ZionGate
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 6,362
- 2,991
Baby class[emoji1][emoji1][emoji1]Shule za awali [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baby class[emoji1][emoji1][emoji1]Shule za awali [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😅😅😅Dada nagawa jezi ya Rivers hapa bure kabisa, pamoja na free delivery
Na huko Morocco hakuna mayai vizaView attachment 1891558
kwanza chukua matokeo ya Rivers. Pelekeni timu mkaaibike. Na hivi tunasikia mmelipiwa na mwarabu basi mtarudi Morocco mmelegea sana
Mnaenda kwa hisani si bure mmeenda na lile gobore lenu dcm la mbagalaAah!! Ujue bana Mtani tukiwasikiliza nyie hamna kitu tunaeza fanya.
Na hii yote ni vile tunaenda nchi moja na hamna mlichotuzidi sababu kama Morocco na sisi tunaenda huko huko hivyo mnabakia kujipoza machungu na kauli kama hizi.
Hapo naziona 2 kwa mkapa na 3 Nigeria.Nimecheka sana comments za watu humu. Lol.
Hebu huko!!Hapo naziona 2 kwa mkapa na 3 Nigeria.
Sijataja timu lakini
Maneno yenu Watani wala hatuyajali.Mnaenda kwa hisani si bure mmeenda na lile gobore lenu dcm la mbagala
Tooba!! 😳Mbona utopolo mnapenda sana miserereko, Simba yupo tayari hata kupangwa na na Barcelona
Tarehe 25/9 Siyo mbali tutajua mcheza Ndombolo ni Nani kati ya Yanga na Simba? Taratibu tutaanza kuheshimianaWacheza Ndombolo round ya awali tu chaliii.
Mmejitahidi*Yanga mkichomoa hapo mtakuwa mumejitahidi
We wakala wao 😀😀😀 na huwezi amini kibongobongo zitapatikana tu....kwa anayehitaji jezi za Rivers
Sisi Yanga tunawalaani tff kwa kuhonga CAF ili tupangiwe timu ngumu km hii. Ole wenu tutolewe raundi ya kwanza.Ratiba ya hatua ya awali Car champions League ni Kama ifuatavyo.
Kama Yanga atafanikiwa kusonga mbele basi atakutana na mshindi Kati ya Fasil Kenema ya Ethiopia na Al Hilal ya Sudan katka round ya pili ya mtoano .
View attachment 1891206
Watswana na Afrika ya kati19,20 ni timu za nchi gani hizo
Washinde au washindwe nyingiShidah awa jamaa ni atari sana kwao save hii comment yanga inabid ashinde nyingi kwa mkapa
Unakumbuka Hatua ya Makundi mlicheza miaka mingapi iliyopita?Naiona Yanga ikifika ½ fainali[emoji172][emoji169][emoji123]
Ili iwe nini? Mpira ni wachezaji 11 kwa 11 dimbani..Wanazingatia Geographical nearness kwenye preliminary rounds
Mtani bado mnachoma chanjo muhimbili wiki imeisha iyoManeno yenu Watani wala hatuyajali.
Usishtuke ndio timu bora kati ya vilabu kumi bora AfricaTooba!! [emoji15]