Rasmi: Yanga SC yaishinda Mabavu ya Kifedha Simba SC kwenye usajili wa Masoud Djuma

Rasmi: Yanga SC yaishinda Mabavu ya Kifedha Simba SC kwenye usajili wa Masoud Djuma

Wadanganye ( Wapuuzi ) wenzako Yanga SC kuhusu hili na najua wengi wao walivyo ' Oya Oya ' hapa watakuamini kweli kweli tu.

Simba SC ni Klabu inayoendeshwa Kitaalam ( Kisomi ) na pia ina Idara yake nzuri sana ya ' Kijasusi ' ambayo huwa inafanya Tathmini ya Kina kwa Mchezaji imtakaye.

Ni kweli Mchezaji huyu alikuwa katika ' Rada ' za Simba SC na Pesa kubwa tu ya Kumsajili ilishatengwa ila baada ya ' Ujasusi ' kwa Kitaalamu ( hasa wa Kidaktari ) Simba SC iliyoufanya kwa Kushirikiana na ' Waandamizi ' wa Klabu yake huyu Mchezaji imegundulika kuwa ni hayuko 100% vyema Kiafya ( Proin Injury ) na kwamba atakuja Kuigharimu Timu ( Simba SC ) kwa Kumtibu zaidi na Kuingia Hasara vile vile.

Najua kuwa Kiungo wenu Tonombe Mukoko ndiyo amefanikisha hasa kwa Kumshawishi huyu Mchezaji atue Yanga SC ila Yanga SC mnadhani kuwa mmelamba Dume kwa Kuwazidi Simba SC huku mkisahau kuwa huyo Mchezaji hayuko ' that Fit ' kwa Kucheza Mpira mara kwa mara.

Kuhusu Pesa uliyoitaja hapa ni Uwongo mtupu ( tena wa 100% ) kwani Ukweli ni kwamba Yanga SC mmetanguliza Tsh Milioni 350 tu na zingine Tsh Milioni 150 zake mtakuja Kummalizia huku Tanzania baada ya Kuuza uza Magodoro yenu yanayoumiza Migongo.

Namalizia kwa Kuwaambia Yanga SC kuwa Simba SC haisajili bali ' inajazilia ' na kuna ' Bunduki ' Tatu tu za Kigeni zinakuja nafasi ya Beki wa Kati ili acheze Pacha na Onyango huku Wawa akiwa sasa anasaidiana na Kapombe Shavu la Kulia na ' Duchu ' akiendelea Kuchota Uzoefu Kwao.

Pia kuna ' attacking Midfielder ' mmoja kutoka Misri au Congo DR anakuja na tunamalizia na Mshambuliaji ' Talisman ' kabisa kutoka Morocco au Tunisia au Uganda au Afrika Kusini.

Anachokifanya sasa Injinia Hersi Said na GSM yake Watoto wa Mjini akina GENTAMYCINE tunakiita ' anawapiga Ganzi ' kwani anajua kuwa Mmeshaukosa Ubingwa ambao aliwaahidi huku akiapia kuwa msipouchukua Mumuulize Yeye hivyo sasa ' anawazuga ' kwa Kusajili Wachezaji wanaosifika ili msahau ' Kumuhoji ' na ' Kumshambulia ' katika Mkutano wenu Mkuu ujao na aendelee kuwepo sana tu Yanga SC huku Yeye na GSM yake ' Wakijitajirisha ' na Timu yenu ikizidi tu ' Kutaabika ' Kimapato ( Kiuchumi )

Ndiyo maana Yanga SC mnaambiwa hamna Akili kwani ni Watu tu wa Kudanganywa kama Watoto Wadogo halafu ni wepesi mno Kuridhika na Kusahau. Najivunia sana kuwa Shabiki wa Simba SC kwani ni Timu ya Watu Werevu, Wasomi, Makini na Wastaarabu tupu.
Ulianza vizuri ila baadaye ukaaribu baada ya kuleta tambo nyingi za kijinga.
 
Anajielewa yule. Kaona Benchi linamuwekea sugu za matako akaamua asepe zake.

Sio kama wale wenzake wa upande wa pili Ajibu/Gadiel ambao wamecheza mechi 5 tu ndani ya miaka 2.
Makapu amecheza ngapi??
 
Ndo kusema kwamba Simba Ina Ujasusi wa Kitaalamu kuwasinda Mamelodi Sundown, Al ahly na TP Mazembe.

Ndo kusema kwamba Mamelodi Sundown, Al ahly na TP Mazembe hawajui kuwa Masoud Djuma ni Injury prone.

Ndio kusema kwamba kufika robo fainali sasa Mikia FC iko vizuri kwenye recruitment department kuwashinda hao waliokuwa wakimuhitaji.?


Msome Boss wenu huyo wa waongeaji wote Tanzania nzima.

View attachment 1814018
Yeye ni Haji Manara Msemaji wa Simba Sports Club na Mimi ni GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ambaye ni " Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer " wa si tu JamiiForums hapa bali Tanzania nzima mpaka Mbinguni Kwake Mungu Baba ( Allah )
 
Unamuamin HAJI usichokijua n sawa na usiku wa giza mkuu

ngoja nikupe hii

Manara anatangaza bidhaa za gsm na GSM wanajua wakimtumia haji kutudanganya wanayanga juu ya Bei ya (MADUSA) MASUDI wanayanga tutaamin na kuona kwel jamaa wanania kwasababu wanatoa mpunga mnene kwa m hezaji Kama huyo

Huyu kanunuliwa kwa mil 350 /= mkuu labda na bonas zake inaweza fika 450 ml

GSM SIYO MAFALA ILA SISI MASHABIKI NDIO......

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wewe Sasa nimekuelewa vizur sana ,manara hadi kuandika vile hata mm nilihisi kitu kuwa huyu katumika kusafisha upepo ,na jambo zuri wana yanga walio wengi ni vipofu sana hawajui ukaribu wa manara na gsm upoje .

Gsm atoe 1b kwa mchezaj mmoja kwa yanga hii ,acheni vituko bwana[emoji23][emoji23] ila kupitia hili la Djuma nimeamin kweli kuwa Kuna watoto wa mjini haswa smart upstairs
 
Wadanganye ( Wapuuzi ) wenzako Yanga SC kuhusu hili na najua wengi wao walivyo ' Oya Oya ' hapa watakuamini kweli kweli tu.

Simba SC ni Klabu inayoendeshwa Kitaalam ( Kisomi ) na pia ina Idara yake nzuri sana ya ' Kijasusi ' ambayo huwa inafanya Tathmini ya Kina kwa Mchezaji imtakaye.

Ni kweli Mchezaji huyu alikuwa katika ' Rada ' za Simba SC na Pesa kubwa tu ya Kumsajili ilishatengwa ila baada ya ' Ujasusi ' kwa Kitaalamu ( hasa wa Kidaktari ) Simba SC iliyoufanya kwa Kushirikiana na ' Waandamizi ' wa Klabu yake huyu Mchezaji imegundulika kuwa ni hayuko 100% vyema Kiafya ( Proin Injury ) na kwamba atakuja Kuigharimu Timu ( Simba SC ) kwa Kumtibu zaidi na Kuingia Hasara vile vile.

Najua kuwa Kiungo wenu Tonombe Mukoko ndiyo amefanikisha hasa kwa Kumshawishi huyu Mchezaji atue Yanga SC ila Yanga SC mnadhani kuwa mmelamba Dume kwa Kuwazidi Simba SC huku mkisahau kuwa huyo Mchezaji hayuko ' that Fit ' kwa Kucheza Mpira mara kwa mara.

Kuhusu Pesa uliyoitaja hapa ni Uwongo mtupu ( tena wa 100% ) kwani Ukweli ni kwamba Yanga SC mmetanguliza Tsh Milioni 350 tu na zingine Tsh Milioni 150 zake mtakuja Kummalizia huku Tanzania baada ya Kuuza uza Magodoro yenu yanayoumiza Migongo.

Namalizia kwa Kuwaambia Yanga SC kuwa Simba SC haisajili bali ' inajazilia ' na kuna ' Bunduki ' Tatu tu za Kigeni zinakuja nafasi ya Beki wa Kati ili acheze Pacha na Onyango huku Wawa akiwa sasa anasaidiana na Kapombe Shavu la Kulia na ' Duchu ' akiendelea Kuchota Uzoefu Kwao.

Pia kuna ' attacking Midfielder ' mmoja kutoka Misri au Congo DR anakuja na tunamalizia na Mshambuliaji ' Talisman ' kabisa kutoka Morocco au Tunisia au Uganda au Afrika Kusini.

Anachokifanya sasa Injinia Hersi Said na GSM yake Watoto wa Mjini akina GENTAMYCINE tunakiita ' anawapiga Ganzi ' kwani anajua kuwa Mmeshaukosa Ubingwa ambao aliwaahidi huku akiapia kuwa msipouchukua Mumuulize Yeye hivyo sasa ' anawazuga ' kwa Kusajili Wachezaji wanaosifika ili msahau ' Kumuhoji ' na ' Kumshambulia ' katika Mkutano wenu Mkuu ujao na aendelee kuwepo sana tu Yanga SC huku Yeye na GSM yake ' Wakijitajirisha ' na Timu yenu ikizidi tu ' Kutaabika ' Kimapato ( Kiuchumi )

Ndiyo maana Yanga SC mnaambiwa hamna Akili kwani ni Watu tu wa Kudanganywa kama Watoto Wadogo halafu ni wepesi mno Kuridhika na Kusahau. Najivunia sana kuwa Shabiki wa Simba SC kwani ni Timu ya Watu Werevu, Wasomi, Makini na Wastaarabu tupu.
Mzukulu anaumiaaa [emoji3][emoji3]
 
Hapa Watani zangu Yanga wamefanya usajili wa maana
Haijalishi Djuma yuko Yanga kwa mkopo au free agent.

Nijuavyo Simba na Yanga hatuna jeuri ya kuvunja mikataba.

Ndio maana hata Dube tushamkosa
Ukweli mchungu ila ndo ivo

Ngoja tuendelee kuona
Free agent zikichukua nafasi
 
Bora wafanye usajili mzuri wasiwe wanakimbia uwanjani kwa kisingizio Cha kanuni.

Natumai tarehe 3, watakuwepo kupokea tano zao
 
Wadanganye ( Wapuuzi ) wenzako Yanga SC kuhusu hili na najua wengi wao walivyo ' Oya Oya ' hapa watakuamini kweli kweli tu.

Simba SC ni Klabu inayoendeshwa Kitaalam ( Kisomi ) na pia ina Idara yake nzuri sana ya ' Kijasusi ' ambayo huwa inafanya Tathmini ya Kina kwa Mchezaji imtakaye.

Ni kweli Mchezaji huyu alikuwa katika ' Rada ' za Simba SC na Pesa kubwa tu ya Kumsajili ilishatengwa ila baada ya ' Ujasusi ' kwa Kitaalamu ( hasa wa Kidaktari ) Simba SC iliyoufanya kwa Kushirikiana na ' Waandamizi ' wa Klabu yake huyu Mchezaji imegundulika kuwa ni hayuko 100% vyema Kiafya ( Proin Injury ) na kwamba atakuja Kuigharimu Timu ( Simba SC ) kwa Kumtibu zaidi na Kuingia Hasara vile vile.

Najua kuwa Kiungo wenu Tonombe Mukoko ndiyo amefanikisha hasa kwa Kumshawishi huyu Mchezaji atue Yanga SC ila Yanga SC mnadhani kuwa mmelamba Dume kwa Kuwazidi Simba SC huku mkisahau kuwa huyo Mchezaji hayuko ' that Fit ' kwa Kucheza Mpira mara kwa mara.

Kuhusu Pesa uliyoitaja hapa ni Uwongo mtupu ( tena wa 100% ) kwani Ukweli ni kwamba Yanga SC mmetanguliza Tsh Milioni 350 tu na zingine Tsh Milioni 150 zake mtakuja Kummalizia huku Tanzania baada ya Kuuza uza Magodoro yenu yanayoumiza Migongo.

Namalizia kwa Kuwaambia Yanga SC kuwa Simba SC haisajili bali ' inajazilia ' na kuna ' Bunduki ' Tatu tu za Kigeni zinakuja nafasi ya Beki wa Kati ili acheze Pacha na Onyango huku Wawa akiwa sasa anasaidiana na Kapombe Shavu la Kulia na ' Duchu ' akiendelea Kuchota Uzoefu Kwao.

Pia kuna ' attacking Midfielder ' mmoja kutoka Misri au Congo DR anakuja na tunamalizia na Mshambuliaji ' Talisman ' kabisa kutoka Morocco au Tunisia au Uganda au Afrika Kusini.

Anachokifanya sasa Injinia Hersi Said na GSM yake Watoto wa Mjini akina GENTAMYCINE tunakiita ' anawapiga Ganzi ' kwani anajua kuwa Mmeshaukosa Ubingwa ambao aliwaahidi huku akiapia kuwa msipouchukua Mumuulize Yeye hivyo sasa ' anawazuga ' kwa Kusajili Wachezaji wanaosifika ili msahau ' Kumuhoji ' na ' Kumshambulia ' katika Mkutano wenu Mkuu ujao na aendelee kuwepo sana tu Yanga SC huku Yeye na GSM yake ' Wakijitajirisha ' na Timu yenu ikizidi tu ' Kutaabika ' Kimapato ( Kiuchumi )

Ndiyo maana Yanga SC mnaambiwa hamna Akili kwani ni Watu tu wa Kudanganywa kama Watoto Wadogo halafu ni wepesi mno Kuridhika na Kusahau. Najivunia sana kuwa Shabiki wa Simba SC kwani ni Timu ya Watu Werevu, Wasomi, Makini na Wastaarabu tupu.
Hapa unajidanganya mwenyewe au unapunguza hasira tu,djuma hana historia ya injury na ndio maana hata ile injury aliyoipata juzi juzi haijamchukua muda kurudi uwanjani,wiki 3 akarudi uwanjani,kapombe injury kama ile angekaa miezi hata 6,nakujulisha tu pesa aliyonunuliwa ni 46% ya mkataba wenu wa jezi na invisible kassim dewji(vunja bei),hiyo pesa gharib anarudisha kwenye mauzo ya jezi ndani ya wiki 1 tu,simba mlimtaka sana huyu mchezaji but kwa congo kariba ya mchezaji kama yule huwezi kumpata mln 150 au mln 200,kituo kinachofuata egypty then south africa
 
Ni kweli aise Yanga wajinga sana. anamsajili mtu kama SHaban DJuma ambaye ni mzee kuliko Wawa/Onyango/Kagere. Yaani Yanga washamba sana.

Shomari Kapombe - anuary 28, 1992 (age 29 years)

Djuma Shabani - March 16, 1993 (age 28 years)
Hao ndio mikia,wanakuambia manyama bado mdogo,manyama kacheza Yanga akiwa under 19 miaka 7 iliyopita huko,mikia leo hii wanakuambia bado kinda yule!
 
Kipindi cha usajili ni kipindi ambacho mashabiki mazwazwa wa utopolo ndio wanakuwa na furaha kuliko hata mechi ligi kuu zikichezwa
 
Anajielewa yule. Kaona Benchi linamuwekea sugu za matako akaamua asepe zake.

Sio kama wale wenzake wa upande wa pili Ajibu/Gadiel ambao wamecheza mechi 5 tu ndani ya miaka 2.
Kakimbia njaa kama hujui.
 
Hapa unajidanganya mwenyewe au unapunguza hasira tu,djuma hana historia ya injury na ndio maana hata ile injury aliyoipata juzi juzi haijamchukua muda kurudi uwanjani,wiki 3 akarudi uwanjani,kapombe injury kama ile angekaa miezi hata 6,nakujulisha tu pesa aliyonunuliwa ni 46% ya mkataba wenu wa jezi na invisible kassim dewji(vunja bei),hiyo pesa gharib anarudisha kwenye mauzo ya jezi ndani ya wiki 1 tu,simba mlimtaka sana huyu mchezaji but kwa congo kariba ya mchezaji kama yule huwezi kumpata mln 150 au mln 200,kituo kinachofuata egypty then south africa
Mkuu hebu fikirisha Akili basi ata kidogo na uweke mambo ya usimba na uyanga pembeni tuongee uhalisia, kiuhalisia hakuna mchezaji atahusishwa na Simba bila kutajwa yanga na hakuna mchezaji atahusishwa na Yanga bila kutajwa Simba iwe ndani Hadi nje

Tuje kwenye uhalisia wenyewe, juma ni mchezaji mzuri Sana lakini pia Simba ina mchezaji mzuri pia nafasi yake, kwahiyo kumnunua ni kwenda kutengeneza mazingira ya kumweka bench mchezaji mmoja mzuri Kati ya Kapombe au juma mwenyewe

kwahiyo Simba ilikuwa inahusishwa Tu kama kawaida ya tetesi za bongo na ata wakala wake amesema Simba haikutuma offer yoyote Kwa juma Ila Azam walituma wakaikataa, All in all hongereni mmepata mchezaji mzuri sio kama vile vitoto vyenu vikina shomari mlivokuwa mnavisifia ilhali kiukweli hamna kitu
 
Pesa nyingi sana hiyo kwa mchezaji mmoja tu kwa timu zetu hizi, ingeweza kutumika hata kuboresha miundombinu ya klabu...

Hivi ni kweli ukisaka kwenye ligi nyingine/mtaani/vijijini hakuna mtu mwenye uwezo kama au zaidi ya huyo Djuma?
 
Unamuamin HAJI usichokijua n sawa na usiku wa giza mkuu

ngoja nikupe hii

Manara anatangaza bidhaa za gsm na GSM wanajua wakimtumia haji kutudanganya wanayanga juu ya Bei ya (MADUSA) MASUDI wanayanga tutaamin na kuona kwel jamaa wanania kwasababu wanatoa mpunga mnene kwa m hezaji Kama huyo

Huyu kanunuliwa kwa mil 350 /= mkuu labda na bonas zake inaweza fika 450 ml

GSM SIYO MAFALA ILA SISI MASHABIKI NDIO......

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sawa nimekuelewa.

Asante kwa kunijulisha kuwa wewe ndio "FALA".
 
Mkuu hebu fikirisha Akili basi ata kidogo na uweke mambo ya usimba na uyanga pembeni tuongee uhalisia, kiuhalisia hakuna mchezaji atahusishwa na Simba bila kutajwa yanga na hakuna mchezaji atahusishwa na Yanga bila kutajwa Simba iwe ndani Hadi nje

Tuje kwenye uhalisia wenyewe, juma ni mchezaji mzuri Sana lakini pia Simba ina mchezaji mzuri pia nafasi yake, kwahiyo kumnunua ni kwenda kutengeneza mazingira ya kumweka bench mchezaji mmoja mzuri Kati ya Kapombe au juma mwenyewe

kwahiyo Simba ilikuwa inahusishwa Tu kama kawaida ya tetesi za bongo na ata wakala wake amesema Simba haikutuma offer yoyote Kwa juma Ila Azam walituma wakaikataa, All in all hongereni mmepata mchezaji mzuri sio kama vile vitoto vyenu vikina shomari mlivokuwa mnavisifia ilhali kiukweli hamna kitu
Sportman right there!
 
.

Hivi ni kweli ukisaka kwenye ligi nyingine/mtaani/vijijini hakuna mtu mwenye uwezo kama au zaidi ya huyo Djuma?
Nadhani mpaka wameona kuwa asajiliwe kwa pesa mingi kiasi kile basi ni lazima wamesha utilize options zote zilizopo.

Huwezi kuamka asubuhi mkasema sasa ngoja tuenda mitaani na vijijini tukatafute msaidizi wa Kibwana kwa ajili ya msimu ujao na mkampata.

Bila shaka itakuwa kichekesho pia.

Kuna aina ya mchezaji huwezi mpata hata huko Kijijini au mtaani.
 
Back
Top Bottom