Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Presha ya mashabiki maandazi inasababisha maamuzi kama haya.Nilikua namuona injinia kama mtu smart kumbe nae ni wale wale tu (wapumbavu)
Kundi la wapumbavu ni kubwa
Mechi mbili unafukuza kocha? Unataka usifungwe mechi yoyote wewe ni nani?
Kocha ana takwimu nzuri unamfukuza kwa ushabiki wa kijinga
Pumbavu
Ndio mpira wetu hata nyie mlikurupuka kumuondoa Uchebe na yule Mspain.Hersi amekurupuka
mambo kama hayo tumeyamiss kuyasikia hii sasa ndo habari, vyura lazma washuke darajaHabari ninazopenda kusikia mimi
Yaga Timu yangu, ila huu ujinga siungani nao, waleze bayana nini tatizo na yet if this is solution!Nilikua namuona injinia kama mtu smart kumbe nae ni wale wale tu (wapumbavu)
Kundi la wapumbavu ni kubwa
Mechi mbili unafukuza kocha? Unataka usifungwe mechi yoyote wewe ni nani?
Kocha ana takwimu nzuri unamfukuza kwa ushabiki wa kijinga
Pumbavu
mgogo huyo ,ujanja atoe wapi.... anaumia kufungwa na tabora united! haelewi kwann timu iko ligi kuu!Nilikua namuona injinia kama mtu smart kumbe nae ni wale wale tu (wapumbavu)
Kundi la wapumbavu ni kubwa
Mechi mbili unafukuza kocha? Unataka usifungwe mechi yoyote wewe ni nani?
Kocha ana takwimu nzuri unamfukuza kwa ushabiki wa kijinga
Pumbavu
Uchezaji ulikuwa chini mkuuNilikua namuona injinia kama mtu smart kumbe nae ni wale wale tu (wapumbavu)
Kundi la wapumbavu ni kubwa
Mechi mbili unafukuza kocha? Unataka usifungwe mechi yoyote wewe ni nani?
Kocha ana takwimu nzuri unamfukuza kwa ushabiki wa kijinga
Pumbavu
Ndio basi tena,hadi kocha mpya azowee timu wameshasandaKaribu Tanzania. Yanga inapoteana rasmi
Sa kosa lake ni nnNilikua namuona injinia kama mtu smart kumbe nae ni wale wale tu (wapumbavu)
Kundi la wapumbavu ni kubwa
Mechi mbili unafukuza kocha? Unataka usifungwe mechi yoyote wewe ni nani?
Kocha ana takwimu nzuri unamfukuza kwa ushabiki wa kijinga
Pumbavu
Presha ya mashabiki maandazi inasababisha maamuzi kama haya.Nilikua namuona injinia kama mtu smart kumbe nae ni wale wale tu (wapumbavu)
Kundi la wapumbavu ni kubwa
Mechi mbili unafukuza kocha? Unataka usifungwe mechi yoyote wewe ni nani?
Kocha ana takwimu nzuri unamfukuza kwa ushabiki wa kijinga
Pumbavu
sema nyuki wa shughuliHihihhiiiiiiiiiiii
Tabora sio watu wazuri kabisa
Sasa ukimfukuza Ki utampaje onyo mobeto wakati mobeto yupo kwa ajili ya Ki?Fukuzeni Azizi kii...afu mobeto apewe onyo Kali....