Nadhani katiba ya Chadema inampa Nafasi mwenyekiti kuitisha Uchaguzi wkt wwte!! asione aibu watafutane na nduguye Mbowe wamalize tofaut Lisu agombee umakam kama alivokuwa na Mbowe agombee Uwenyekiti
Chama kitalejea kwenye nguvu zake lkn jinsi mambo yalivo sasa Wajumbe Watajilaumu mapemaa Asubui mkono mtupu kwenye Siasa ngumu !!! kwa uwelewa wangu Chadema itapungua mvuto mambo yakibaki ivi!!!
Chama kitalejea kwenye nguvu zake lkn jinsi mambo yalivo sasa Wajumbe Watajilaumu mapemaa Asubui mkono mtupu kwenye Siasa ngumu !!! kwa uwelewa wangu Chadema itapungua mvuto mambo yakibaki ivi!!!