Rasmi serikali yaruhusu na kuzindua matumizi ya magari ya umeme Tanzania

Batter miezi 7 tu zinakufa afu nigharama kinoma,kwenyegesi bado tupo nyuma asasa vituo vyakujazia gasπŸΈπŸ‘ˆ,diesel, petrol,ndo suluhisho.
Kaka una miliki gari? Umewahi endesha brand ngapi mpaka sasa? Hakuna gari duniani lisilo na changamoto. Ndio maana spear zipo, ndio maana yananunuliwa duniani kote
 
Shida siyo kununua shida mnavyo sema yatapunguza gharama,wakati tunajua miezi simingi yanakufa battery au unajua magari ya hybrid ndo yanaingia leo? Yalikuwapo toka awaliπŸ‘ˆ.
Gari la hybrid betri yake tu niliwahi sikia bei milioni 10. Hiyo ni betri tu.

Wazungu wafanye wafanyavyo, mafuta ndio suluhisho ya yote.

Waarabu wabarikiwe sana, kama ni njama zao wazungu kuwaumiza waarabu wamegonga mwamba.

Tunaomba tu mafuta yashuke bei, atleast 2000 per litre
 
Jamani hii Ndiyo fursa changamoto ni sehemu ya mfanyabiashara ama mtumiaji kwani huwezi kununua betri ya ziada ama charger? Mnapendaz sana kulalamika? Wataalamu wa kulalamika kwenye hili siwaungi mkono
Ishu sio kulalamika. Ilitakiwa kuwekwa miundo mbinu stahiki iendane na huu uzinduzi.

Umewahi jua kero wanayopata watumiaji wa vyombo vinavyotumia gesi? Hebu siku moja pita ubungo maziwa kwenye kituoa cha ujazaji gesi
 
Huko yalikoanzia mbaona wanaanza kuyapiga na chini.Hayajaleta faida yoyote.
Tanzania hata umeme wa kuonea ni shida huo wa kuchaji betri za gari utatokea wapi.Unaweza ukalala njiani bila sababu
 
Huko yalikoanzia mbaona wanaanza kuyapiga na chini.Hayajaleta faida yoyote.
Tanzania hata umeme wa kuonea ni shida huo wa kuchaji betri za gari utatokea wapi.Unaweza ukalala njiani bila sababu
Hizo gari zitakuwa msaada mkubwa sana kwa hapa mjini. Unakuwa nayo ya kuchaji na ya mafuta kwa ajili ya safari ndefu.

Imagine unapata ya kwenda hata 500km unaweza zunguka hata week 3 hujaichaji. Thats a single charge tu hebu compare kama litre moja ni TZS 3,314/= na unit moja ya umeme ni TZS 350/= huoni kama kuna tofauti ya almost 90% ya bei hizi mbili. Kwa gharama za mafuta zilivyopaa hivi huwezi kukwepa ishu ya gari za umeme. Ni sababu hazijafika tu ila hata Gas watu wataiona ni expensive.
 
Ishu sio kulalamika. Ilitakiwa kuwekwa miundo mbinu stahiki iendane na huu uzinduzi.

Umewahi jua kero wanayopata watumiaji wa vyombo vinavyotumia gesi? Hebu siku moja pita ubungo maziwa kwenye kituoa cha ujazaji gesi
Umeme hauwezi kuwa kero kama wanaojazana vituo vya gesi.

Imagine watu wanaweza kulipia wakafungiwa 3 phase mitaani wakaweka mashine za kusaga. Same kind of installation unaweza wekewa kwako ukawa unachaji gari yako ya umeme kwa fast charger.
 
Umeme uko wapi?
 
Ishu sio kulalamika. Ilitakiwa kuwekwa miundo mbinu stahiki iendane na huu uzinduzi.

Umewahi jua kero wanayopata watumiaji wa vyombo vinavyotumia gesi? Hebu siku moja pita ubungo maziwa kwenye kituoa cha ujazaji gesi
Serikali haiwezi kuweka miundombinu hiyo kwasasa kwasababu bado hawajajipanga lakini nijukumu la serikali kuwaunga mkono wananchi wake kwenye harakati mbalimbali zinazoleta mabadiliko kwenye jamii pia nijukumu la sekta binafsi kujenga miundombinu hiyo hata kwa ubia na serikali km ambavyo wameleta hayo magari hata wengine kuanza kuyaunda kwamtizamo wangu hii ingelikuwa ni fursa kwako kibiashara kumbuka binadamu hana ukomo wa kufikiri hata mimi ninaiona fursa ngoja niichangamkie kwa maana fursa haiwezi nifuata
 
Services moja ya car electric ni zaidi ya fuel engine!. Afu isitoshe bado atuna mafundi wakutosha wa new generation.
 
Sasa mabetri ya car electric yanafikia uzito wa 450kg hizo ni betri tu!😁😁😁 afu tuachane na fuel.
 
Services moja ya car electric ni zaidi ya fuel engine!. Afu isitoshe bado atuna mafundi wakutosha wa new generation.
Hio service hadi itokee sio leo unless ule buyu la maana iharibike components. Ile ni kama TV tu ama Feni. Ukinunua brand ya kueleweka unapiga 10-15 years bila kipengele.

Hayana vikorokoro vingi kama magari ya mafuta. Mule humwagi oil wala kubadili filter kila mwezi
 
Hatakuwa na usajili kwenye mfumo wetu, si unaona hata hizi piki piki za umeme hazina usajili.

Ila sasa hivi nadhani zitatakiwa kusajiliwa rasmi. Hichi ni kichaka cha mapato yaliyokuwa tanapotea.
Kichaka cha mapato au upuuzi tu. Kama appliances zinasajiliwa tuanze kusajili mafeni, tv, subwoofer, laptop, washing machine.

Hizo pikipiki na magari lengo ni kupunguza gharama sio viwe kichaka cha dhuluma. Umeme unalipwa na makodi kibao extra. Vikitumia umeme ndio namna vitaingiza mapato.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…