Rasmi: Yanga SC yaishinda Mabavu ya Kifedha Simba SC kwenye usajili wa Masoud Djuma

sasa popoma nimefurahi kusikia tunaongeza wageni watatu nani anaondoka? maana hata baada ya kuondoka kahata bado wageni wako kumi
 
Simba ni wazuri kwa scouting ya wachezaji hivi karibuni walitunia mamilioni ya shilingi kwa Chikwende, Peter Maduhlwa, Mugalu(matizo ya goti) Junior Lukosa. Hii ni tafsiri halisi ya timu yenye Scouting Bora kwa apa kwetu kwa mwaka mmoja.
 
sasa popoma nimefurahi kusikia tunaongeza wageni watatu nani anaondoka? maana hata baada ya kuondoka kahata bado wageni wako kumi

Hakuna mpango wa kuwaondoa wachezaji 3 a kigeni kutoka simba (Asikudanganye). ili waondoe achezaji wa3 ni lazima wa-offload some!

Na kama ni ku-offload some basi ni Kagere & Wawa!

sioni uwezekano wa mchezaji yeyote aliyebaki tofauti na hao kuondoshwa.

In fact msimu huu hawatosajili zaidi ya wachezaji 3 overall (local & international players)
 
Simba ni wazuri kwa scouting ya wachezaji hivi karibuni walitunia mamilioni ya shilingi kwa Chikwende, Peter Maduhlwa, Mugalu(matizo ya goti) Junior Lukosa. Hii ni tafsiri halisi ya timu yenye Scouting Bora kwa apa kwetu kwa mwaka mmoja.

Kuna mdau hapo juu anaitwa GENTAMYCINE

Amesema kuwa klabu yake ina scout bora kuliko AL ahly, Tp Mazembe na mamelodi.
 
Wacha aje afe njaa
 
Tuache ushabiki usio na maana. Kama kweli Yanga wamemsajili Djuma wapewe hongera zao kwani siioni timu isiyopenda kuwa na mchezaji wa aina yake. Ni beki wa pembeni lakini dakika zote tisini yupo kwenye "box" la timu pinzani. Krosi nzuri, chenga zenye faida na kasi sasa ukiwa naye unahitaji nini cha zaidi. Tunaoufahamu mpira tulijuwa tu Simba inapeleka amsha amsha kama kawaida ili tu Yanga ilipe pesa nyingi kwani kwa Simba ya sasa mahitaji ya beki wa pembeni sio kipaumbele chao kwani yupo Kapombe anawatosha. Kwa Simba kumsajili Djuma ingekuwa ni uharibifu wa nafasi za wachezaji kumi wa kigeni na isitoshe hakuna timu duniani inayoweza kusajili wachezaji wote bora peke yake kwani hata Real Madrid ilishindwa hilo zoezi enzi za "Galaticos".
 
Mleteni na huyo kichapo kipo pale pale hiyo tarehe 3. Kwanza pale Simba angecheza nafasi ya nani?
 
Shomari Kapombe - anuary 28, 1992 (age 29 years)

Djuma Shabani - March 16, 1993 (age 28 years)
kapombe yupogo Simba shida ni kwa uzee wake hadi aje kuzoea style yenu ya butuabutua mtashangaa
 
so kamati ya wabebaji kutoka yanga isha jiandaa kumpokea au round hii wanakuja kwa staili nyingine ya kumbuluza baada ya kuona wale walio wabeba jujuu mwanzo hawajaleta impact?
 
Hawa waliopo wanashindia mihogo halafu mtoe bilioni moja na ushee kusajili mchezaji mmoja? hii ni akili, matope au mataputapu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…