Rasmi: Tundu Lissu kuingia ofisini Makao Makuu Mikocheni 29/01/2025

Akina 7baya bado wako.mtaani Braza na wasiojulikana hadi leo Tanpol na wao hawajui.

Tundu Lissu sio mjinga
 
Mkuu hawa jamaa wa chadomo hakuna mtu ambaye atasalimika kwa matusi na kejeli zao. Wote tunakumbuka namna walivyomdhalilisha mwenyekiti wao.
 
Punguza bangi, baada ya uchaguzi umesikia nini? Kwa nini usimseme yule aliyewakusanya machawa wote akawafanya mazuzu akajipitisha kugombea?
 
Joyce Mukya una gubu sana
 
Dr slaa ni mwana CCM toka 2015, kumkana Dr ni kupuuza legasi ya Shujaa Magufuli Uhuru wa maoni uheshimiwe aachiwe bila masharti
Ushujaa wa Magufuli nini, au kumbangua Ben Saanane risasi ya kichwa Ikulu?
 
Mbona mnaniacha hewani au mm ndo sijaelewa? Ni nyumba no 31 au Jengo no 31?? Sijaelewa hapo, inamana CHADEMA inafanyia kazi nyumbani au Jengoni??!
 
Mkuu umeshaunga juhudi? mbona faster sana kama CCM
 
"Shambulio la Lissu ni la kawaida....'" Balozi Dkt Sla
Ata mbowe uyu mzee alimnanga wkt mbowe yuko kwenye kesi ya UGAID !!! Lkn uyu mzee njaa tu wampe kicheo chochote atulie
uzuri akipata anatulia Ana baya DK ni njaa tu.. shida akiambiwa kitu ana amini itakuwa kuna wahuni wamemmezesha matango pori!! yeye akayaamini nina taharifa nyeti!!!!! akatokanazo uwanjani Wauni Wabaya sana!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…