Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Singida bingwa mtarajiwaHatimae TFF wameachia ratiba ya Ngao ya Jamii kwa timu nne ambazo ni Yanga, Simba, Azam na Singida. Mechi zote kupigwa katika dimba la Mkwakwani kuanzia August.
Kwa ratiba hii unamuona nani akiwa bingwa?
View attachment 2681709
Nakubali🤣🤣Singida bingwa mtarajiwa
Subiri walikose waanze kusema siyo kombeKumbe ngao ni kombe
Aahaaaaa,pamoja mkuuNakubali🤣🤣
Azma kwa yanga ni ice cream parlorMnatafuta sababu tayari
Hivi na ulaya mchakato wa ngao ya jamii huwa upo kama huu ?Hatimae TFF wameachia ratiba ya Ngao ya Jamii kwa timu nne ambazo ni Yanga, Simba, Azam na Singida. Mechi zote kupigwa katika dimba la Mkwakwani kuanzia August.
Kwa ratiba hii unamuona nani akiwa bingwa?
View attachment 2681709
Ndio maana tuna boronga kivyetu vyetu.. weye hata utaratibu wa mfungaji bora anavyopatikana haujulikani... na hizi mambo ndio zinafanya soka letu liwe la hovyoo.. lazima tujifinze kwa walio tutanguliaSoka letu, kivyetu vyetu
Hivi na ulaya mchakato wa ngao ya jamii huwa upo kama huu ?
Kuna tatizo TFF ( pale kuna genge la wahuni )Hii ni hapa tu kwa Wallace Karia
Ngao ya jamii kivyetu vyetu sioNimeupenda utaratibu huu
Si naskia kuna timu imechukua treboMna uhahaba wa makombe hadi community shield unadhani ni kombe?
Ndiyo akili za Wallace Karia hizo. Kila kinachomjia kichwani, hata kama hakina tija! Atatumia ubabe na ushawishi wake wa rushwa mpaka kitendeke.TFF ni makuzi sana yaani mechi zote 4 Tanga!?
Simba hii hii ambayo mpaka muda huu haina hata kikosi cha kwanza, au kun simba nyingine?Simba apewe kombe lake tu hapo
NdiyoNgao ya jamii kivyetu vyetu sio