Rasmi: Yanga yampa mkono wa kwaheri Saidi Ntibazonkiza

Rasmi: Yanga yampa mkono wa kwaheri Saidi Ntibazonkiza

Yanga hawana longolongo barua imeeleza wazi kabisa hakuna cha mapumziko, hapo anatafutwa mchezaji mwingine mkali zaidi yake
Unakosa weledi. Huyu barua inasema mkataba umeishae leo.So wameachana naye .

Morrison Ni mali ya Simba hadi mwisho wa msimu. Simba wangesema wamemfukuza,tafsiri yake kimkataba maana yake ni kwamba wamevunja mkataba. Haya mambo yanahitaji u-smartness siyo mhemko km ambavyo umekoment hapa.
 
Unakosa weledi. Huyu barua inasema mkataba umeishae leo.So wameachana naye .

Morrison Ni mali ya Simba hadi mwisho wa msimu. Simba wangesema wamemfukuza,tafsiri yake kimkataba maana yake ni kwamba wamevunja mkataba. Haya mambo yanahitaji u-smartness siyo mhemko km ambavyo umekoment hapa.
Ulishawahi sikia kitu kinaitwa "kuvunja mkataba kwa makubaliano baina ya pande mbili?
 
Back
Top Bottom