Rasmi: Yanga SC yaishinda Mabavu ya Kifedha Simba SC kwenye usajili wa Masoud Djuma

Rasmi: Yanga SC yaishinda Mabavu ya Kifedha Simba SC kwenye usajili wa Masoud Djuma

Bado naendelea kuwa na wasi wasi na ufahamu wako wa mpira wa bongo

Dar es salaam Young Africans = 27 tittles

Simba SC = 21 tittles

Na pia nina wasi wasi kama utaweza kuelewa nilichokiandika hapa.

Sina mashaka na chama langu simba
Nyie pambanen na historia sisi tuko tunavunja rekodi kila uchwao [emoji1787][emoji1787]
13 ranki za Caf
Nyie manyumb fc mko nafasi ya ngapi?
 
Kwani Amis Tambwe na Carlos Guimares Carlinho wate walipokelewa kwa maandamano ya kinyumbu nyumbu na kitembo tembo na kiboko boko si wameondoka..?

Kunywa maji sasa utulie [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yanga fanyeni yote ,mwisho wa siku sisi tunataka mfike makundi ligi ya mabingwa


Hadhi ya Klabu kama Yanga SC ina vipimo tofauti sana vya kupima mafanikio.

Kuna timu zingine mafanikio yao yanapimwa kwa kufika hatua ya kufika nusu fainali au robo fainali.

Kuna baadhi ya timu hazizingatii hayo kama ni sehemu ya mafanikio. Kwao mafanikio ni mpaka pale watwae taji. Haijalishi itachukua miaka mingapi.
 
Kunywa maji sasa utulie [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Unakunywaje Maji mchana huu, badala ya kupata msosi safi! 😂 😂

190794532_901033210460304_6224561037173566555_n.jpg
 
Sina mashaka na chama langu simba
Nyie pambanen na historia sisi tuko tunavunja rekodi kila uchwao [emoji1787][emoji1787]
13 ranki za Caf
Nyie manyumb fc mko nafasi ya ngapi?
Hiyo ndio tofauti yenu na sisi!

Yaani kelele zote zile z akumfunga AS Vita hii leo mnashangilia kushika nafasi ya 13?

Yaani nafasi ya 13 ndio imekua mafanikio yenu baada ya uwekezaji wa Billion 20..?

Mungu aniepushie akili hizi.
 
Hiyo ndio tofauti yenu na sisi!

Yaani kelele zote zile z akumfunga AS Vita hii leo mnashangilia kushika nafasi ya 13?

Yaani nafasi ya 13 ndio imekua mafanikio yenu baada ya uwekezaji wa Billion 20..?

Mungu aniepushie akili hizi.

Nafasi ya 13 ni moja ya mafanikio yetu pamoja na kufika robo fainali ambayo imesaidia ongezeko la ushiriki kkwa timu nne kwenye mashindano ya Caf
kwani nyie utopolo fc aka nyumbu fc mko nafasi ya ngapi?
 
Tangu asajiliwe na simba amebeba ndoo ngapi?

Kwa hiyo asa hivi atuzungumzii Majeruhi ya Kapombe aliyokuwa akiyapata huko kwingine, tuna zungumzia Mataji yake si ndio?

Sasa vivyo hivyo tuanze kuzungumzia idadi ya mataji ambayo Djuma atabeba kwa muda wa miaka 4 na tuache kuzungumzia majeruhi aliyokua nayo kule Congo.
 
Kwa hiyo asa hivi atuzungumzii Majeruhi ya Kapombe aliyokuwa akiyapata huko kwingine, tuna zungumzia Mataji yake si ndio?

Sasa vivyo hivyo tuanze kuzungumzia idadi ya mataji ambayo Djuma atabeba kwa muda wa miaka 4 na tuache kuzungumzia majeruhi aliyokua nayo kule Congo.

Hayo ni yako
Nimekuliza kapombe tangu asajiliwe na simba akitokea azam ana mataji mangapi na majeruhi yake?
 
Hayo ni yako
Nimekuliza kapombe tangu asajiliwe na simba akitokea azam ana mataji mangapi na majeruhi yake?
Kumbe na nyinyi mlisajili Kapombe akiwa injury prone. Ila cha kushangaza hamtaki Yanga SC asajili injury prone si ndio?
 
Masoud Djuma (umri 28) akamilisha usajili wake ndani ya Yanga SC kwa dau la USD500,000 (Bilioni 1 & Milioni 150) Yanga imefanikiwa kuwashinda wapinzani wao Simba SC Tanzania baada ya offer yao ya USD 399,000 (Milioni 850) kutupiwa kapuni.

Simba SC Tanzania ilimuhitaji Djuma kama mchezaji pacha wa Shomari Kapombe (Umri 29) ambaye umri wake unaelekea ukingoni.

Sasa Yanga imekamilisha usajili wa klanza kabla hata dirisha la usajili halijafunguliwa. Djuma atasafiri kuelekea Dar pale msimu wa LigiKUuu nchini ongo yaani Linafoot itakapofikia tamati.

Je mabavu ya kifedha yaliyo onyeshwa na Yanga SC kwenye mbio za kumsajili Masoud Djuma dhidi ya mahasimu wao ni kiashirio tosha kuwa Yusuph Manji ameanza kutunisha misuli yake?

View attachment 1813956
Vita na yanga ni ndugu,never simba haitaweza kupata mcezaji kutoka vita
 
Vita na yanga ni ndugu,never simba haitaweza kupata mcezaji kutoka vita
Tshishimbi anataka kurudi Bongo. Mkude anaugua Ukichaa, Manara next week atarudi Congo kukamilisha dili la Tshishimbi. Mkude kuna uwezekano akaelekea Azam FC,
 
Mkuu hebu fikirisha Akili basi ata kidogo na uweke mambo ya usimba na uyanga pembeni tuongee uhalisia, kiuhalisia hakuna mchezaji atahusishwa na Simba bila kutajwa yanga na hakuna mchezaji atahusishwa na Yanga bila kutajwa Simba iwe ndani Hadi nje

Tuje kwenye uhalisia wenyewe, juma ni mchezaji mzuri Sana lakini pia Simba ina mchezaji mzuri pia nafasi yake, kwahiyo kumnunua ni kwenda kutengeneza mazingira ya kumweka bench mchezaji mmoja mzuri Kati ya Kapombe au juma mwenyewe

kwahiyo Simba ilikuwa inahusishwa Tu kama kawaida ya tetesi za bongo na ata wakala wake amesema Simba haikutuma offer yoyote Kwa juma Ila Azam walituma wakaikataa, All in all hongereni mmepata mchezaji mzuri sio kama vile vitoto vyenu vikina shomari mlivokuwa mnavisifia ilhali kiukweli hamna kitu
Umeeleweka vema Juma na kapombe ni kumchanganya sana kocha
 
Masoud Djuma (umri 28) akamilisha usajili wake ndani ya Yanga SC kwa dau la USD500,000 (Bilioni 1 & Milioni 150) Yanga imefanikiwa kuwashinda wapinzani wao Simba SC Tanzania baada ya offer yao ya USD 399,000 (Milioni 850) kutupiwa kapuni.

Simba SC Tanzania ilimuhitaji Djuma kama mchezaji pacha wa Shomari Kapombe (Umri 29) ambaye umri wake unaelekea ukingoni.

Sasa Yanga imekamilisha usajili wa klanza kabla hata dirisha la usajili halijafunguliwa. Djuma atasafiri kuelekea Dar pale msimu wa LigiKUuu nchini ongo yaani Linafoot itakapofikia tamati.

Je mabavu ya kifedha yaliyo onyeshwa na Yanga SC kwenye mbio za kumsajili Masoud Djuma dhidi ya mahasimu wao ni kiashirio tosha kuwa Yusuph Manji ameanza kutunisha misuli yake?

View attachment 1813956
Ni Juma shabani mkuu
 
Masoud Djuma (umri 28) akamilisha usajili wake ndani ya Yanga SC kwa dau la USD500,000 (Bilioni 1 & Milioni 150) Yanga imefanikiwa kuwashinda wapinzani wao Simba SC Tanzania baada ya offer yao ya USD 399,000 (Milioni 850) kutupiwa kapuni.

Simba SC Tanzania ilimuhitaji Djuma kama mchezaji pacha wa Shomari Kapombe (Umri 29) ambaye umri wake unaelekea ukingoni.

Sasa Yanga imekamilisha usajili wa klanza kabla hata dirisha la usajili halijafunguliwa. Djuma atasafiri kuelekea Dar pale msimu wa LigiKUuu nchini ongo yaani Linafoot itakapofikia tamati.

Je mabavu ya kifedha yaliyo onyeshwa na Yanga SC kwenye mbio za kumsajili Masoud Djuma dhidi ya mahasimu wao ni kiashirio tosha kuwa Yusuph Manji ameanza kutunisha misuli yake?

View attachment 1813956
Maji ya jioni haya misimu yake miwili tu chali na ivi kashaanza kuwa na majeraha
 
Hapa unajidanganya mwenyewe au unapunguza hasira tu,djuma hana historia ya injury na ndio maana hata ile injury aliyoipata juzi juzi haijamchukua muda kurudi uwanjani,wiki 3 akarudi uwanjani,kapombe injury kama ile angekaa miezi hata 6,nakujulisha tu pesa aliyonunuliwa ni 46% ya mkataba wenu wa jezi na invisible kassim dewji(vunja bei),hiyo pesa gharib anarudisha kwenye mauzo ya jezi ndani ya wiki 1 tu,simba mlimtaka sana huyu mchezaji but kwa congo kariba ya mchezaji kama yule huwezi kumpata mln 150 au mln 200,kituo kinachofuata egypty then south africa
Simba hii hii iliyowanyang'anya Morrison ndio mnaizidi au Simba ipi?

Nyie fanyeni usajiri kwa Makini Ili TFF wapumue kwa Malalamiko yenu
 
Back
Top Bottom