demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
- Thread starter
- #81
Hiyo si pesa nyingi kwa sasa. Pengine mchezaji kama yeye hapo baadaye atakua kununuliwa kwa takribani pesa zaidi ya hiyo.Pesa nyingi sana hiyo kwa mchezaji mmoja tu kwa timu zetu hizi, ingeweza kutumika hata kuboresha miundombinu ya klabu...
2002 Ronaldo De Lima alikuwa na thamani ya $46.3 million, Mwaka 2019 Nicolaus Pepe (Arsenal) alikuwa na thamani ya €79 million.
Kila zama na zama zake!