Torra Siabba
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 243
- 287
Hahahaaukiwa nje huwez ona ya ndani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaukiwa nje huwez ona ya ndani
HahahaaWatu watasahau kabisa kuhusu uchaguzi.
Manara effect
Chikola effect
Walikua wanamtafutia sababuNilikua namuona injinia kama mtu smart kumbe nae ni wale wale tu (wapumbavu)
Kundi la wapumbavu ni kubwa
Mechi mbili unafukuza kocha? Unataka usifungwe mechi yoyote wewe ni nani?
Kocha ana takwimu nzuri unamfukuza kwa ushabiki wa kijinga
Pumbavu
Ingekuwa Simba sasa 🤭Nilikua namuona injinia kama mtu smart kumbe nae ni wale wale tu (wapumbavu)
Kundi la wapumbavu ni kubwa
Mechi mbili unafukuza kocha? Unataka usifungwe mechi yoyote wewe ni nani?
Kocha ana takwimu nzuri unamfukuza kwa ushabiki wa kijinga
Pumbavu
Wale nyuki sio wa nchi hii,wakipiga kaunta tu imooooooooooo.sema nyuki wa shughuli
Sanaa yani wanaipa ukubwa usio na maanaWanazidi kuipa kiki Tabora utd
Mechi mbili kwenye ligi ya timu 13 ni nyingi sanaNilikua namuona injinia kama mtu smart kumbe nae ni wale wale tu (wapumbavu)
Kundi la wapumbavu ni kubwa
Mechi mbili unafukuza kocha? Unataka usifungwe mechi yoyote wewe ni nani?
Kocha ana takwimu nzuri unamfukuza kwa ushabiki wa kijinga
Pumbavu
Pongezi ziende kwa Mama.Hahahaa
Kweli bongo hatujui boli