Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Mwezi wa kumi mwishoni wataanza kutoa huduma pale TPA fuatilia vyombo vya habari. Serikali inaendelea na kazi zake kama kawaida.DP World ndo imeisha hvyoo!!
Hakuna kitu kitaendelea pale.
Vibarakashia na vikobazi vinawadanganya sanaTecc ni kikundi Cha nmagaidi
Serikali hairogwi wewe acha ushambaMwaka? Unawaona TEC wanaakili zenu wala nguruwe kwa kujificha? Iyo 6 weeks umeshaambiwa ni no kiroho na wanajua, mamaako kashavurugwa big time hata kama ni sikio la kufa litazibuka na atakuja kuongea tu
Mkuu hawa watu wanaojiita wakatoliki ni hasara kwa familia zao hadi kwa taifa.Pengine nina uwezo mdogo sana wa kufikiri (sio kosa langu kwani elimu ni ndogo sana) lakini lazima niseme kuwa Sehemu hiyo inaonyesha ni kwa namna gani fasihi ni ngumu sana. Unaweza kujipanga weee kuachia kombora mara hamadi unakuta fasihi imebadilisha uelekeo wa kombora lako na kukurudia mwenyewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
.......it fuckks you back just the same way it fuckks others!
● waraka unasomwa kwa mara ya ngapi vilee?!!! Hizo sio kelele?!! Uwafikie ujumbe huu huko?!!!
● Mama Samia Suluhu Hassan, The Mother of Modern Tanzania, amesema chochote mpaka sasa?!!! Atumie ujumbe huu kudescribe wapiga kelele?!! Hapana, hawezi kwani ye ni kiongozi na amestaarabika.
Mimi nasema usomwe hadi October 2030 atakapomaliza muda wake.
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan.Nchi haina rais wewe fala
Tatizo lako la kutosoma Uraia na Civic ili tu angalau ujue namna Rais wa nchi anavyopatikana kwa njia mbalimbali basi usingeongea ujinga huu.Asante kwa kumjibu huyo mpumbavu
Mkuu sio mwaka tu wasome hata hadi 2030 Rais Samia atakapostaafu.Someni mwaka mzima
Ndo wamekuzidi akili sasa. Hapo mwenye akili atahesabiwa ni aliyepo madarakani sio wale wanaopuyanga mtaani wasaka tonge.Nimecheka kweli, wale darasa la 7 pale
Bungeni wawe na akili kunizidi mimi?! [emoji1787][emoji1787][emoji16]
Huko Mbeya, Hai, Arusha na kanda ya ziwa waliopitishwa ni wa imani gani vile?Mujahideen wengi ndio walipita bila kupingwa
Walipitishwa kuweka usawa [emoji1][emoji1][emoji91][emoji209]
Acha ujinga ww! Tango ni tunda so ukikalia tunda ni tusi? Think b4 replying!!Unanitukana nimekukosea nini?
Chunga sana fala wewe!
Kule be Tanga leo kwenye kuapishwa askofu mpya sikusikia waraka ukisomwa.... duh; kama tangazo la ndoa! Ili wenye pingamizi na uchumba huu watoe taarifa mapema. Kazi kwenu wananchi.
Kule Tanga Waziri Mkuu amehudhuria kusimikwa kwa Askofu wa Jimbo la Tanga leo Sept 03. Sasa najiuliza waraka umesomwa mbele ya Waziri Mkuu?Unaweza kujiuliza kwanini TEC wakachagua kuusoma waraka wa kupinga kugawa bandari za Tanganyika kwa DPW kwa wiki sita na si pungufu ama zaidi?
Hili limekaa kiroho na kihesabu zaidi.. Dunia inaendeshwa na tarakimu na hesabu kupitia kanuni maarufu ya MAGAZIJUTO (BODIMUS)!
Mara sita inawakilisha siku sita za uumbaji, yaani siku sita za wiki.. Jumatatu mpaka Jumamosi! Kwahiyo ilipaswa waraka usomwe kila siku kwa siku sita mfululizo, lakini wanaosomewa ni waumini na waamini kanisani na siku pekee ya kuweza kuwasomea katika wingi wao ni siku ya ibada ambayo ni Jumapili
Kwahiyo ndio maana zikatengwa Jumapili sita mfululizo za kusomewa waraka husika, na leo hii ni Jumapili ya tatu
Waraka mpaka sasa umeonesha mafanikio makubwa sana! Dondoo zilizoandaliwa kisomi na kwa weledi mkubwa hazikutoka nje ya mstari wa katiba ya taifa
Zimejitokeza taasisi, vikundi na watu binafsi waliojaribu kuukosoa na kuupinga waraka lakini wakashindwa vibaya sana, kwakuwa badala ya kukosoa ama kupinga kilichomo kwenye waraka husika, wao wakaishia kutoa shutuma, kutuhumu na kukejeli watu binafsi, taasisi iliyoandaa waraka, imani ya waandaaji nk
Hawa wote walikuwa na haki kamili ya kufanya hivyo kwa mujibu wa katiba yetu, kakini kuna kila dalili kwamba hawakusukumwa na uzalendo na dhamira njema bali kwa maelekezo maalum na kwa malipo! Mbaya zaidi wakakurupuka sana na kuongea ujinga mtupu kisha haoo wakasepa zao kukinga mikono!
TEC hawakutetereka kwenye hilo na wala hawakuthubutu kunyanyua mdomo kujibizana nao! Walibaki na focus yao kukamilisha ratiba.. Na wanatambua wazi kwamba debe tupu haliishi kutika..!
Waraka wenye manufaa kwa watanganyika wote bila kujali
Itikadi zao
Imani zao
Makabila yao
Kipato chao nk nk unaendelea kusomwa leo kwa mara ya tatu, na ili kukamilisha ratiba bado mara zingine tatu. Wanaotumwa kuujibu kwa malipo wajitahidi kuujibu kwa hoja na si vioja
Watanganyika sio wapumbavu! Tunajitambua!!!!View attachment 2737210
Hawakatazwi wasome tu ila watambue Rais ni Samia mpaka 2030 .Kule Tanga Waziri Mkuu amehudhuria kusimikwa kwa Askofu wa Jimbo la Tanga leo Sept 03. Sasa najiuliza waraka umesomwa mbele ya Waziri Mkuu?
UkisikiaTunalaani tukio hili lenye sura ya kisiasa,hii ni kutokana na Waraka wa Maaskofu, huu ujinga Mungu atawalipa na anguko lenu lipo karibuniView attachment 2738146
huna akili.Acha waendelee kugeuza madhabahu kuwa jukwaa la kisiasa.
Wana haki zote kufanya hivyo kuliko kukaa kuwaibia watu hela Kwa kisingizio cha kumtolea bwana