Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Utaratibu mbovuNimeupenda utaratibu huu
Wote nsona usajili ni mzuri, ushindani ni mkubwa, ni vigumu kutabiri kwa usahihiHatimae TFF wameachia ratiba ya Ngao ya Jamii kwa timu nne ambazo ni Yanga, Simba, Azam na Singida. Mechi zote kupigwa katika dimba la Mkwakwani kuanzia August.
Kwa ratiba hii unamuona nani akiwa bingwa?
View attachment 2681709
Kumbe ngao ni kombeWampe simba kombe lake mapema tu
KIBU DE MTOMBANGILE
Ngoja tusubiriWote nsona usajili ni mzuri, ushindani ni mkubwa, ni vigumu kutabiri kwa usahihi
Tanga ndiko anakotoka prezdaa wa shirikisho.TFF ni makuzi sana yaani mechi zote 4 Tanga!?
Mna uhahaba wa makombe hadi community shield unadhani ni kombe?Simba apewe kombe lake tu hapo
Mnatafuta sababu tayariHivi si tuliambiwa bingwa atacheza na WA nne,wa pili na WA tatu!?