Rasmi: Tundu Lissu kuingia ofisini Makao Makuu Mikocheni 29/01/2025

Rasmi: Tundu Lissu kuingia ofisini Makao Makuu Mikocheni 29/01/2025

CHADEMA wenyewe kwa wenyewe mnataka kutoana macho na roho, mnagombaniana madaraka kama vita, yaani Tundu Lissu ana walinzi kama yuko Sudan au Somalia, kisa mnashindwa kuaminiana.. Hivi tunajiuliza CHADEMA mkipewa nchi si mtauza kila kitu, tamaa yenu ni mbaya sana, ulafi wa ajabu, huko kanda ya Nyasa tuliona uchaguzi wa aibu kabisa. CHADEMA mmeprove failure kabisa.
Akina 7baya bado wako.mtaani Braza na wasiojulikana hadi leo Tanpol na wao hawajui.

Tundu Lissu sio mjinga
 
Alafu muwe na heshima walau kidogo, Mama Abdul ni nani?

Mh. Rais Samia Suluhu Hassan ni Rais wa JMT na ni Rais halali, hayo majina mengine mnamuita sio rasmi na hayapo kikatiba na mnafanya dharau kwa Mh. Rais, au sbb ni mwanamke mnafanya dharau ya wazi wazi? Mama Abdul hilo jina lipo wapi kikatiba? Haya majina mnaita kwa dharau, na hii tabia mbaya sana, niseme tu, Mh. Rais ana madaraka makubwa mno na acheni hizi dharau kabisa.
Mkuu hawa jamaa wa chadomo hakuna mtu ambaye atasalimika kwa matusi na kejeli zao. Wote tunakumbuka namna walivyomdhalilisha mwenyekiti wao.
 
CHADEMA wenyewe kwa wenyewe mnataka kutoana macho na roho, mnagombaniana madaraka kama vita, yaani Tundu Lissu ana walinzi kama yuko Sudan au Somalia, kisa mnashindwa kuaminiana.. Hivi tunajiuliza CHADEMA mkipewa nchi si mtauza kila kitu, tamaa yenu ni mbaya sana, ulafi wa ajabu, huko kanda ya Nyasa tuliona uchaguzi wa aibu kabisa. CHADEMA mmeprove failure kabisa.
Punguza bangi, baada ya uchaguzi umesikia nini? Kwa nini usimseme yule aliyewakusanya machawa wote akawafanya mazuzu akajipitisha kugombea?
 
Aende na pesa

Ofisi ya makao makuu Chadema sio kioo cha kuuza sura kama ubeligiji

Mbowe alikuwa akiingia ofisini haendi kuuza sura au kuchonga mdomo tu anaenda na pesa

Aliacha noti za kuchangia chama kwa ajili ya uendeshaji na malipo ya Wafanyakazi

Wafanyakazi pale hawahitaji hotuba wanataka kulipwa mishahara yao nk
Joyce Mukya una gubu sana
 

Attachments

  • IMG-20250126-WA0010.jpg
    IMG-20250126-WA0010.jpg
    206.9 KB · Views: 1
Mbona mnaniacha hewani au mm ndo sijaelewa? Ni nyumba no 31 au Jengo no 31?? Sijaelewa hapo, inamana CHADEMA inafanyia kazi nyumbani au Jengoni??!
 
"Shambulio la Lissu ni la kawaida....'" Balozi Dkt Sla
Ata mbowe uyu mzee alimnanga wkt mbowe yuko kwenye kesi ya UGAID !!! Lkn uyu mzee njaa tu wampe kicheo chochote atulie
uzuri akipata anatulia Ana baya DK ni njaa tu.. shida akiambiwa kitu ana amini itakuwa kuna wahuni wamemmezesha matango pori!! yeye akayaamini nina taharifa nyeti!!!!! akatokanazo uwanjani Wauni Wabaya sana!!
 
Back
Top Bottom