Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Singida bingwa mtarajiwaHatimae TFF wameachia ratiba ya Ngao ya Jamii kwa timu nne ambazo ni Yanga, Simba, Azam na Singida. Mechi zote kupigwa katika dimba la Mkwakwani kuanzia August.
Kwa ratiba hii unamuona nani akiwa bingwa?
View attachment 2681709