bei ya Juu ya Mafuta geukia magari ya umeme au gesi.
Samia amesema by 2034 anataka 80% ya Watanzania watumie Nishati safi.
Kazi za Samia zinaongea huhutaji propaganda.
View: https://twitter.com/EUinTZ/status/1796415222804312126?t=BHF9GAIIOipYbLaHcClY0w&s=19
Hizo gari zitakuwa msaada mkubwa sana kwa hapa mjini. Unakuwa nayo ya kuchaji na ya mafuta kwa ajili ya safari ndefu.Huko yalikoanzia mbaona wanaanza kuyapiga na chini.Hayajaleta faida yoyote.
Tanzania hata umeme wa kuonea ni shida huo wa kuchaji betri za gari utatokea wapi.Unaweza ukalala njiani bila sababu
Umeme hauwezi kuwa kero kama wanaojazana vituo vya gesi.Ishu sio kulalamika. Ilitakiwa kuwekwa miundo mbinu stahiki iendane na huu uzinduzi.
Umewahi jua kero wanayopata watumiaji wa vyombo vinavyotumia gesi? Hebu siku moja pita ubungo maziwa kwenye kituoa cha ujazaji gesi
Umeme uko wapi?Hizo gari zitakuwa msaada mkubwa sana kwa hapa mjini. Unakuwa nayo ya kuchaji na ya mafuta kwa ajili ya safari ndefu.
Imagine unapata ya kwenda hata 500km unaweza zunguka hata week 3 hujaichaji. Thats a single charge tu hebu compare kama litre moja ni TZS 3,314/= na unit moja ya umeme ni TZS 350/= huoni kama kuna tofauti ya almost 90% ya bei hizi mbili. Kwa gharama za mafuta zilivyopaa hivi huwezi kukwepa ishu ya gari za umeme. Ni sababu hazijafika tu ila hata Gas watu wataiona ni expensive.
Hatakuwa na usajili kwenye mfumo wetu, si unaona hata hizi piki piki za umeme hazina usajili.Yalikuwa hayaruhusiwi kutumiwa??
Serikali haiwezi kuweka miundombinu hiyo kwasasa kwasababu bado hawajajipanga lakini nijukumu la serikali kuwaunga mkono wananchi wake kwenye harakati mbalimbali zinazoleta mabadiliko kwenye jamii pia nijukumu la sekta binafsi kujenga miundombinu hiyo hata kwa ubia na serikali km ambavyo wameleta hayo magari hata wengine kuanza kuyaunda kwamtizamo wangu hii ingelikuwa ni fursa kwako kibiashara kumbuka binadamu hana ukomo wa kufikiri hata mimi ninaiona fursa ngoja niichangamkie kwa maana fursa haiwezi nifuataIshu sio kulalamika. Ilitakiwa kuwekwa miundo mbinu stahiki iendane na huu uzinduzi.
Umewahi jua kero wanayopata watumiaji wa vyombo vinavyotumia gesi? Hebu siku moja pita ubungo maziwa kwenye kituoa cha ujazaji gesi
Services moja ya car electric ni zaidi ya fuel engine!. Afu isitoshe bado atuna mafundi wakutosha wa new generation.Hizo gari zitakuwa msaada mkubwa sana kwa hapa mjini. Unakuwa nayo ya kuchaji na ya mafuta kwa ajili ya safari ndefu.
Imagine unapata ya kwenda hata 500km unaweza zunguka hata week 3 hujaichaji. Thats a single charge tu hebu compare kama litre moja ni TZS 3,314/= na unit moja ya umeme ni TZS 350/= huoni kama kuna tofauti ya almost 90% ya bei hizi mbili. Kwa gharama za mafuta zilivyopaa hivi huwezi kukwepa ishu ya gari za umeme. Ni sababu hazijafika tu ila hata Gas watu wataiona ni expensive.
Hatakuwa na usajili kwenye mfumo wetu, si unaona hata hizi piki piki za umeme hazina usajili.
Ila sasa hivi nadhani zitatakiwa kusajiliwa rasmi. Hichi ni kichaka cha mapato yaliyokuwa tanapotea.
Sasa mabetri ya car electric yanafikia uzito wa 450kg hizo ni betri tu!πππ afu tuachane na fuel.Gari la hybrid betri yake tu niliwahi sikia bei milioni 10. Hiyo ni betri tu.
Wazungu wafanye wafanyavyo, mafuta ndio suluhisho ya yote.
Waarabu wabarikiwe sana, kama ni njama zao wazungu kuwaumiza waarabu wamegonga mwamba.
Tunaomba tu mafuta yashuke bei, atleast 2000 per litre
Hio service hadi itokee sio leo unless ule buyu la maana iharibike components. Ile ni kama TV tu ama Feni. Ukinunua brand ya kueleweka unapiga 10-15 years bila kipengele.Services moja ya car electric ni zaidi ya fuel engine!. Afu isitoshe bado atuna mafundi wakutosha wa new generation.
Kwenye ugumu sikati lakini vifaa gharama mno tena unaagiza nche ya baraππππ.Hio service hadi itokee sio leo unless ule buyu la maana iharibike components
Kichaka cha mapato au upuuzi tu. Kama appliances zinasajiliwa tuanze kusajili mafeni, tv, subwoofer, laptop, washing machine.Hatakuwa na usajili kwenye mfumo wetu, si unaona hata hizi piki piki za umeme hazina usajili.
Ila sasa hivi nadhani zitatakiwa kusajiliwa rasmi. Hichi ni kichaka cha mapato yaliyokuwa tanapotea.
Wenzetu Europe na Marekani wameyafutia TAX na kama ipo ni kidogo sana ili watu wa Adopt. Sisi tunataka kuyageuza kitega uchumi.Wangeyawekea ushuru mdogo. Magari ya umeme (BEV) na Hybrid.