ZionGate
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 6,362
- 2,991
Nusu finali mapinduzi cup kombe la mbaoNaiona Yanga ikifika ½ fainali[emoji172][emoji169][emoji123]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nusu finali mapinduzi cup kombe la mbaoNaiona Yanga ikifika ½ fainali[emoji172][emoji169][emoji123]
Nusu Final ya MAPINDUZI CupNaiona Yanga ikifika ½ fainali[emoji172][emoji169][emoji123]
Anamaanisha mapinduzi kapuLabda ½ finali ya Nyeto.
Relax, pambana ushinde, beat the best to become the best!Caf sijui ktk awamu hii hutumia vigezo gani.
Sidhani kama kuna droo Maalum kwny kuandaa hizi early fixtures.
Mbona Vilabu wawakilishi wa Tanzania hupangwa ktk raundi ya awali na timu kutoka nchi zilezile kila mwaka?
Na kwanini ikichomoka hapo lazima ikutane na timu kutoka misiri, algeria au tunis?
Afrika ina mataifa 55,
Kwanin hatujawahi kuviona nchini vilabu kutoka nchi mathalan;
Gabon, Namibia,Togo,Cameroun Niger,Burkinafaso,
Senegal,Chad,Mali,
Guinea,Siera leone Cape verde, au Gambia.
In 30 years as reference, nani ameona timu yoyte ktk hizo nchi ikipangwa nasi,. na hizo ni kwa uchache tu.
mmeanza malalamiko?Caf sijui ktk awamu hii hutumia vigezo gani.
Sidhani kama kuna droo Maalum kwny kuandaa hizi early fixtures.
Mbona Vilabu wawakilishi wa Tanzania hupangwa ktk raundi ya awali na timu kutoka nchi zilezile kila mwaka?
Na kwanini ikichomoka hapo lazima ikutane na timu kutoka misiri, algeria au tunis?
Afrika ina mataifa 55,
Kwanin hatujawahi kuviona nchini vilabu kutoka nchi mathalan;
Gabon, Namibia,Togo,Cameroun Niger,Burkinafaso,
Senegal,Chad,Mali,
Guinea,Siera leone Cape verde, au Gambia.
In 30 years as reference, nani ameona timu yoyte ktk hizo nchi ikipangwa nasi,. na hizo ni kwa uchache tu.
Mwamba ngoma huvutia kwake, waarabu baada ya kuona wanafungwa sana na simba wakaanza kuwakimbia, dawa ni kupambana tu, no way.Caf sijui ktk awamu hii hutumia vigezo gani.
Sidhani kama kuna droo Maalum kwny kuandaa hizi early fixtures.
Mbona Vilabu wawakilishi wa Tanzania hupangwa ktk raundi ya awali na timu kutoka nchi zilezile kila mwaka?
Na kwanini ikichomoka hapo lazima ikutane na timu kutoka misiri, algeria au tunis?
Afrika ina mataifa 55,
Kwanin hatujawahi kuviona nchini vilabu kutoka nchi mathalan;
Gabon, Namibia,Togo,Cameroun Niger,Burkinafaso,
Senegal,Chad,Mali,
Guinea,Siera leone Cape verde, au Gambia.
In 30 years as reference, nani ameona timu yoyte ktk hizo nchi ikipangwa nasi,. na hizo ni kwa uchache tu.
Sio kweli. Mbabane swallows ( swaziland) , ud songo (msumbiji) ,Zesco (zambia), nkana(zambia), Township rollers (botswana) , platinum (zimbabwe) n.k zimekuja hapa nchini miaka ya karibuni kwa hatua za awali au kuelekea group stage.Pia timu za Djibout , Shelisheli, Comoro zimekuja sana hapa nchini. Sasa wewe unataka upangwe na nani? Jengeni timu acheni visingizio.Caf sijui ktk awamu hii hutumia vigezo gani.
Sidhani kama kuna droo Maalum kwny kuandaa hizi early fixtures.
Mbona Vilabu wawakilishi wa Tanzania hupangwa ktk raundi ya awali na timu kutoka nchi zilezile kila mwaka?
Na kwanini ikichomoka hapo lazima ikutane na timu kutoka misiri, algeria au tunis?
Afrika ina mataifa 55,
Kwanin hatujawahi kuviona nchini vilabu kutoka nchi mathalan;
Gabon, Namibia,Togo,Cameroun Niger,Burkinafaso,
Senegal,Chad,Mali,
Guinea,Siera leone Cape verde, au Gambia.
In 30 years as reference, nani ameona timu yoyte ktk hizo nchi ikipangwa nasi,. na hizo ni kwa uchache tu.
Eti mtaenda CAS kulalamika kwamba kwa nini hamjapangwa na timu kutoka Djibout, Comoro au Sheli Sheli na mmepangwa na timu anakotoka Okocha?Nimecheka sana comments za watu humu. Lol.
Nimecheka sana comments za watu humu. Lol.
Haya ni ya kwenu 5imba sisi wenyewe tumetulia tunaisubiri tarehe tuanze mtifuano.Eti mtaenda CAS kulalamika kwamba kwa nini hamjapangwa na timu kutoka Djibout, Comoro au Sheli Sheli na mmepangwa na timu anakotoka Okocha?
Mtapata tabu sana mwaka huu Mtani.View attachment 1891558
kwanza chukua matokeo ya Rivers. Pelekeni timu mkaaibike. Na hivi tunasikia mmelipiwa na mwarabu basi mtarudi Morocco mmelegea sana
Huo mwiko huko nyuma ndio shida ilipo mtani kwani mngeuweka mbele kuna tatizo ganiMtapata tabu sana mwaka huu Mtani.
"DaimaMbeleNyumaMwiko