3ZOV
JF-Expert Member
- Dec 28, 2020
- 6,259
- 7,015
Bado naendelea kuwa na wasi wasi na ufahamu wako wa mpira wa bongo
Dar es salaam Young Africans = 27 tittles
Simba SC = 21 tittles
Na pia nina wasi wasi kama utaweza kuelewa nilichokiandika hapa.
Sina mashaka na chama langu simba
Nyie pambanen na historia sisi tuko tunavunja rekodi kila uchwao [emoji1787][emoji1787]
13 ranki za Caf
Nyie manyumb fc mko nafasi ya ngapi?