Ravinder Kaushik ''Black Tiger'' : Jasusi mbobezi aliyefia jela ya ugenini

Ravinder Kaushik ''Black Tiger'' : Jasusi mbobezi aliyefia jela ya ugenini

Me kuna kitu kinanichanganya, mwaka 2006 kuna mkorea anaitwa Moo Ko-Suen alikamatwa anataka inunua F-16 na black hawk down helicopter!.. Hivi kwa wenzetu mtu binafsi anaweza miliki jet fighter yake!?..

Huyu Moo ko-suen nafahamu kuwa alikuwa kwenye mipango ya kununua si tu helicopter mpaka makombora pia..Alidakwa na undercover wa US wakimhisi ni agent wa China.
 
Huyu Moo ko-suen nafahamu kuwa alikuwa kwenye mipango ya kununua si tu helicopter mpaka makombora pia..Alidakwa na undercover wa US wakimhisi ni agent wa China.
Profile yake jamaa ni mfanyabiashara sasa alikuwa ananunuaje kama yeye, let assume hiyo biashara ipo sio wa kwanza yeye!..
Ina maana wanaweza miliki?
 
Nashangaa watu wanao tamani kuwa majasusi
Ni bora uuze mchicha
 
Profile yake jamaa ni mfanyabiashara sasa alikuwa ananunuaje kama yeye, let assume hiyo biashara ipo sio wa kwanza yeye!..
Ina maana wanaweza miliki?

Kwa uelewa wangu mdogo kuna taasisi ya Serikali ya Marekani inayojitegemea GSA (General Services Administration) ambayo inashughulika na kusaidia utendaji kazi wa Federal agencies nyingine katika shughuli zao za kila siku kwa kutoa mawasiliano,usafiri,vifaa mbalimbali na shughuli za ugavi pamoja na kushauri na kutengeneza sera za matumizi nafuu.

Mara kadhaa vifaa vya jeshi vinapokuwa ''decommissioned'' (kutolewa kwa mifumo ya kivita na silaha) au kunapokuwa na surplus huwa wanafanya minada na kuziuza ambapo watu binafsi wanaruhusiwa japo kwa masharti kuweza kuzimiliki.Leseni ya urubani wa anga na declaration ya End user certificate ambapo utatakiwa utoe taarifa zako binafsi na matumizi ya kifaa hicho unachotaka kukinunua na kuzituma Department of Defence ambao wanafanya usaili yakinifu na ukiridhiwa utakuwa tayari kununua.Mshindi wa mnada ni lazima athibitishwe na Department of Defence kuweza kuondoka na kifaa chake.

Kutokana na masharti magumu pamoja na gharama za vifaa hivyo wanunuzi ni wachache.Mfano kuna Black Hawk UH-60A
iliuzwa USD 667,000 kwenye mnada ambao unabid deposit ya USD 100,000.Kulikuwa na bidders 4 tu na hii ni mwaka 2016.
 
Kwa uelewa wangu mdogo kuna taasisi ya Serikali ya Marekani inayojitegemea GSA (General Services Administration) ambayo inashughulika na kusaidia utendaji kazi wa Federal agencies nyingine katika shughuli zao za kila siku kwa kutoa mawasiliano,usafiri,vifaa mbalimbali na shughuli za ugavi pamoja na kushauri na kutengeneza sera za matumizi nafuu.

Mara kadhaa vifaa vya jeshi vinapokuwa ''decommissioned'' (kutolewa kwa mifumo ya kivita na silaha) au kunapokuwa na surplus huwa wanafanya minada na kuziuza ambapo watu binafsi wanaruhusiwa japo kwa masharti kuweza kuzimiliki.Leseni ya urubani wa anga na declaration ya End user certificate ambapo utatakiwa utoe taarifa zako binafsi na matumizi ya kifaa hicho unachotaka kukinunua na kuzituma Department of Defence ambao wanafanya usaili yakinifu na ukiridhiwa utakuwa tayari kununua.Mshindi wa mnada ni lazima athibitishwe na Department of Defence kuweza kuondoka na kifaa chake.

Kutokana na masharti magumu pamoja na gharama za vifaa hivyo wanunuzi ni wachache.Mfano kuna Black Hawk UH-60A
iliuzwa USD 667,000 kwenye mnada ambao unabid deposit ya USD 100,000.Kulikuwa na bidders 4 tu na hii ni mwaka 2016.
Lakini F-16 haiwezi kuwa decomissioned so soon kama hivyo zile bado ni reliable fighter planes!. Au Black hawk helicopter na naamini ukiwafatilia hao bidder huwezi kuta ni mtu binafsi more so akiwa ni binafsi basi anapanga kuibadili kuwa for civilian uses!..sasa F-16 a fighter jet inaweza vipi tumika kwa matumizi ya kiraia!?..[emoji2]
Anyway unawapata paramilitary wa Usa wanajiita 3 percenters au wale Oath Keepers!?..
 
Lakini F-16 haiwezi kuwa decomissioned so soon kama hivyo zile bado ni reliable fighter planes!. Au Black hawk helicopter na naamini ukiwafatilia hao bidder huwezi kuta ni mtu binafsi more so akiwa ni binafsi basi anapanga kuibadili kuwa for civilian uses!..sasa F-16 a fighter jet inaweza vipi tumika kwa matumizi ya kiraia!?..[emoji2]
Anyway unawapata paramilitary wa Usa wanajiita 3 percenters au wale Oath Keepers!?..

Mhh nina taarifa chache sana kuhusu hao 3 percenters ila kwa kujua unyeti wa ulinzi wa U.S hao wanunuzi wa hivi vifaa lazima watakuwa ni ex-pilots wa jeshi au watu wa aina hiyo.
Pia kwa kweli nafahamu huwa ni kwa vile vifaa ambavyo vimekuwa obsolete kwenye matumizi au teknolojia mpya imekuja lakini kwa mfano wa F-16 fighter jet duh ! hata sielewi !
 
Kwanini majasusi wengi huishia kufa kifo kibaya hivi??
Bahati mbaya sana walio wengi ambao tunasoma historia zao ni wale waliokamatwa wakiwa kwenye kutekeleza majukumu yao.

Nakuhakikishia, wapo wamelfu kwa mamilioni ambao wanafanya kazi kama hizo bila kugunduliwa, na kwa sababu ya kazi yenyewe, hawawezi kuandikwa popote wala kile walichokuwa wanakifanya, hivyo hatuwezi kuwajua wala kujua walichokifanya!
 
Alilifanyika Taifa lake kazi kubwa. Taifa halina wajibu wa kumfanyia chochote raia wake zaidi ya kumuenzi kwa kumbukumbu tu
 
Me kuna kitu kinanichanganya, mwaka 2006 kuna mkorea anaitwa Moo Ko-Suen alikamatwa anataka inunua F-16 na black hawk down helicopter!.. Hivi kwa wenzetu mtu binafsi anaweza miliki jet fighter yake!?..
Military Grade Weapons huwa zinanunuliwa na watu binafsi kupitia Black Market ili kukwepa mkono wa sheria pindi wanakamatwa na vyombo vya Usalama. Kwasababu kuna mikataba ya kimataifa ambayo inazuia kabisa uuzwaji holela wa silaha za kivita.
 
Hakika hii inaonyesha hakuna nchi iliyo salamA na jirani yake .ma shushushu Wa majirani wako kila secta as nchi jirani
 
Back
Top Bottom