Rasmi: Yanga SC yaishinda Mabavu ya Kifedha Simba SC kwenye usajili wa Masoud Djuma

Rasmi: Yanga SC yaishinda Mabavu ya Kifedha Simba SC kwenye usajili wa Masoud Djuma

Mwaka jana tarehe kama hizi mlikuwa mnayaimba magalasa yenu tena mlikuwa mkienda airport kuyabeba sasa hivi mnajifanya kusahau kuwa sio nyie na media zenu zilizojaa takataka.
Simba hawasajili kwa mihemko bali wanasajili kutokana na mapungufu ya timu huku tukiangalia zile timu 12 zilizo juu yetu tufanyeje angalau tuwepo tano bora mwakani ndio maana umeona tupo kimya ila nini kinaendelea dalili utaziona tarehe 3 July.
 
Wadanganye ( Wapuuzi ) wenzako Yanga SC kuhusu hili na najua wengi wao walivyo ' Oya Oya ' hapa watakuamini kweli kweli tu.

Simba SC ni Klabu inayoendeshwa Kitaalam ( Kisomi ) na pia ina Idara yake nzuri sana ya ' Kijasusi ' ambayo huwa inafanya Tathmini ya Kina kwa Mchezaji imtakaye.

Ni kweli Mchezaji huyu alikuwa katika ' Rada ' za Simba SC na Pesa kubwa tu ya Kumsajili ilishatengwa ila baada ya ' Ujasusi ' kwa Kitaalamu ( hasa wa Kidaktari ) Simba SC iliyoufanya kwa Kushirikiana na ' Waandamizi ' wa Klabu yake huyu Mchezaji imegundulika kuwa ni hayuko 100% vyema Kiafya ( Proin Injury ) na kwamba atakuja Kuigharimu Timu ( Simba SC ) kwa Kumtibu zaidi na Kuingia Hasara vile vile.

Najua kuwa Kiungo wenu Tonombe Mukoko ndiyo amefanikisha hasa kwa Kumshawishi huyu Mchezaji atue Yanga SC ila Yanga SC mnadhani kuwa mmelamba Dume kwa Kuwazidi Simba SC huku mkisahau kuwa huyo Mchezaji hayuko ' that Fit ' kwa Kucheza Mpira mara kwa mara.

Kuhusu Pesa uliyoitaja hapa ni Uwongo mtupu ( tena wa 100% ) kwani Ukweli ni kwamba Yanga SC mmetanguliza Tsh Milioni 350 tu na zingine Tsh Milioni 150 zake mtakuja Kummalizia huku Tanzania baada ya Kuuza uza Magodoro yenu yanayoumiza Migongo.

Namalizia kwa Kuwaambia Yanga SC kuwa Simba SC haisajili bali ' inajazilia ' na kuna ' Bunduki ' Tatu tu za Kigeni zinakuja nafasi ya Beki wa Kati ili acheze Pacha na Onyango huku Wawa akiwa sasa anasaidiana na Kapombe Shavu la Kulia na ' Duchu ' akiendelea Kuchota Uzoefu Kwao.

Pia kuna ' attacking Midfielder ' mmoja kutoka Misri au Congo DR anakuja na tunamalizia na Mshambuliaji ' Talisman ' kabisa kutoka Morocco au Tunisia au Uganda au Afrika Kusini.

Anachokifanya sasa Injinia Hersi Said na GSM yake Watoto wa Mjini akina GENTAMYCINE tunakiita ' anawapiga Ganzi ' kwani anajua kuwa Mmeshaukosa Ubingwa ambao aliwaahidi huku akiapia kuwa msipouchukua Mumuulize Yeye hivyo sasa ' anawazuga ' kwa Kusajili Wachezaji wanaosifika ili msahau ' Kumuhoji ' na ' Kumshambulia ' katika Mkutano wenu Mkuu ujao na aendelee kuwepo sana tu Yanga SC huku Yeye na GSM yake ' Wakijitajirisha ' na Timu yenu ikizidi tu ' Kutaabika ' Kimapato ( Kiuchumi )

Ndiyo maana Yanga SC mnaambiwa hamna Akili kwani ni Watu tu wa Kudanganywa kama Watoto Wadogo halafu ni wepesi mno Kuridhika na Kusahau. Najivunia sana kuwa Shabiki wa Simba SC kwani ni Timu ya Watu Werevu, Wasomi, Makini na Wastaarabu tupu.
Ila tuache utani Djuma Shaban angesajiliwa Simba SC, ingekuwa moto zaidi ya ilivyo sasa. Ukiacha majeruhi jamaa anajua.
 
Ila tuache utani Djuma Shaban angesajiliwa Simba SC, ingekuwa moto ya ilivyo sasa. Ukiacha majeruhi jamaa anajua.
Halafu sasa hivi tumesahau kama Kapombe ni Injury prone. Ila kwa sababu amesajiliwa Simba basi ni sawa!
 
Mwaka jana tarehe kama hizi mlikuwa mnayaimba magalasa yenu tena mlikuwa mkienda airport kuyabeba sasa hivi mnajifanya kusahau kuwa sio nyie na media zenu zilizojaa takataka.
Simba hawasajili kwa mihemko bali wanasajili kutokana na mapungufu ya timu huku tukiangalia zile timu 12 zilizo juu yetu tufanyeje angalau tuwepo tano bora mwakani ndio maana umeona tupo kimya ila nini kinaendelea dalili utaziona tarehe 3 July.

Ni kweli usajili wa Niyonzima na Gadiel ulikuwa ni usajili wa mapungufu si ndio?

Hata Junior Lokosa usajili wake ulikuwa kutokana na mapungufu.

usisahau Chikwende pia, alisajiliwa kulingana na Mapungufu.

Na mwisho Peter Mudua pia alisajiliwa kulingana na mapungufu.
 
Yaani mnasajili jitu zeee halafu mnajisifia🤓🤓


Ni kweli aise Yanga wajinga sana. anamsajili mtu kama SHaban DJuma ambaye ni mzee kuliko Wawa/Onyango/Kagere. Yaani Yanga washamba sana.

Shomari Kapombe - anuary 28, 1992 (age 29 years)

Djuma Shabani - March 16, 1993 (age 28 years)
 
Kalinyo kimemkimbiza nini?
Anajielewa yule. Kaona Benchi linamuwekea sugu za matako akaamua asepe zake.

Sio kama wale wenzake wa upande wa pili Ajibu/Gadiel ambao wamecheza mechi 5 tu ndani ya miaka 2.
 
Wadanganye ( Wapuuzi ) wenzako Yanga SC kuhusu hili na najua wengi wao walivyo ' Oya Oya ' hapa watakuamini kweli kweli tu.

Simba SC ni Klabu inayoendeshwa Kitaalam ( Kisomi ) na pia ina Idara yake nzuri sana ya ' Kijasusi ' ambayo huwa inafanya Tathmini ya Kina kwa Mchezaji imtakaye.

Ni kweli Mchezaji huyu alikuwa katika ' Rada ' za Simba SC na Pesa kubwa tu ya Kumsajili ilishatengwa ila baada ya ' Ujasusi ' kwa Kitaalamu ( hasa wa Kidaktari ) Simba SC iliyoufanya kwa Kushirikiana na ' Waandamizi ' wa Klabu yake huyu Mchezaji imegundulika kuwa ni hayuko 100% vyema Kiafya ( Proin Injury ) na kwamba atakuja Kuigharimu Timu ( Simba SC ) kwa Kumtibu zaidi na Kuingia Hasara vile vile.

Najua kuwa Kiungo wenu Tonombe Mukoko ndiyo amefanikisha hasa kwa Kumshawishi huyu Mchezaji atue Yanga SC ila Yanga SC mnadhani kuwa mmelamba Dume kwa Kuwazidi Simba SC huku mkisahau kuwa huyo Mchezaji hayuko ' that Fit ' kwa Kucheza Mpira mara kwa mara.

Kuhusu Pesa uliyoitaja hapa ni Uwongo mtupu ( tena wa 100% ) kwani Ukweli ni kwamba Yanga SC mmetanguliza Tsh Milioni 350 tu na zingine Tsh Milioni 150 zake mtakuja Kummalizia huku Tanzania baada ya Kuuza uza Magodoro yenu yanayoumiza Migongo.

Namalizia kwa Kuwaambia Yanga SC kuwa Simba SC haisajili bali ' inajazilia ' na kuna ' Bunduki ' Tatu tu za Kigeni zinakuja nafasi ya Beki wa Kati ili acheze Pacha na Onyango huku Wawa akiwa sasa anasaidiana na Kapombe Shavu la Kulia na ' Duchu ' akiendelea Kuchota Uzoefu Kwao.

Pia kuna ' attacking Midfielder ' mmoja kutoka Misri au Congo DR anakuja na tunamalizia na Mshambuliaji ' Talisman ' kabisa kutoka Morocco au Tunisia au Uganda au Afrika Kusini.

Anachokifanya sasa Injinia Hersi Said na GSM yake Watoto wa Mjini akina GENTAMYCINE tunakiita ' anawapiga Ganzi ' kwani anajua kuwa Mmeshaukosa Ubingwa ambao aliwaahidi huku akiapia kuwa msipouchukua Mumuulize Yeye hivyo sasa ' anawazuga ' kwa Kusajili Wachezaji wanaosifika ili msahau ' Kumuhoji ' na ' Kumshambulia ' katika Mkutano wenu Mkuu ujao na aendelee kuwepo sana tu Yanga SC huku Yeye na GSM yake ' Wakijitajirisha ' na Timu yenu ikizidi tu ' Kutaabika ' Kimapato ( Kiuchumi )

Ndiyo maana Yanga SC mnaambiwa hamna Akili kwani ni Watu tu wa Kudanganywa kama Watoto Wadogo halafu ni wepesi mno Kuridhika na Kusahau. Najivunia sana kuwa Shabiki wa Simba SC kwani ni Timu ya Watu Werevu, Wasomi, Makini na Wastaarabu tupu.
Duh poa tusubiri
 
so kamati ya wabebaji kutoka yanga isha jiandaa kumpokea au round hii wanakuja kwa staili nyingine ya kumbuluza baada ya kuona wale walio wabeba jujuu mwanzo hawajaleta impact?

Ni style ile ile aliyopokelewa Mbuyu Twite.
 
Hawa waliopo wanashindia mihogo halafu mtoe bilioni moja na ushee kusajili mchezaji mmoja? hii ni akili, matope au mataputapu.

Ni vigumu kuamini aisee! lakini ndio hivyo aisee.

Hii Yanga haina pesa kabisa lakini wametoa bilioni 1 kusajili beki. HAIJAWAHI KUTOKEA.
 
Simba ingemtafuta dogo anaitwa Yakhouba Gnagna Barry (23) kabla hajawa overpriced, yupo Horoya FC na Guinea National team.

Dogo yupo vizuri na future yake iko very promising.
 
kapombe yupogo Simba shida ni kwa uzee wake hadi aje kuzoea style yenu ya butuabutua mtashangaa

Djuma atakiwi kuzoea ushaona mchezaji anatoka Linafoot anakuja Bongo kuzoea zoea.

Au umesha wasahau wakina Mukoko teacher, na speed master Kisinda.
 
Ni kweli usajili wa Niyonzima na Gadiel ulikuwa ni usajili wa mapungufu si ndio?

Hata Junior Lokosa usajili wake ulikuwa kutokana na mapungufu.

usisahau Chikwende pia, alisajiliwa kulingana na Mapungufu.

Na mwisho Peter Mudua pia alisajiliwa kulingana na mapungufu.
pamoja na mapungufu tumefika robo fainali lakini nyie mmeishia kukimbia mechi hivi hauoni tofauti?
 
Mtuambie tuje tumpokee lini hapo Airpot.
Nadhani siku hiyo mtakuwa naratiba ya kumpokea Edward Manyama pale stand ya Ubungo, Ko Wanajangwani watakuwa shughuli kubwa kidogo pale Airport.
 
Hawa waliopo wanashindia mihogo halafu mtoe bilioni moja na ushee kusajili mchezaji mmoja? hii ni akili, matope au mataputapu.

Unatamani kusema Yanga "hawana pesa" ila umepigwa na butwaa kuona wamesajili kwa bilioni 1. Hahahaha
 
Kisinda anakimbia hadi anaacha mpira, mshaurini ajiunge na Riadha sio mpira😂😂😂😂😂

Onyango akikusikia unasema hivyo atakupiga makofi.
manyara.jpg
 
Unamuamin HAJI usichokijua n sawa na usiku wa giza mkuu

ngoja nikupe hii

Manara anatangaza bidhaa za gsm na GSM wanajua wakimtumia haji kutudanganya wanayanga juu ya Bei ya (MADUSA) MASUDI wanayanga tutaamin na kuona kwel jamaa wanania kwasababu wanatoa mpunga mnene kwa m hezaji Kama huyo

Huyu kanunuliwa kwa mil 350 /= mkuu labda na bonas zake inaweza fika 450 ml

GSM SIYO MAFALA ILA SISI MASHABIKI NDIO......

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom