Hatuwezi kuwapa nchi Genge la wahuni hilo.CHADEMA wenyewe kwa wenyewe mnataka kutoana macho na roho, mnagombaniana madaraka kama vita, yaani Tundu Lissu ana walinzi kama yuko Sudan au Somalia, kisa mnashindwa kuaminiana.. Hivi tunajiuliza CHADEMA mkipewa nchi si mtauza kila kitu, tamaa yenu ni mbaya sana, ulafi wa ajabu, huko kanda ya Nyasa tuliona uchaguzi wa aibu kabisa. CHADEMA mmeprove failure kabisa.
Vipi na DJ Mbowe atakuwapo? ErythrocyteTaarifa iliyosambazwa na Chama chake kote Duniani hii hapa
View attachment 3216439
Soma: Pre GE2025 - Kauli ya kwanza ya Tundu Lissu na John Heche baada ya Freeman Mbowe kukubali matokeo ya Uchaguzi
Lissu na genge lake la wahuni wanakwenda kuizika CDM.Taarifa iliyosambazwa na Chama chake kote Duniani hii hapa
View attachment 3216439
Soma: Pre GE2025 - Kauli ya kwanza ya Tundu Lissu na John Heche baada ya Freeman Mbowe kukubali matokeo ya Uchaguzi
Ngoja tuoneLissu na genge lake la wahuni wanakwenda kuizika CDM.
Mungu mbariki Mbowe🤣🤣🤣Taarifa iliyosambazwa na Chama chake kote Duniani hii hapa
Soma: Pre GE2025 - Kauli ya kwanza ya Tundu Lissu na John Heche baada ya Freeman Mbowe kukubali matokeo ya Uchaguzi
Mbona umetumia neno CHAMA CHAKE.Taarifa iliyosambazwa na Chama chake kote Duniani hii hapa
Soma: Pre GE2025 - Kauli ya kwanza ya Tundu Lissu na John Heche baada ya Freeman Mbowe kukubali matokeo ya Uchaguzi
Ni kweliMbona umetumia neno CHAMA CHAKE.
AmenMungu mbariki Mbowe🤣🤣🤣
Kuanzia sasa uwe unasema Mungu mbariki Lissu uzoee kuwa chawa wa mwenyekiti mpyaAmen
Sijawahi kuwa ChawaKuanzia sasa uwe unasema Mungu mbariki Lissu uzoee kuwa chawa wa mwenyekiti mpya
Dr Slaa hajulikani yupo upande upi.Dr Slaa Yuko Keko, club house wamepiga kimya!!
TAL hata kwenda kumjulia Hali hakuna???😕
huyo mzee kila kona hatakiwi anajipendekeza kwa upinzani hawamtaki ccm nako hawamtaki ndiyo maana anakula janga lake mwenyewe pekeyake na atahenya mwaka huu wenzie wanasherehekea ushindi wa lissu kumbwaga mume wa erythrocyteDr Slaa Yuko Keko, club house wamepiga kimya!!
TAL hata kwenda kumjulia Hali hakuna???😕
acha ale mateso ya kujifanya msagaji kunguni atahenyaDr Slaa hajulikani yupo upande upi.
Slaa huyu huyu alietunga kitabu akidai Lissu ni mtu baki tu,mfitini,na msema ovyo.
Unategemea Lissu ampaishe Slaa mtu aliyemsaga saga kwenye kitabu chake?
katumika kama condo.......... halafu wameitupa kwenye dustbinDaah dokta slaa anateketea baada ya kutumika!
Mzalendo gani wa kweli?Kila la kheri mzalendo wa kweli