Rasmi Yanga kuchuana na Rivers ya Nigeria

Rasmi Yanga kuchuana na Rivers ya Nigeria

Sio kweli. Mbabane swallows ( swaziland) , ud songo (msumbiji) ,Zesco (zambia), nkana(zambia), Township rollers (botswana) , platinum (zimbabwe) n.k zimekuja hapa nchini miaka ya karibuni kwa hatua za awali au kuelekea group stage.Pia timu za Djibout , Shelisheli, Comoro zimekuja sana hapa nchini. Sasa wewe unataka upangwe na nani? Jengeni timu acheni visingizio.
Wanazingatia Geographical nearness kwenye preliminary rounds
 
Haya ni ya kwenu 5imba sisi wenyewe tumetulia tunaisubiri tarehe tuanze mtifuano.

Msiogopeshwe na hiyo green & white Mtani.
Mtani vya bure vitawatoa marinda waarabu siyo watu wazuri [emoji2][emoji2][emoji2]
 
Mtani vya bure vitawatoa marinda waarabu siyo watu wazuri
emoji2.png
emoji2.png
emoji2.png
Hata sijakuelewa Mtani? 🤔
 
Aah!! Ujue bana Mtani tukiwasikiliza nyie hamna kitu tunaeza fanya.

Na hii yote ni vile tunaenda nchi moja na hamna mlichotuzidi hivyo mnabakia kujipoza machungu na kauli kama hizi.
Hakuna tulichowazidi ? Hebu kuweni na adabu.

Bwana wenu kashalipa lodge Morroco nendeni basi
 
Asee wazee wa nyuma mwiko mbele kiza kazi mnayo msimu huu naskia hiyo timu ya mnayokutana nayo ni timu mbili ziliungana zikatoa timu moja

Anyway Simba alibebwa na corona si ndo hoja zenu 🤣🤣🤣 basi fanya hivi corona bado iko mahala pake fanya na nyie iwabebe afu tukutane group stage au vp?

#Mbele kugumu nyuma mwiko🙄🙄
 
Back
Top Bottom