Lazima wamlipe fidia zake, ila tulivyokua wahuni hatutalipa mpaka tufungiwe kusajili
Sawa Dada Salama Ngale Kidogo umejitahidi kujitetea ngoja nipeleke jina kwa injinia unafaa kuvaa viatu vya bwana kipara ila na wewe ukisoma huu ujumbe kimbia saloon ya karibu waambie wakupige kipara ili iwe rahisi kukidhi vigezo.Gamond kilichomfukuzisha ni kama Rhulan Mokwena tu... mwaka jana Gamond alimu expose sana kwenye mechi ya robo fainali na ilibidi mamelodi watolewe pale wakapita kwa ndondokela! Baada ya pale Mamelodi wakaanza kuchezesha mpira ule ule waliochezeshewa na Yanga ikawa ngumu kutoboa... sasa uzuri wenzetu wao hayo mambo yamewakuta mwisho wa msimu wakaona waachane na Rhulan! YANGA ilichokosea ni kuongeza mkataba na Gamond ilihali alishauza mbinu ya vita kwa adui! Watu wameenda break na homework za kumzuia Gamond tu! Ligi imeanza timu zimegeuka mabeki wanashambulia kwa counter! Kwahiyo hio kitu ilishaonekana tangu mwanzo sio kwamba Yanga imeshuka ila ni vile mbinu ya Gamond washaipatia jibu kwahiyo kuendelea na Gamond kutaifanya Yanga iwe ngumu zaidi kuchukua ubingwa. Mana Bila mabeki wa maana kwa mpira wake hutoboi na kule mbele wakina Dube nao ndo wanazingua
Mikataba mingi ya club zetu inakua Siri sana lakini one thing for sure, Gamondi will be walking out with a fat pay checkShiing ngapi ??
Sevarance clause inasemaje ?
Na ni nani anawajibika na kupotea kwa mabilioni ya severance package anayoenda kulipwa kocha ?
Wachambuzi wa michezo ya Arsenal na Bayern Munich kwenye ma radio ya Tanzania, termination clause ya kocha wa Yanga inasemaje ????
Sawa. Uwe unatupia kazi zako mara moja moja, wana JF tuzitathimini kwa ajili ya kuona uwezekano wa kukupa kazi.Ndio mm ni fundi mahiri wa ujenzi
Sawa. Uwe unatupia kazi zako mara moja moja, wana JF tuzitathimini kwa ajili ya kuona uwezekano wa kukupa kazi.
Kila laheri
Yanga haijawai. Kukurupuka ktk kuchukua maamuzi pale inapobidi kufanya hvo binamu.Mbona kama wamekurupuka sana. Au kuna ugomvi tusioufahamu?
Come down babyViongozi wa Yanga Hersi na wenzio wapumbavu sana, mmenivurugia siku yangu.
Nimewachukia mnoooo!
Huu msimu wote sitoenda uwanjani wala kununua chochote kinachohusiana na Yanga, wapuuzi wakubwa nyie wote.
Bora huyu kafukuzwa kwa kufungwa mechi mbili tu. Robertino alitimuliwa baada ya kufungwa mechi moja tu 5-1Nilikua namuona injinia kama mtu smart kumbe nae ni wale wale tu (wapumbavu)
Kundi la wapumbavu ni kubwa
Mechi mbili unafukuza kocha? Unataka usifungwe mechi yoyote wewe ni nani?
Kocha ana takwimu nzuri unamfukuza kwa ushabiki wa kijinga
Pumbavu
Hersi na mimi nimemuona ni lofa na boya kabisa, Hafai kuwa kiongozi mbumbumbu kabisaNilikua namuona injinia kama mtu smart kumbe nae ni wale wale tu (wapumbavu)
Kundi la wapumbavu ni kubwa
Mechi mbili unafukuza kocha? Unataka usifungwe mechi yoyote wewe ni nani?
Kocha ana takwimu nzuri unamfukuza kwa ushabiki wa kijinga
Pumbavu
Wapumbavu ni wengiIkiwa kafukuzwa sababu ya matokeo ya mechi 2 tu basi Yanga wamedhihirishia ulimwengu wote kuwa ni wapumbavu wakubwa.
Ah weeh usinjfananishe na yule mimiSawa Dada Salama Ngale Kidogo umejitahidi kujitetea ngoja nipeleke jina kwa injinia unafaa kuvaa viatu vya bwana kipara ila na wewe ukisoma huu ujumbe kimbia saloon ya karibu waambie wakupige kipara ili iwe rahisi kukidhi vigezo.
wanaosema wamekurupuka sijui wanatumia utashi gani?Yanga haijawai. Kukurupuka ktk kuchukua maamuzi pale inapobidi kufanya hvo binamu.
wasipotubu, watashuka daraja. Mungu hadhihakiwi.Ni kweli walikosea sanaa