Rasmi: Yanga yampa mkono wa kwaheri Saidi Ntibazonkiza

Rasmi: Yanga yampa mkono wa kwaheri Saidi Ntibazonkiza

Hii sio fair kabisa, sijui kwanini Yanga yangu ipo hivi, mchezaji kachangia mafanikio msimu huu afu kombe hili hapa anaachwa,
Imeshindikana kumuongeza miezi miwili?
Mkataba wake umeisha leo.. aliambiwa akutwe Dar' Yeye yupo Kwao hapo nani wakulaumiwa?
 
Kila la heri kwake,japo amekuwa na mchango mkubwa msimu huu ila Nabi tangu mwanzo hajawahi kumkubali
 
Kila la heri huko aendako! Hakika ameifanyia mambo makubwa klabu yetu, ingawa kuna wakati majeruhi yalimuandama.

Kuondoka kwake, ndiyo kuingia kwa jembe lingine. Safisha safisha iendelee kwa wachezaji wote walioshindwa kuonesha maajabu msimu huu. Mashabiki tunataka usajili wa kishindo wa kujazia nafasi zilizoachwa wazi. Yaani ikiwezekana mchezaji anasajiliwa na kuingia moja kwa moja kwenye First 11 ya timu.

Halitakuwa jambo la busara hata kidogo na msimu huu kuishia hatua ya awali kwenye mashindano ya Kimataifa, kama ilivyotokea msimu huu unao elekea ukingoni.
 
Kati ya wachezaji tishio niliokuwa nawaogopa pale Yanga ni huyu jamaa. Jamaa alikuwa vzr kwakweli. Yote kwa yote mpira ndivyo ulivyo. Atapata timu nyingine ya kucheza .
Acha uongo wewe mpiga vichwa! Yaani usimuogope Mayele na Fei Toto! Umuogope Saidoo!!
 
Kila la heri huko aendako! Hakika ameifanyia mambo makubwa klabu yetu, ingawa kuna wakati majeruhi yalimuandama.

Kuondoka kwake, ndiyo kuingia kwa jembe lingine. Safisha safisha iendelee kwa wachezaji wote walioshindwa kuonesha maajabu msimu huu. Mashabiki tunataka usajili wa kishindo wa kujazia nafasi zilizoachwa wazi. Yaani ikiwezekana mchezaji anasajiliwa na kuingia moja kwa moja kwenye First 11 ya timu.

Halitakuwa jambo la busara hata kidogo na msimu huu kuishia hatua ya awali kwenye mashindano ya Kimataifa, kama ilivyotokea msimu huu unao elekea ukingoni.
Mkuu vipi kuhusu Chiko Ushindi,Mimi simuelewi kabisa
 
Ushindi,makambo,yacouba hawa wote watolewe kwa mkopo baadaye watakuja kusaidia timu wakiwa vzur
 
[emoji23][emoji23][emoji23]KWELI UCHAWI UPO ANAONDOKA GODFATHER WA BUJUMBURA ANABAKI CHIKO USHINDI
 
Hana adabu. Alivyomkosea heshima yule kocha wa zamani mzalendo wa Utopolo sita msamehe
 
Back
Top Bottom