Rasmi: Yanga yampa mkono wa kwaheri Saidi Ntibazonkiza

Rasmi: Yanga yampa mkono wa kwaheri Saidi Ntibazonkiza

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
Baada ya kusimamishwa kuitumikia Yanga kwa muda kutokana na utovu wa nidhamu, rasmi klabu hiyo imetangaza kuachana na kiungo mshambuliaji Saidi Ntibazonkiza 'Saido' kutokana na mkataba wake kufikia tamati.

Yanga imesema kuwa Saido ambaye alisimamishwa wiki iliyopita baada ya kutoka kambini bila ruhusa, amemaliza mkataba wake leo Mei 30, 2022 baada ya miaka miwili ya utumishi wake klabuni hapo.

1653977528323.png
 
Duhh mpira hauna adabu...huyu jamaa ni bonge la play maker na ni game changer OG...

Dah...nilitamani sana kuona spirit yake champions league...

Miguu yake ina mambo mengi SANA hasa pasi ya mwisho...

Anyway pigo katika ligi yetu kumkosa mtu kama huyu...hakika wachezaji wetu vijana wana mengi kujifunza kupitia mpira wake ndani ya Yanga....

Uwezo wa kuliendea goli bila ya kusita ni mkubwa mno...

Hakika vilabu vya mpira mitihani hana sana...

Technical bench linajua zaidi.
[emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Unaambiwa Saido Ntibazonkinza ndo basi tena pale kwa wana Jangwani baada ya mkataba wake na
Dar Young Africans kufika tamati leo hii MAY 30 nini maoni kama mwana jangwani

KILA LA KHERI GOD FATHER SAIDO
 
Hii sio fair kabisa, sijui kwanini Yanga yangu ipo hivi, mchezaji kachangia mafanikio msimu huu afu kombe hili hapa anaachwa,
Imeshindikana kumuongeza miezi miwili?
 
Duhh mpira hauna adabu...huyu jamaa ni bonge la play maker na ni game changer OG...

Dah...nilitamani sana kuona spirit yake champions league...

Miguu yake ina mambo mengi SANA hasa pasi ya mwisho...

Anyway pigo katika ligi yetu kumkosa mtu kama huyu...hakika wachezaji wetu vijana wana mengi kujifunza kupitia mpira wake ndani ya Yanga....

Uwezo wa kuliendea goli bila ya kusita ni mkubwa mno...

Hakika vilabu vya mpira mitihani hana sana...

Technical bench linajua zaidi.
[emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
chief mimi ni simba ila huyu jamaa nifundi haswa, hata kwamfano azizi ki akija yanga hawezi kuoffer alichokuwa anakifanya saido sababu azizi ki ni typical no.10 ila saido anaweza cheza akitokea kushoto, kulia au katikati...saido nikimuangalia staili yauchezaji wake ananikubusha mtu kama iniesta au santi carzola....ila azizi ki nimtu wakustick eneo moja kama shinji kagawa namba zaidi eneo analocheza yeye ndio fei toto anacheza kazi ipo....hapo yanga bila kupepesa macho mmepoteza jembe!
 
Hii sio fair kabisa, sijui kwanini Yanga yangu ipo hivi, mchezaji kachangia mafanikio msimu huu afu kombe hili hapa anaachwa,
Imeshindikana kumuongeza miezi miwili?
inawezekana labda ye ndo kazingua
 
Yanga hawana longolongo barua imeeleza wazi kabisa hakuna cha mapumziko, hapo anatafutwa mchezaji mwingine mkali zaidi yake
 
Hii sio fair kabisa, sijui kwanini Yanga yangu ipo hivi, mchezaji kachangia mafanikio msimu huu afu kombe hili hapa anaachwa,
Imeshindikana kumuongeza miezi miwili?
Hana nidhamu uyo wacha aende tu
 
chief mimi ni simba ila huyu jamaa nifundi haswa, hata kwamfano azizi ki akija yanga hawezi kuoffer alichokuwa anakifanya saido sababu azizi ki ni typical no.10 ila saido anaweza cheza akitokea kushoto, kulia au katikati...saido nikimuangalia staili yauchezaji wake ananikubusha mtu kama iniesta au santi carzola....ila azizi ki nimtu wakustick eneo moja kama shinji kagawa namba zaidi eneo analocheza yeye ndio fei toto anacheza kazi ipo....hapo yanga bila kupepesa macho mmepoteza jembe!
Kati ya wachezaji tishio niliokuwa nawaogopa pale Yanga ni huyu jamaa. Jamaa alikuwa vzr kwakweli. Yote kwa yote mpira ndivyo ulivyo. Atapata timu nyingine ya kucheza .
 
Navyowajua yanga ishu itakuwa malipo tu,labda kuongeza mkataba kataka dau kali au anawadai
 
Kati ya wachezaji tishio niliokuwa nawaogopa pale Yanga ni huyu jamaa. Jamaa alikuwa vzr kwakweli. Yote kwa yote mpira ndivyo ulivyo. Atapata timu nyingine ya kucheza .
hasa kwenye kupiga fouls nje ya 18
 
Back
Top Bottom