Ratiba ya Ngao ya Jamii hii hapa, kupigwa jijini Tanga

Ratiba ya Ngao ya Jamii hii hapa, kupigwa jijini Tanga

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Hatimae TFF wameachia ratiba ya Ngao ya Jamii kwa timu nne ambazo ni Yanga, Simba, Azam na Singida. Mechi zote kupigwa katika dimba la Mkwakwani kuanzia August.

Kwa ratiba hii unamuona nani akiwa bingwa?
91218409-903F-4B2D-AA0A-7991C20C7DC2.jpeg
 
Hivi si tuliambiwa bingwa atacheza na WA nne,wa pili na WA tatu!?
 
Hatimae TFF wameachia ratiba ya Ngao ya Jamii kwa timu nne ambazo ni Yanga, Simba, Azam na Singida. Mechi zote kupigwa katika dimba la Mkwakwani kuanzia August.

Kwa ratiba hii unamuona nani akiwa bingwa?
View attachment 2681709
Wote nsona usajili ni mzuri, ushindani ni mkubwa, ni vigumu kutabiri kwa usahihi
 
Back
Top Bottom