Iyerdoi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 2,717
- 3,895
Mi naona kama vita hiyo ya 3 ya dunia imeanza manake hakuna mahali hutasikia tetesi za vita. Kama sio ya moja kwa moja basi ni kuingia indirectly.Basi hivi ni vichocheo vya vita ya 3 ya dunia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi naona kama vita hiyo ya 3 ya dunia imeanza manake hakuna mahali hutasikia tetesi za vita. Kama sio ya moja kwa moja basi ni kuingia indirectly.Basi hivi ni vichocheo vya vita ya 3 ya dunia
TRUEMi naona kama vita hiyo ya 3 ya dunia imeanza manake hakuna mahali hutasikia tetesi za vita. Kama sio ya moja kwa moja basi ni kuingia indirectly.
Wwewe endelea tu kutumia dawa zako za huo ugonjwa wako wa akili utapona Inshallah ukiziacha utarudishwa tena Mirembe pole sana
MKUU MBS KAPATA AIBU IPI???Utakuwa unaota wewe.Saudia kapata aibu kupitia waasi wa yemen.wamefanyiwa Ambuse kila sehemu mpaka wakaomba poo
Siungi Mkono anachofanya Israel kwa kuwa Vita hii inaondoa Civilians ambao mostly ni Watoto na Wanawake ila Kusema uifute Israel kwa waarabu kuungana bado ni Kitendawili mana Israel power yake hata haipo Ndani ukiachana kufungamana na Allies wakubwa kama US na UK ambao mpaka Marais wake wamefanya Tour uko Israeli, bado hawa wayahudi wana Matajiri kibao ambao Hawapo Israel na still wana finance hio VitaWaarabu walitakiwa waungane ijulikane moja tu israel ifutwe
Magaidi yanaweza kununua silaha kali za kujihani na kupiga wengine tena kwa bei mbaya sana but hayawezi kununua just nguo na viatu. Yemen is among of the very countries in the world halafu anataka VITA. Ngoja tusubiri tuoneKanchi kadogo kakimasikini kanaenda kuingilia vita ambayo haiwahusu….akili za hawa watu wanazijua wenyewe!