Bado naendelea kuwa na wasi wasi na ufahamu wako wa mpira wa bongo
Dar es salaam Young Africans = 27 tittles
Simba SC = 21 tittles
Na pia nina wasi wasi kama utaweza kuelewa nilichokiandika hapa.
Kwani Amis Tambwe na Carlos Guimares Carlinho wate walipokelewa kwa maandamano ya kinyumbu nyumbu na kitembo tembo na kiboko boko si wameondoka..?
Yanga fanyeni yote ,mwisho wa siku sisi tunataka mfike makundi ligi ya mabingwa
Unakunywaje Maji mchana huu, badala ya kupata msosi safi! [emoji23] [emoji23]
View attachment 1815116
Hiyo ndio tofauti yenu na sisi!Sina mashaka na chama langu simba
Nyie pambanen na historia sisi tuko tunavunja rekodi kila uchwao [emoji1787][emoji1787]
13 ranki za Caf
Nyie manyumb fc mko nafasi ya ngapi?
Hiyo ndio tofauti yenu na sisi!
Yaani kelele zote zile z akumfunga AS Vita hii leo mnashangilia kushika nafasi ya 13?
Yaani nafasi ya 13 ndio imekua mafanikio yenu baada ya uwekezaji wa Billion 20..?
Mungu aniepushie akili hizi.
Ni lazime ule mlo kamili (balanced Diet) ili kuepuka UtapiaMlo na Upungufu wa akili kichwani.
Usipende kunywa maji wakati unao paswa kula chakula.
Tangu asajiliwe na simba amebeba ndoo ngapi?
Kwa hiyo asa hivi atuzungumzii Majeruhi ya Kapombe aliyokuwa akiyapata huko kwingine, tuna zungumzia Mataji yake si ndio?
Sasa vivyo hivyo tuanze kuzungumzia idadi ya mataji ambayo Djuma atabeba kwa muda wa miaka 4 na tuache kuzungumzia majeruhi aliyokua nayo kule Congo.
Vita na yanga ni ndugu,never simba haitaweza kupata mcezaji kutoka vitaMasoud Djuma (umri 28) akamilisha usajili wake ndani ya Yanga SC kwa dau la USD500,000 (Bilioni 1 & Milioni 150) Yanga imefanikiwa kuwashinda wapinzani wao Simba SC Tanzania baada ya offer yao ya USD 399,000 (Milioni 850) kutupiwa kapuni.
Simba SC Tanzania ilimuhitaji Djuma kama mchezaji pacha wa Shomari Kapombe (Umri 29) ambaye umri wake unaelekea ukingoni.
Sasa Yanga imekamilisha usajili wa klanza kabla hata dirisha la usajili halijafunguliwa. Djuma atasafiri kuelekea Dar pale msimu wa LigiKUuu nchini ongo yaani Linafoot itakapofikia tamati.
Je mabavu ya kifedha yaliyo onyeshwa na Yanga SC kwenye mbio za kumsajili Masoud Djuma dhidi ya mahasimu wao ni kiashirio tosha kuwa Yusuph Manji ameanza kutunisha misuli yake?
View attachment 1813956
Tshishimbi anataka kurudi Bongo. Mkude anaugua Ukichaa, Manara next week atarudi Congo kukamilisha dili la Tshishimbi. Mkude kuna uwezekano akaelekea Azam FC,Vita na yanga ni ndugu,never simba haitaweza kupata mcezaji kutoka vita
Umeeleweka vema Juma na kapombe ni kumchanganya sana kochaMkuu hebu fikirisha Akili basi ata kidogo na uweke mambo ya usimba na uyanga pembeni tuongee uhalisia, kiuhalisia hakuna mchezaji atahusishwa na Simba bila kutajwa yanga na hakuna mchezaji atahusishwa na Yanga bila kutajwa Simba iwe ndani Hadi nje
Tuje kwenye uhalisia wenyewe, juma ni mchezaji mzuri Sana lakini pia Simba ina mchezaji mzuri pia nafasi yake, kwahiyo kumnunua ni kwenda kutengeneza mazingira ya kumweka bench mchezaji mmoja mzuri Kati ya Kapombe au juma mwenyewe
kwahiyo Simba ilikuwa inahusishwa Tu kama kawaida ya tetesi za bongo na ata wakala wake amesema Simba haikutuma offer yoyote Kwa juma Ila Azam walituma wakaikataa, All in all hongereni mmepata mchezaji mzuri sio kama vile vitoto vyenu vikina shomari mlivokuwa mnavisifia ilhali kiukweli hamna kitu
Ni Juma shabani mkuuMasoud Djuma (umri 28) akamilisha usajili wake ndani ya Yanga SC kwa dau la USD500,000 (Bilioni 1 & Milioni 150) Yanga imefanikiwa kuwashinda wapinzani wao Simba SC Tanzania baada ya offer yao ya USD 399,000 (Milioni 850) kutupiwa kapuni.
Simba SC Tanzania ilimuhitaji Djuma kama mchezaji pacha wa Shomari Kapombe (Umri 29) ambaye umri wake unaelekea ukingoni.
Sasa Yanga imekamilisha usajili wa klanza kabla hata dirisha la usajili halijafunguliwa. Djuma atasafiri kuelekea Dar pale msimu wa LigiKUuu nchini ongo yaani Linafoot itakapofikia tamati.
Je mabavu ya kifedha yaliyo onyeshwa na Yanga SC kwenye mbio za kumsajili Masoud Djuma dhidi ya mahasimu wao ni kiashirio tosha kuwa Yusuph Manji ameanza kutunisha misuli yake?
View attachment 1813956
Maji ya jioni haya misimu yake miwili tu chali na ivi kashaanza kuwa na majerahaMasoud Djuma (umri 28) akamilisha usajili wake ndani ya Yanga SC kwa dau la USD500,000 (Bilioni 1 & Milioni 150) Yanga imefanikiwa kuwashinda wapinzani wao Simba SC Tanzania baada ya offer yao ya USD 399,000 (Milioni 850) kutupiwa kapuni.
Simba SC Tanzania ilimuhitaji Djuma kama mchezaji pacha wa Shomari Kapombe (Umri 29) ambaye umri wake unaelekea ukingoni.
Sasa Yanga imekamilisha usajili wa klanza kabla hata dirisha la usajili halijafunguliwa. Djuma atasafiri kuelekea Dar pale msimu wa LigiKUuu nchini ongo yaani Linafoot itakapofikia tamati.
Je mabavu ya kifedha yaliyo onyeshwa na Yanga SC kwenye mbio za kumsajili Masoud Djuma dhidi ya mahasimu wao ni kiashirio tosha kuwa Yusuph Manji ameanza kutunisha misuli yake?
View attachment 1813956
Simba hii hii iliyowanyang'anya Morrison ndio mnaizidi au Simba ipi?Hapa unajidanganya mwenyewe au unapunguza hasira tu,djuma hana historia ya injury na ndio maana hata ile injury aliyoipata juzi juzi haijamchukua muda kurudi uwanjani,wiki 3 akarudi uwanjani,kapombe injury kama ile angekaa miezi hata 6,nakujulisha tu pesa aliyonunuliwa ni 46% ya mkataba wenu wa jezi na invisible kassim dewji(vunja bei),hiyo pesa gharib anarudisha kwenye mauzo ya jezi ndani ya wiki 1 tu,simba mlimtaka sana huyu mchezaji but kwa congo kariba ya mchezaji kama yule huwezi kumpata mln 150 au mln 200,kituo kinachofuata egypty then south africa
Unaongelea mataji au Kupata nafasi ya kucheza?Je wajua kuwa Makapu ana mataji Mengi kuliko hao wenzake?
By the way, rudi nyuma kidogo ujue kwanini nimerespond na hiyo quote.