permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Wakisingizia timu nzima ina coronaCaf wameshanogewa kupambanisha timu za Tanzania dhidi ya Nigeria. Msimu uliopita Simba walianza na plateau ya Nigeria
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakisingizia timu nzima ina coronaCaf wameshanogewa kupambanisha timu za Tanzania dhidi ya Nigeria. Msimu uliopita Simba walianza na plateau ya Nigeria
Huyo ndio mke wa MwamediMatch hata hazijaanza mikia mmeanza kuumia..
Hasa hilo tahira lililoweka Avatar ya mwamedi..
lawama kwa TFF. hii timu ni hatari [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii comment wanasimba wakiiona afu wakikumbuka Libolo ya Angola,wanasema heeee.Caf sijui ktk awamu hii hutumia vigezo gani.
Sidhani kama kuna droo Maalum kwny kuandaa hizi early fixtures.
Mbona Vilabu wawakilishi wa Tanzania hupangwa ktk raundi ya awali na timu kutoka nchi zilezile kila mwaka?
Na kwanini ikichomoka hapo lazima ikutane na timu kutoka misiri, algeria au tunis?
Afrika ina mataifa 55,
Kwanin hatujawahi kuviona nchini vilabu kutoka nchi mathalan;
Gabon, Namibia,Togo,Cameroun Niger,Burkinafaso,
Senegal,Chad,Mali,
Guinea,Siera leone Cape verde, au Gambia.
In 30 years as reference, nani ameona timu yoyte ktk hizo nchi ikipangwa nasi,. na hizo ni kwa uchache tu.
Naamini mpaka sasa Ntani huna maswali tena?Mtani bado mnachoma chanjo muhimbili wiki imeisha iyo
Unasahau kabisa Al Ahly yalimkuta yapi mbali na ubora wake alipocheza na Bayern Munich.Usishtuke ndio timu bora kati ya vilabu kumi bora Africa
Hapo kwenye mwiko nyuma ndo pahara sahihi pa Yanga.....Na mtafute mafuta ya kuutolea maana wana nigeria wataukandamiza sana mtani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mtapata tabu sana mwaka huu Mtani.
"DaimaMbeleNyumaMwiko
pre season huwa mnakuwa na machepele kama haya. Tukutane TFF kwenye dirisha la malalamikoMtapata tabu sana mwaka huu Mtani.
"DaimaMbeleNyumaMwiko
pre season huwa mnakuwa na machepele kama haya. Tukutane TFF kwenye dirisha la malalamiko