Ratiba ya tendo la ndoa kwa wanandoa na wachumba hudhoofisha upendo wa ndani ya ndoa na kuimarisha upendo nje ya ndoa

😅😅 Ukiona kuna ratiba ya tendo la ndoa ndani ya ndoa jua mambo hayako sawa, na shida inakuaga moja tu sanasana:
Mke ndo mwenye nguvu na sauti ndani, afu mwamba anamuogopa kichizi mkewe, anajifichia kwenye mwamvuli wa kujali.

Tujitathmini sana, kuna mwamba anateseka sana dom huko, ndani ya miaka miwili kapewa unyumba mara mbili.
 
Dah! Pole sana mwamba!! Nna mwanangu anamwaka wa pili.
Kunashida hapo.
 
Ukiruhusu ratiba ya tendo la ndoa ndani basi we ni lazima mnyenyekevu sana kwa huyo mwanamke.

Mwanamume akinyenyekezwa na mwanamke, matokeo yake mara nyingi sio mazuri.
 
Duh! Kumbe kwenye mambo ya malavidavi nako upo? Mi nilidhani we ni wa siasa tu!
 
Nipangiwe ratiba si ntapiga mtu? Hivi kama kuna demu wa nje na ndani nimepangiwa ratiba si naenda kwa wa nje kutoa hamu! Uzuri single mama wamekuwa wengi unajitwalia tani yako utakavyo. Mke wa nyumbani atajua mwenyewe na ratiba zake za kutoa penzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…