Rasmi: Tundu Lissu kuingia ofisini Makao Makuu Mikocheni 29/01/2025

Rasmi: Tundu Lissu kuingia ofisini Makao Makuu Mikocheni 29/01/2025

ushauri wabure kwako mzee wasira

huyu mtu kabla hajaingia ofisini ...kashakupiga ya PUA kwamba wewe ni DEBE tupu

tafadhari acha kitamka maneno yakimjini umri umeshaktupa mkono
 
..ulinzi wa Mama Abduli umeuona?

..zoezi la kumpitisha Mama Abduli kuwa mgombea limefuata taratibu?


Alafu muwe na heshima walau kidogo, Mama Abdul ni nani?

Mh. Rais Samia Suluhu Hassan ni Rais wa JMT na ni Rais halali, hayo majina mengine mnamuita sio rasmi na hayapo kikatiba na mnafanya dharau kwa Mh. Rais, au sbb ni mwanamke mnafanya dharau ya wazi wazi? Mama Abdul hilo jina lipo wapi kikatiba? Haya majina mnaita kwa dharau, na hii tabia mbaya sana, niseme tu, Mh. Rais ana madaraka makubwa mno na acheni hizi dharau kabisa.
 
Alafu muwe na heshima walau kidogo, Mama Abdul ni nani?

Mh. Rais Samia Suluhu Hassan ni Rais wa JMT na ni Rais halali, hayo majina mengine mnamuita sio rasmi na hayapo kikatiba na mnafanya dharau kwa Mh. Rais, au sbb ni mwanamke mnafanya dharau ya wazi wazi? Mama Abdul hilo jina lipo wapi kikatiba? Haya majina mnaita kwa dharau, na hii tabia mbaya sana, niseme tu, Mh. Rais ana madaraka makubwa mno na acheni hizi dharau kabisa.

..basi Mrs.Hafizi itapendeza.

..kama unasikia uchungu kupigwa kijembe, fikiria machungu ya kupigwa risasi, au kuuwawa wanayopitia wapinzani.
 
..basi Mrs.Hafizi itapendeza.

..kama unasikia uchungu kupigwa kijembe, fikiria machungu ya kupigwa risasi, au kuuwawa wanayopitia wapinzani.


Hata hilo Mrs. Hafidh ni jina la Nyumbani, kuna majina yanatumika nyumbani na hayapaswi kutumika kikatiba au ofisini, kwa mfano mtu akikuita wewe ofisini kwako, wewe mpenzi wangu njoo hapa au wewe mkwe wangu mambo au wewe Mke wa Joka Kuu njoo hapa, hayo sio majina ya kikazi au ofisini au kikatiba, hapaswi mtu kuitwa hivyo kikazi..


Kikazi au Kikatiba ni Mh. Rais Samia Suluhu Hassan, hayo majina mengine ni kukejeliana, na vitu kama hivi ndio inaonyesha dharau kubwa wazi wazi kwa viongozi na nikwambie Mh. Rais ni binadamu kama mimi na wewe, hakuna mtu anapenda dharau kabisa, achilia mbali binadamu, hata Mwenyezi Mungu ukimletea dharau utakiona cha mtema kuni. Na msije mkadhania sbb ni mwanamke labda mkafanya dharau, mtapitia magumu sana.

Hivyo nasisitiza, CHADEMA acheni dharau, ni mbaya sana.
 
Hata hilo Mrs. Hafidh ni jina la Nyumbani, kuna majina yanatumika nyumbani na hayapaswi kutumika kikatiba au ofisini, kwa mfano mtu akikuita wewe ofisini kwako, wewe mpenzi wangu njoo hapa au wewe mkwe wangu mambo au wewe Mke wa Joka Kuu njoo hapa, hayo sio majina ya kikazi au ofisini au kikatiba, hapaswi mtu kuitwa hivyo kikazi..


Kikazi au Kikatiba ni Mh. Rais Samia Suluhu Hassan, hayo majina mengine ni kukejeliana, na vitu kama hivi ndio inaonyesha dharau kubwa wazi wazi kwa viongozi na nikwambie Mh. Rais ni binadamu kama mimi na wewe, hakuna mtu anapenda dharau kabisa, achilia mbali binadamu, hata Mwenyezi Mungu ukimletea dharau utakiona cha mtema kuni. Na msije mkadhania sbb ni mwanamke labda mkafanya dharau, mtapitia magumu sana.

Hivyo nasisitiza, CHADEMA acheni dharau, ni mbaya sana.

..hamjazuiwa kumuita Tundu Lissu, Baba Augustino / Tino.

..viongozi wa upinzani wanadharauliwa, wanatekwa, wanateswa, na kuuwawa, na huo upande unaoutetea.
 
Lini Rasmi atatumia choo cha makao makuu mlete uzi pia .... Hivi huko chadema hamna habari nyingine zaidi ya lissu tuu
 
Dr Slaa Yuko Keko, club house wamepiga kimya!!
TAL hata kwenda kumjulia Hali hakuna???😕
Wewe mchaga punguza chuki ndio maana mnawauaga waume zenu, tena wewe utakuwa mmachame (mpalestina) siyo kwa roho mbaya hii
 
Back
Top Bottom